The earth is flat and is not rotating

The earth is flat and is not rotating

Bado mtoa mada ana hoja za kufanyia kazi. ndege inaporuka inakua imeacha uso wa dunia hivyo ni kweli kama inaelekea mashariki basi umbali ungeongezeka na kama ingeelekea magharibi umbali ungepungua.

Mkuu nimewahi jiuliza swali kama lako kuhusu mvua/hali ya hewa!! Kwanini mvua inanyesha 24 hours au pengine zaidi ya hapo katika eneo moja? Jibu nililopata ni kwamba atmosphere pia pia inamove...ingekuwa tofauti na hivyo mvua inayonyesha tz saa 2 asubuhi ikiendelea itanyesha USA pia baada ya masaa 8!!

kuhusu ndege wengi washaeleza dunia inamove na vyote vikivyomo, mpaka pale gravitation force inapoishia!! Achana na mawazo duni ya kwamba dunia ni flat, shahidi ni nyingi mpaka sasa na aerial photography imeprove hili achilia mbali ship visibility na nuinginezo!!
 
Mkuu nimewahi jiuliza swali kama lako kuhusu mvua/hali ya hewa!! Kwanini mvua inanyesha 24 hours au pengine zaidi ya hapo katika eneo moja? Jibu nililopata ni kwamba atmosphere pia pia inamove...ingekuwa tofauti na hivyo mvua inayonyesha tz saa 2 asubuhi ikiendelea itanyesha USA pia baada ya masaa 8!!

kuhusu ndege wengi washaeleza dunia inamove na vyote vikivyomo, mpaka pale gravitation force inapoishia!! Achana na mawazo duni ya kwamba dunia ni flat, shahidi ni nyingi mpaka sasa na aerial photography imeprove hili achilia mbali ship visibility na nuinginezo!!

ndugu usiite mawazo duni ni bora uonyesha hoja nzito kuelezea kuliko kubeza moja kwa moja...
haya mambo ya ushahidi wa picha mimi siyakubali sana...ni vema tukapewa ushahidi zaidi ya huo.
mimi nimewasikia watu wakisema hata ukiangalia meli inapozidi kwenda mbali unaona kama inazama kwamba huo pia ni ushahidi,lakini unaangalia meli inaelekea zanzibar haijafika zanzibar inaonekana kama inazama, kweli huo ni ushahidi ?
hivi namna jicho la binadam linavyoona halina athari katika maumbo ya vitu vikiwa mbali ? isije kuwa tunahitimisha kwa kudanganywa na macho.
 
Nilicho kiona mimi ni kwamba ,jua ndio linaizunguka dunia ,na dunia imesimama ,ila inajizungusha yenyewe palepale iliposimama, kwenye huo mhimili wake ndio tunapata usiku na mchana ,issue hapa ni jua kuzunguka dunia
 
Habarini,

Katika pitapita zangu za kujua vitu nikakuta hii kitu kuhusiana na dunia kutokuwa ni duara na ni tambarale pia haizunguki katika muhimili wake kama tulivofundishwa huko shule za awali.

Kuna baadhi ya ushahid unaotokana na mazingira jinsi yalivo pamoja na udini kidogo...

1. kwa mazingira jinsi yalivyo:

Kwanza kuhusu "earth is not rotating" .... kawaida dunia inazunguka jua kwa muda siku 365 na hujizungusha katika muhimil wake kwa muda wa masaa 24 kumaliza mzunguko wake, na ndipo tunapata usiku na mchana.... (hivi ndivo navojua mm na wewe)

lakini kuna maelezo yanayo onyesha kuwa dunia haijizungushi bali jua na vilivo juu vinaizunguka dunia. proof wanaosema kwamba dunia haizunguki ni hii ya usafiri wa ndege.

Tuanze kwa kusema kwamba dunia inajizungusha katika muhimili wake kwa speed ya 6070 km/hr kutokea magharibi kwenda mashariki, ndio maana tunapata kuona jua linachomoza kutokea mashariki na kuzama magharibi.

Sasa tuchuke mfano ndege inatokea marekani (Washington DC) kwenda uingereza (London). Hivyo ndege inatoka magharibi kwenda mashariki. Umbali kutoka marekani mpaka uingereza ni 5934.6 km na inachukua masaa 7 na dakika 39, hivyo ndege husafiri katika umbali huo kwa 775.76 km/hr. Hivyo kama dunia inakuwa katika speed yake ya 1675 km/hr basi huu umbali ungeongezeka zaid maana dunia ingekuwa inazidi kwenda mbele kutoka magharibi kwenda mashariki na ndege hiyo kwa speed hiyo ya 775.76 km/hr. [lets assume kwamba umbali huo unatokana na speed ya dunia na speed ya ndege kutoka magharib kwenda mashariki]

JE, KAMA NDEGE INATOKA UINGEREZA KWENDA MAREKANI UMBALI UTAKAO KUWA COVERED NA NDEGE UTAKUWA SAWA NA WA MWANZO (5934.6 KM) KAMA DUNIA INAJIZUNGUSHA KUTOKA MAGHARIBI KWENDA MASHARIKI?

JIBU NI HAPANA, MAANA KAMA NDEGE INATOKA MASHARIKI KWENDA MAGHARIBI NA DUNIA INAZUNGUKA KUTOKA MAGHARIBI KWENDA MASHARIKI BASI UMBALI UTAPUNGUA MAANA DUNIA NA JUA ZITAKUWA OPPOSITE DIRECTION.

View attachment 216726

Lakini kiuhalisia umbali utakuwa ni huohuo na masaa ya kusafiri yatakuwa ni hayohayo... HIVYO HII INAONESHA KUWA DUNIA HAIZUNGUKI.

Pili kuhusu "the earth is flat and not round".... bado kuna debate zinaendelea kuelezea kivipi dunia ni flat na sio duara kama tunavojua. Ila katika hili kuna maswali mengi sana, maana kuna issues za horizon, light, space and sky ceiling, land curvature ambazo mm mwenyewe binafsi naendelea kuzifatilia ila kwa sasa sina clue ambazo zitani support kuelezea kivip dunia ni tambarale.

Ila inasemekana dunia ina umbo la flat disk kama hii.

View attachment 216727

Hii ni bendera ya United Nations na ramani yake ya dunia iko tofauti na ramani ambazo tunazozijua. Hivyo inasemekana kuna siri katika shape ya dunia. flat earth society wanaamini kuwa dunia iko hivyo ila kwa pande nne sio round kama inavoonekana kwenye hiyo picha juu.

Pia kuhusu maji ya bahari kuna kuta za barafu zinashilia hayo maji. Hii inawezekana baada ya ile mada ya kuto kuwepo kwa south pole kule Antarctica.

Kunasemekana Antarctica ni kubwa kuliko tunavoiona katika ramani, pia ndiko kunakoaminika kuwa ni kitovu kitakocho onyesha kuwa dunia sio duara bali ni tambarale.

Maana hakuna ndege inayoruhusiwa kipita katika anga la Antarctica. Jiulize, Kina "NASA" wanadai wameenda mwezini, wametuma vifaa vya kisasa huko sayari mars na vyengine mbali zaid lakini wameshindwa kupita juu ya Antarctica kisa ni baridi kali... JIULIZE!!!!!!

2. Udini:

Katka udini nitazungumzia katika upande wa imani ya kikristo.

1. katika agano la kale yoshua alisimamisha jua. Yoshua 10: 12-13 "12 Ndipo Yoshua akanena na Bwana katika siku hiyo ambayo Bwana aliwatoa Waamori mbele ya wana wa Israeli; akasema mbele ya macho ya Israeli, Wewe Jua, simama kimya juu ya Gibeoni;

Na wewe Mwezi, simama katika bonde la Aiyaloni.
13 Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia, Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao."

hii inaonyesha kuwa Jua ndilo linalozunguka dunia na sio dunia linazunguka Jua, Hivyo dunia haizunguki na iko stationary

2. katika agano jipya shetani alimchukua Yesu mpaka mahali pa juu na kumuonyesha ulimwengu wote:
Luka 4 : 5 -8

5 Kisha Ibilisi akamchukua hadi mahali pa juu, akamwonyesha kwa mara moja falme zote za ulimwengu. Huyo Shetani akamwambia,

6 Nitakupa uwezo juu ya falme zote hizi na fahari zake, kwa maana nimepewa hivi vyote; nikitaka kumpa mtu ninaweza. 7 Hivi vyote vitakuwa mali yako wewe, kama ukiniabudu."

8
Yesu akamjibu, "Imeandikwa: Utamwabudu Bwana Mungu wako, na utamtumikia yeye peke yake."

kama dunia ingekuwa duara basi ingekuwa haiwezekani kwa falme zote za ulimwengu kuonekana kwa mara moja.


3. malaika wanne katika kona za nchi:

Ufunuo 7 : 1

"1 Baada ya hayo nikaona malaika wanne wamesimama katika pembe nne za nchi, wakizizuia pepo nne za nchi, upepo usivume juu ya nchi, wala juu ya bahari, wala juu ya mti wo wote."

hii inaonesha kuwa dunia pia sio duara, maana kama ni round hizo pembe nne za nchi zitapatikanaje?. Hivyo dunia might be square or rectangle.


TUJADILI ZAID NI HAYA NILIYOYAKUTA KATIKA KUJUA ZAID...... THANKS

We ndio unatuchanganya kabisaaa, ngoja waje.
 
Hivi hizi commercial Jet zinazokumbwa na masaibu angani zinakuwa nje ya atmosphere au zenyewe sio sehemu ya inzi kwenye ndege ?
Mfano ni AirAsia
Hata mimi nahisi ile ndege ya Malaysia iliyopotea na Abiria ilikumbwa na masaibu ikatoka NJE YA DUNIA. kama hoja hapa ni kwamba dunia ipo flat
 
Mkuu jaribu kuangalia ramani ya dunia katika bendera ya UN... dunia sio flat as rectangle au mraba ni "duara flat" labda niseme hivyo

Ndugu yangu ngoja nikupe darasa kidogo kuhusu mambo ya ramani. Unatolea mfano ramani ya dunia iliyoko kwenye UN emblem/logo. Ile ramani ni projection kutoka 3D curved surface kwenda 2D plain surface. Sasa kwa nini hiyo ramani ni ya mduara? Ramani imekuwa ya mduara kwa kuwa katika kubadilisha kutoka 3D kwenda 2D imetumika projection inaitwa 'Azimuthal equidistant projection". Hii projection imekuwa applied kwenye ncha ya kaskazini mwa duniua (projection centred on the North Pole".

Kwa hiyo unachokiona kwenye ramani iliyoko kwenye UN logo ni ramani ya dunia ikiwa imechorwa kwenye plain surface (2D) kimahesabu imebadilishwa kutoka umbile la duara kuwa kwenye uwanda ulio sawa katika 2D. Projection hiyo hiyo uki-apply kwenye maeneo ya equator ramani ya dunia itatoka tofauti kabisa na ulivyozoea. Labda fanya home usome Map projections kuna materials mengi tu online au hii hapa Map Projections: A Working Manual
 
Hata mimi nahisi ile ndege ya Malaysia iliyopotea na Abiria ilikumbwa na masaibu ikatoka NJE YA DUNIA. kama hoja hapa ni kwamba dunia ipo flat

dunia ni mviringo lakini watu wote dunia nzima tuko juu yake maana wote tunaliona anga kwa mchana hata usiku.
anyway siwajibiki kuamini kila kisemwacho na wanasayansi.
 
Same speed!!! Vitu vyote vilivyoko duniani na kwenye atmosphere yake vina move at the same speed same momentum. Vituo vya anga vya utafiti ni moving station viko fixed kwenye orbit na vinazunguka kwa speed sawa na ya dunia. Na ndio maana unaviona kama viko stationary

Hata mimi nahisi ile ndege ya Malaysia iliyopotea na Abiria ilikumbwa na masaibu ikatoka NJE YA DUNIA. kama hoja hapa ni kwamba dunia ipo flat

nilikuwa ninajibu hoja ya vitu vyote ndani ya atmisphere vinazunguka pamoja.na.dunia huku mfano ukitolewa wa au msafiri kwrnye.ndege akiwa na.uwezo wa kwenda pasipo kuayhiriwa na speed ya ndege
nimehoji kwamba AirAsia rubani aliomba kubadili route kwa kuwa hali ya hewa ilikuwa imechanganyikiwa.
kama vitu vyote katika atmosphere vinazunguka pamoja.na dunia iweje ajali.za.ndege zinatokea zikisababishwa na hali mbaya ya hewa.
hiyo hali.ya hewa yenyewe haizunguki sawa na dunia ?
ni.hoja.dhidi ya dunia kuzunguka...
binafsi sijapata sababu.nzito kuthibitisha dunia kuzunguka..
 
Naomba Nichangie Kidogo....

Sayansi Ya Fizikia Inasema Ukikaaa Ndan Ya Gari Na Ukarusha Kajiwe Kutoka Kwny Mkono Wako Wakat Gari Inatembea( Rusha Umbal Wa Wastan) Kile Kijiwe Kitarud Kwenye Mkono Wako, Hivyo Hivyo Na Ndege Kwa Sababu Inapoanza Kuruka (Projected) Kifizikia Inafanya Considerations Pia Za Speed Ya Dunia.

Pili Iyo Raman Kwenye Bendera Ni Kwamba Wameichora As If They Are In One Of Earth's Pole (Nahis Iyo Ni Arctic) Na Umeona Kabisa IYo Line Margin Ya Dunia Ni Ellipse. Sio Kwamba Iko Tofaut Kama Ulivodai.
 
ndugu usiite mawazo duni ni bora uonyesha hoja nzito kuelezea kuliko kubeza moja kwa moja...
haya mambo ya ushahidi wa picha mimi siyakubali sana...ni vema tukapewa ushahidi zaidi ya huo.
mimi nimewasikia watu wakisema hata ukiangalia meli inapozidi kwenda mbali unaona kama inazama kwamba huo pia ni ushahidi,lakini unaangalia meli inaelekea zanzibar haijafika zanzibar inaonekana kama inazama, kweli huo ni ushahidi ?
hivi namna jicho la binadam linavyoona halina athari katika maumbo ya vitu vikiwa mbali ? isije kuwa tunahitimisha kwa kudanganywa na macho.

kama ushahidi wa picha huutaki, unataka ushahidi gani basi?
 
Hivi hizi commercial Jet zinazokumbwa na masaibu angani zinakuwa nje ya atmosphere au zenyewe sio sehemu ya inzi kwenye ndege ?
Mfano ni AirAsia
Commercial jet hizi ni bahati mbaya Mbaya zaid ni kwamba kuna eneo hapo mashariki ya mbali ni mabaya yana mikondo mibaya ya hali ya hewa kuna moja wanaita bermuda Triangle pale ni ndege na meli kwa mamia zimepotea
 
labda tumuongezee tu kuhusu dunia kuzunguka na vitu vyote vilivyomo ndani.
mfano mzur ni pale nzi anapokuwa anafly ndani ya basi lililo kwenye mwendo, kwa idea ya mleta mada ilibidi nzi asiende sawa na basi na hvyo angejigonga kwenye kioo cha nyuma cha basi. but kama tunavyoshuhudiaga ni kuwa nzi nae huenda sawa na basi bila ya kujigonga.

Hebu Mchukue Huyo Inzi/mende Muweke Kwenye Chungu Au Kitu Chochote Cha Duara Then Kizungushe Tuone Kama Atatembea Au Kupaa Usitoe Mifano Kwenye Magari Toa Mifano Kwenye Vitu Vyenye Mzunguko Kuprove
 
Habarini,

Katika pitapita zangu za kujua vitu nikakuta hii kitu kuhusiana na dunia kutokuwa ni duara na ni tambarale pia haizunguki katika muhimili wake kama tulivofundishwa huko shule za awali.

Kuna baadhi ya ushahid unaotokana na mazingira jinsi yalivo pamoja na udini kidogo...

1. kwa mazingira jinsi yalivyo:

Kwanza kuhusu "earth is not rotating" .... kawaida dunia inazunguka jua kwa muda siku 365 na hujizungusha katika muhimil wake kwa muda wa masaa 24 kumaliza mzunguko wake, na ndipo tunapata usiku na mchana.... (hivi ndivo navojua mm na wewe)

lakini kuna maelezo yanayo onyesha kuwa dunia haijizungushi bali jua na vilivo juu vinaizunguka dunia. proof wanaosema kwamba dunia haizunguki ni hii ya usafiri wa ndege.

Tuanze kwa kusema kwamba dunia inajizungusha katika muhimili wake kwa speed ya 6070 km/hr kutokea magharibi kwenda mashariki, ndio maana tunapata kuona jua linachomoza kutokea mashariki na kuzama magharibi.

Sasa tuchuke mfano ndege inatokea marekani (Washington DC) kwenda uingereza (London). Hivyo ndege inatoka magharibi kwenda mashariki. Umbali kutoka marekani mpaka uingereza ni 5934.6 km na inachukua masaa 7 na dakika 39, hivyo ndege husafiri katika umbali huo kwa 775.76 km/hr. Hivyo kama dunia inakuwa katika speed yake ya 1675 km/hr basi huu umbali ungeongezeka zaid maana dunia ingekuwa inazidi kwenda mbele kutoka magharibi kwenda mashariki na ndege hiyo kwa speed hiyo ya 775.76 km/hr. [lets assume kwamba umbali huo unatokana na speed ya dunia na speed ya ndege kutoka magharib kwenda mashariki]

JE, KAMA NDEGE INATOKA UINGEREZA KWENDA MAREKANI UMBALI UTAKAO KUWA COVERED NA NDEGE UTAKUWA SAWA NA WA MWANZO (5934.6 KM) KAMA DUNIA INAJIZUNGUSHA KUTOKA MAGHARIBI KWENDA MASHARIKI?

JIBU NI HAPANA, MAANA KAMA NDEGE INATOKA MASHARIKI KWENDA MAGHARIBI NA DUNIA INAZUNGUKA KUTOKA MAGHARIBI KWENDA MASHARIKI BASI UMBALI UTAPUNGUA MAANA DUNIA NA JUA ZITAKUWA OPPOSITE DIRECTION.

View attachment 216726

Lakini kiuhalisia umbali utakuwa ni huohuo na masaa ya kusafiri yatakuwa ni hayohayo... HIVYO HII INAONESHA KUWA DUNIA HAIZUNGUKI.

Pili kuhusu "the earth is flat and not round".... bado kuna debate zinaendelea kuelezea kivipi dunia ni flat na sio duara kama tunavojua. Ila katika hili kuna maswali mengi sana, maana kuna issues za horizon, light, space and sky ceiling, land curvature ambazo mm mwenyewe binafsi naendelea kuzifatilia ila kwa sasa sina clue ambazo zitani support kuelezea kivip dunia ni tambarale.

Ila inasemekana dunia ina umbo la flat disk kama hii.

View attachment 216727

Hii ni bendera ya United Nations na ramani yake ya dunia iko tofauti na ramani ambazo tunazozijua. Hivyo inasemekana kuna siri katika shape ya dunia. flat earth society wanaamini kuwa dunia iko hivyo ila kwa pande nne sio round kama inavoonekana kwenye hiyo picha juu.

Pia kuhusu maji ya bahari kuna kuta za barafu zinashilia hayo maji. Hii inawezekana baada ya ile mada ya kuto kuwepo kwa south pole kule Antarctica.

Kunasemekana Antarctica ni kubwa kuliko tunavoiona katika ramani, pia ndiko kunakoaminika kuwa ni kitovu kitakocho onyesha kuwa dunia sio duara bali ni tambarale.

Maana hakuna ndege inayoruhusiwa kipita katika anga la Antarctica. Jiulize, Kina "NASA" wanadai wameenda mwezini, wametuma vifaa vya kisasa huko sayari mars na vyengine mbali zaid lakini wameshindwa kupita juu ya Antarctica kisa ni baridi kali... JIULIZE!!!!!!

2. Udini:

Katka udini nitazungumzia katika upande wa imani ya kikristo.

1. katika agano la kale yoshua alisimamisha jua. Yoshua 10: 12-13 "12 Ndipo Yoshua akanena na Bwana katika siku hiyo ambayo Bwana aliwatoa Waamori mbele ya wana wa Israeli; akasema mbele ya macho ya Israeli, Wewe Jua, simama kimya juu ya Gibeoni;

Na wewe Mwezi, simama katika bonde la Aiyaloni.
13 Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia, Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao."

hii inaonyesha kuwa Jua ndilo linalozunguka dunia na sio dunia linazunguka Jua, Hivyo dunia haizunguki na iko stationary

2. katika agano jipya shetani alimchukua Yesu mpaka mahali pa juu na kumuonyesha ulimwengu wote:
Luka 4 : 5 -8

5 Kisha Ibilisi akamchukua hadi mahali pa juu, akamwonyesha kwa mara moja falme zote za ulimwengu. Huyo Shetani akamwambia,

6 Nitakupa uwezo juu ya falme zote hizi na fahari zake, kwa maana nimepewa hivi vyote; nikitaka kumpa mtu ninaweza. 7 Hivi vyote vitakuwa mali yako wewe, kama ukiniabudu."

8
Yesu akamjibu, "Imeandikwa: Utamwabudu Bwana Mungu wako, na utamtumikia yeye peke yake."

kama dunia ingekuwa duara basi ingekuwa haiwezekani kwa falme zote za ulimwengu kuonekana kwa mara moja.


3. malaika wanne katika kona za nchi:

Ufunuo 7 : 1

"1 Baada ya hayo nikaona malaika wanne wamesimama katika pembe nne za nchi, wakizizuia pepo nne za nchi, upepo usivume juu ya nchi, wala juu ya bahari, wala juu ya mti wo wote."

hii inaonesha kuwa dunia pia sio duara, maana kama ni round hizo pembe nne za nchi zitapatikanaje?. Hivyo dunia might be square or rectangle.


TUJADILI ZAID NI HAYA NILIYOYAKUTA KATIKA KUJUA ZAID...... THANKS

Ufunuo 7:1 ni figure of speech inayomaanisha North, South, East and West....kisha inaeleza kuhusu upepo (wind) as wind comes from east, or west or north and south.

Soma Ayubu 26 uone inavyoeleza namna dunia inavyoning'inia na mzingo wa duara uliochorwa juu yake kuzuia maji yaliyo juu.



10 Amechora mviringo juu ya uso wa maji,+
Mpaka mahali ambapo nuru huishia katika giza.


*********************************************************

Luka 4:8 Yesu akamjibu, "Imeandikwa: Utamwabudu Bwana Mungu wako, na utamtumikia yeye peke yake."

kama dunia ingekuwa duara basi ingekuwa haiwezekani kwa falme zote za ulimwengu kuonekana kwa mara moja.

Hii comment yako ni ya kipuuzi kabisa. Kwako wewe haiwezekani kuiona dunia yote kwa mara moja....hata hivyo hakuna mahali ambapo Biblia inasema alimwonyesha mara moja....hii mara moja ni yako wewe......pia Ikiwa Yesu is deity kuuona ulimwengu wote kwa wakati mmoja is not an issue ni issue kwako wewe mwanadamu 'a mortal' unless unataka kuanzisha hoja ya 'Yesu si Mungu'.
 
Naomba Nichangie Kidogo....

Sayansi Ya Fizikia Inasema Ukikaaa Ndan Ya Gari Na Ukarusha Kajiwe Kutoka Kwny Mkono Wako Wakat Gari Inatembea( Rusha Umbal Wa Wastan) Kile Kijiwe Kitarud Kwenye Mkono Wako, Hivyo Hivyo Na Ndege Kwa Sababu Inapoanza Kuruka (Projected) Kifizikia Inafanya Considerations Pia Za Speed Ya Dunia.

Pili Iyo Raman Kwenye Bendera Ni Kwamba Wameichora As If They Are In One Of Earth's Pole (Nahis Iyo Ni Arctic) Na Umeona Kabisa IYo Line Margin Ya Dunia Ni Ellipse. Sio Kwamba Iko Tofaut Kama Ulivodai.

gari lipo naamini umewahi kipanda,umewahi kurusha kijiwe kikarudi mkononi mwako ?
 
Commercial jet hizi ni bahati mbaya Mbaya zaid ni kwamba kuna eneo hapo mashariki ya mbali ni mabaya yana mikondo mibaya ya hali ya hewa kuna moja wanaita bermuda Triangle pale ni ndege na meli kwa mamia zimepotea

una maana eneo husika atmosphere haizunguki na dunia ? au nini kinatokea angani wakati tunaambiwa dunia inaxinguka na atmosphere yote ?
 
Commercial jet hizi ni bahati mbaya Mbaya zaid ni kwamba kuna eneo hapo mashariki ya mbali ni mabaya yana mikondo mibaya ya hali ya hewa kuna moja wanaita bermuda Triangle pale ni ndege na meli kwa mamia zimepotea

hiyo Triangle ipo bahari ya Antlantiki na siyo mashariki ya mbali, unaweza orodhesha angalau ndege/meli kumi zilizopotea kwenye hicho kimachoitwa bermuda triangle!!
 
Back
Top Bottom