The dark side of business

The dark side of business

Tanzanian dream na wana JF ngoja nijibu Kuhusiana na hio ishu ya pesa za biashara kuziweka kwenye kabati ya mbao au pesa kupotepotea dukani kwenye mazingira ya kutatanisha.
Ila siri nyingine hua ni kubwa kuandika humu JF inabidi mnilipe. Sema isiwe ishu nawadondoshea madini kwa bure

Twende kwenye point

Wale watu wanaosali sana na kukesha makanisani mtabisha ila kuna siri nyingi zimefichwa kwenye huu ulimwengu. Nawapa za ndani kabisa.

Kuna watu hua wanatumia misukule au ndondocha ( ni mtu aliepotea na kufichwa kishirikina na wachawi mara nyingi hua wamekatwa ulimi na hua hawaonekani kwa macho ya kawaida ya binadamu labda uwe na dawa ya kuwaona. Maelezo zaidi kuhusiana n a hao watu google na fatilia story kuwahusu) kwa vile hawa misukule hawaonekani kwa macho ya kawaida hua wanatumiwa na wachawi au watu wenye roho mbaya kwa kuwafanyisha kazi ambapo wakati mwingine uwa agiza na kuwaingiza katika maduka ya watu na kuiba fedha zilizo kwenye sehemu ya kuhifadhia pesa sanasana iliyotengenezwa kwa mbao.

Viumbe wanaoweza kuchukua pesa kimazingara dukani au sehemu ya biashara ni misukule na majini... nk

Kwanini huyo baba fobi alikuambia utafute safe ya chuma sababu ni

huo uchawi na ushirikiana wanaotumia wachawi au majini kuchukua fedha dukani kwa watu hua haufanyi kazi au unakosa nguvu au una gonga mwamba kwenye Material ya Chuma.

Yaani ukiwa na kabati lilotengenezwa kwa chuma na ukahifadhi pesa zako haziwezi kuibiwa kichawi au kimazingara na misukule au majini kwani uchawi wao unashindwa na kugonga mwamba kwenye material au sehemu ya kuhifadhia pesa iliotengenezwa kwa Chuma tofauti na ile ya mbao ambayo uchawi wao unapita kirahisi.


Ndo maana Benki wanaweka mabillioni ya pesa na haujawahi kuskia stori za pesa kupotea au kuibiwa kimazingara. Ni iweke hivi pesa zao hua wanazitunza kwenye mashelf ya chuma au safe za material ya chuma ambapo ili mtu hazichukue inaitaji aje physically ila hivihivi kichawi bila kuonekana na aamue kulifungua kimazingara material ya chuma inazuia uchawi huo uwa unagonga mwamba. Benki utaskia tu majambazi wameiba

Maarifa haya zaidi na stori za kusanuana kuhusu huu ulimwengu wa dark side inapatilana katika kitabu falni hivi kimeandikwa na mchawi aliefanya kazi hio kwa miaka 50 tena kwa lugha ya kiswahili.

Mimi nilikisoma miaka 15 iliopita ila baada ya kukusikia unaongelea kupotea pesa na mbao ndo nikakumbuka.

Kitabu hicho kinaelezea mada hio kwa upana. Maana kuna sehemu jamaa anasema ukiwa na biashara lazima uwe na kinga dhidi ya biashara hio kwani kuna competitors hawata penda kukuona wewe tu ndo una fanikiwa pia kuna majungu na wivu. Ndo maana unakuta hao misukule au manini yanatumwa kuchukua fedha zako. Kinga hio anaeleza utaipata kwa kuomba pia kutunza pesa zako kwenye sanduku la chuma au kama mtu unae muamini Mungu basi weka pesa katikati ya Biblia. Ndo maana unaskia wale wa watalaam wamefukia kichwa cha ng'ombe kama kinga na mvuto




Wale kima Tomaso maelezo zaidi yapo kwenye kitabu .mimi nime nukuu tuu


Kitabu kinaitwa..............
Tittle
" CHUO KIKUU CHA WACHAWI"

tafta kwenye local bookshop na kwa wauza magazeti mtaani. Kina siri nzito na ufafanuzi kiupana zaidi.
 
CC;. Tanzanian dream na wana JF ngoja nijibu Kuhusiana na hio ishu ya pesa za biashara kuziweka kwenye kabati ya mbao au pesa kupotepotea dukani kwenye mazingira ya kutatanisha.
Ila siri nyingine hua ni kubwa kuandika humu JF inabidi mnilipe. Sema isiwe ishu nawadondoshea madini kwa bure

Twende kwenye point

Wale watu wanaosali sana na kukesha makanisani mtabisha ila kuna siri nyingi zimefichwa kwenye huu ulimwengu. Nawapa za ndani kabisa.

Kuna watu hua wanatumia misukule au ndondocha ( ni mtu aliepotea na kufichwa kishirikina na wachawi mara nyingi hua wamekatwa ulimi na hua hawaonekani kwa macho ya kawaida ya binadamu labda uwe na dawa ya kuwaona. Maelezo zaidi kuhusiana n a hao watu google na fatilia story kuwahusu) kwa vile hawa misukule hawaonekani kwa macho ya kawaida hua wanatumiwa na wachawi au watu wenye roho mbaya kwa kuwafanyisha kazi ambapo wakati mwingine uwa agiza na kuwaingiza katika maduka ya watu na kuiba fedha zilizo kwenye sehemu ya kuhifadhia pesa sanasana iliyotengenezwa kwa mbao.

Viumbe wanaoweza kuchukua pesa kimazingara dukani au sehemu ya biashara ni misukule na majini... nk

Kwanini huyo baba fobi alikuambia utafute safe ya chuma sababu ni

huo uchawi na ushirikiana wanaotumia wachawi au majini kuchukua fedha dukani kwa watu hua haufanyi kazi au unakosa nguvu au una gonga mwamba kwenye Material ya Chuma.

Yaani ukiwa na kabati lilotengenezwa kwa chuma na ukahifadhi pesa zako haziwezi kuibiwa kichawi au kimazingara na misukule au majini kwani uchawi wao unashindwa na kugonga mwamba kwenye material au sehemu ya kuhifadhia pesa iliotengenezwa kwa Chuma tofauti na ile ya mbao ambayo uchawi wao unapita kirahisi.


Ndo maana Benki wanaweka mabillioni ya pesa na haujawahi kuskia stori za pesa kupotea au kuibiwa kimazingara. Ni iweke hivi pesa zao hua wanazitunza kwenye mashelf ya chuma au safe za material ya chuma ambapo ili mtu hazichukue inaitaji aje physically ila hivihivi kichawi bila kuonekana na aamue kulifungua kimazingara material ya chuma inazuia uchawi huo uwa unagonga mwamba. Benki utaskia tu majambazi wameiba

Maarifa haya zaidi na stori za kusanuana kuhusu huu ulimwengu wa dark side inapatilana katika kitabu falni hivi kimeandikwa na mchawi aliefanya kazi hio kwa miaka 50 tena kwa lugha ya kiswahili.

Mimi nilikisoma miaka 15 iliopita ila baada ya kukusikia unaongelea kupotea pesa na mbao ndo nikakumbuka.

Kitabu hicho kinaelezea mada hio kwa upana. Maana kuna sehemu jamaa anasema ukiwa na biashara lazima uwe na kinga dhidi ya biashara hio kwani kuna competitors hawata penda kukuona wewe tu ndo una fanikiwa pia kuna majungu na wivu. Ndo maana unakuta hao misukule au manini yanatumwa kuchukua fedha zako. Kinga hio anaeleza utaipata kwa kuomba pia kutunza pesa zako kwenye sanduku la chuma au kama mtu unae muamini Mungu basi weka pesa katikati ya Biblia.

Wale kima Tomaso maelezo zaidi yapo kwenye kitabu .mimi nime nukuu tuu

Kitabu kinaitwa..............
kinaitwaje hicho kitabu
 
Mboni km story imeanza kwenda uelekeo sio kabisa yaan kwamba kule juu page #1: ulisema Mzee Fabi eeh halafu huku chini unasema Mzee Fabi vile tumehamia kwenye kitabu na vitabu sasa hapa soon tunaenda kuuziwa kitabu, strategic kwa hio ile ya Wahindi ulisema utatusimulia nayo umeweka kapuni hii ya Wachagga wamekusanua na yenyewe umekwepesha, sawa endelea
 
Hilo swa
Siku zote utajiri wa kiroho, kichawi, kishetani na kishirikina Husikika tu kwa waafrika maskini choka mbaya.

Kama kuna utajiri wa kishetani kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote, Uwazidi watu kama kina Mo Dewj, Bakhressa, Elon musk, Bill gates, warren Buffet, Jeff Bezos na matajiri wengine wakubwa.

Au huyo shetani na yeye pesa zake ni za kuunga unga?
Li najiuliza kwakweli kwanini mkinga asiwe tajiri namba moja duniani? Kutokakana na uchawi wake?
 
Back
Top Bottom