SIRE
Senior Member
- Feb 20, 2022
- 127
- 217
Hiki kitabu kinanipa mawazo sana kwa kweli. Mwenye nacho atupatie.Hicho kitabu cha dark path nakipataje mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki kitabu kinanipa mawazo sana kwa kweli. Mwenye nacho atupatie.Hicho kitabu cha dark path nakipataje mkuu
Hicho kitabu cha dark path nakipataje mkuu
Hiki kitabu hakina sotf copy,ngoja niingie chimbo nicheki hardcopyHiki kitabu kinanipa mawazo sana kwa kweli. Mwenye nacho atupatie.
Utakuwa umetisha sana mkuu, tutengenezee softcopy.Hiki kitabu hakina sotf copy,ngoja niingie chimbo nicheki hardcopy
Asante 🙏 sana mkuu kwa ufafanuzi.Hicho kitabu cha wahindi,nitamtafuta mzee sudi ijapokuwa tupo mikoa tofauti ila nina uhakika wa kumpata,nikimpata nitarudi Tena hapa na uzi maalumu kuhusu hicho kitabu..
M t f huyoaisee, ningeshangaa sana kwenye dark path mchaga asihusike. Mnaobisha hizi mambo hazipo, karibuni moshi miezi ya Christmas muone namna zile sherehe za majumbani zinavyohusika na ushetani mazima.
Maji wanayonawa watu wanapoajiandaa kula, huwa yanachukuliwa na kuingizwa ndani kwa kisingizi yatachafua paving blocks zilizoremba ardhi ya majumba makubwa ambayo hukaliwa na watu siku za mwisho wa mwaka tu.
Mbwa. Mambo vpAkirudi niiteni mbwa
Umeangalia kwenye small picture,njoo kwenye big picture ndio utaamini hiki nnachosemaHapana, hapana, tena hapana kubwa. Akili igoma kabsa kuamini hiyo damu ya mwana wa Mungu kukufanikisha kuwa tajiri. TANZANIA hii top ten ya matajiri ni waislam. tofauti na hapo bado kuna elimu kuhusiana na maswala haya bado naihataji.
wakristu kibao nawapa vibarua kila kukicha mashabani kwangu huku kijijini waislamu ni wachache sana
Plus wakristu wengi wafia dini ni hoi hae. Na
Top 20 ya matajiri tanzania ukitoa njina la R.mengi majina mengi yote ni yakiislam. Why?
big picture ya namna gan? Mr Tanzanian Dream fugua code hii.Umeangalia kwenye small picture,njoo kwenye big picture ndio utaamini hiki nnachosema
Poa vipMbwa. Mambo vp
Huu ni ukorofi 😆