Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kashapigwa pin hakuna muendelezo hapa PM yake inawaka moto muda huu alitakiwa aishushe nzima nzima mfululizo bila kusubiri subiri kupigwa zuioMkuu shusha vitu usiogope hata kama ni ndefu
Kashapigwa pin na wenyewe wenye Siri zao za kuzimuMtoa mada vipi tena kutuacha hewani?
We jamaa ndio maana unajiita mwalimu,anyway hiyo ni shule nyingineKabla sijaendela kusoma, kwanini iwe "G-d" na sio God, why "-"
Wazo lako zuri,ngoja nifanye hivyoSawa. Ila tunaomba mwendelezo uweke palepale kwenye post #1
I'm comingTanzanian Dream nakuona unatuchora tu mkuu?
Hapana isee,wachaga ni watu safiTanzanian Dream vipi Wachagga wamejaa PM wanakupiga pin usiendelee kuwaanika?
Mkuu vipi PM kumefuka moshi au? Maana ukileta mada km hizi hawachelewi kukuwahi usimwage mcheleWe jamaa ndio maana unajiita mwalimu,anyway hiyo ni shule nyingine
Sasa si uachie hizo episode na sisi tuwasomeHapana isee,wachaga ni watu safi
Leta vitu mkuu watu tumenunua popcorn kabisa hukuI'm coming
Usifanye hivyo mkuu wewe endelea huku huku chini bila hivyo hatuwezi jua km umeendeleaWazo lako zuri,ngoja nifanye hivyo