'The Economist' Takes Gloves off on Kikwete...

'The Economist' Takes Gloves off on Kikwete...

Rev. Kishoka:

Mimi sipo Tanzania. Lakini nikichukua posts za JF kama public sentiment ya watanzania, maoni yangu yangekuwa sawa na mwandishi wa Economist kuhusu JK.

Kuna uwezekano mkubwa mwandishi ali-compile maoni yaliopo JF au watu wenye fikra za wana JF na kuyatolea article kwenye Economist.

Swali je watanzania ambao wanapiga kura na kumchagua rais wana-sentiment gani kuhusu JK?

Zakumi,

Nimekuwa nikijiuliza hili swali kuwa Economist wameandika ambacho tukitumia mahisabati hewa, tutasema ni wale 20% ambao hawakumpa kura Kikwete.

Sasa katika kutafakari hili, najiuliza wale wote waliomshangilia Kikwete na kumfanya tegemeo, wako wapi leo hii?

Nilipoandika "Thanks God for giving us Kikwete" wengi hawakunielewa, kwa kuwa walishajifunga kwa kuamuakuwa kwa kuwa Kikwete hana uwezo, basi hana manufaa.

Jibu langu kwako ni nyota na mbegu mpya iliyonguruma Busanda. Kama watu wameisikiliza hotuba ya Zitto na kuitafakari, basi itakuwa rahisi kwao kuamua kama wameridhika na walichopata kutokana na hizo kura 80% na uwakilishi wake pamoja na tabasamu au waamke.

Ikiwa hao 80% watasema wameridhika, hatuwezi kuwalazimisha wabadilishe utashi wao, lakini sisi tutaendelea na safari ya kujiendeleza na kujitegemea na kuwaacha wao waking'ang'ania Siasa Chafu na Uongozi Dhaifu mpaka siku machungu yatakapowazidi nao wakakata shauri na "kuokoka"!
 
Zakumi,

Nimekuwa nikijiuliza hili swali kuwa Economist wameandika ambacho tukitumia mahisabati hewa, tutasema ni wale 20% ambao hawakumpa kura Kikwete.

Sasa katika kutafakari hili, najiuliza wale wote waliomshangilia Kikwete na kumfanya tegemeo, wako wapi leo hii?

Nilipoandika "Thanks God for giving us Kikwete" wengi hawakunielewa, kwa kuwa walishajifunga kwa kuamuakuwa kwa kuwa Kikwete hana uwezo, basi hana manufaa.

Jibu langu kwako ni nyota na mbegu mpya iliyonguruma Busanda. Kama watu wameisikiliza hotuba ya Zitto na kuitafakari, basi itakuwa rahisi kwao kuamua kama wameridhika na walichopata kutokana na hizo kura 80% na uwakilishi wake pamoja na tabasamu au waamke.

Ikiwa hao 80% watasema wameridhika, hatuwezi kuwalazimisha wabadilishe utashi wao, lakini sisi tutaendelea na safari ya kujiendeleza na kujitegemea na kuwaacha wao waking'ang'ania Siasa Chafu na Uongozi Dhaifu mpaka siku machungu yatakapowazidi nao wakakata shauri na "kuokoka"!


Rev. Kishoka:

Nakubaliana na uchambuzi wako. Lakini ukiisoma kwa makini, utaona kuwa article zima sio juu ya JK tu. Sehemu kubwa ya 20% ya critics wa JK imo au inachangia katika yafuatayo:

  1. Those who set up shop in the country are often disappointed. Tanzania, many complain, is a “slow” or even “terrible” place to do business—and “ungrateful” for foreign aid or investment (wasomi wengi wa kibongo wapo humu).
  2. Even its boosters admit it is wrapped in red tape and lacks skilled workers (huu ni utamaduni wetu toka enzi za mababu).
  3. The world crisis may bolster old socialists in the CCM who want a return to ujamaa (Kishoka, Mkandara, Mwanakijiji inc.).
  4. It suspects Kenya of using the EAC as a way of grabbing arable Tanzanian land on the cheap (Watanzania wote).
  5. And the country’s tiny middle class fears being swamped in a common market by better-qualified Kenyans and Ugandans (Companero, Kishoka and JF members).
 
Ndugu watanzania,
Hii si mara ya kwanza gazeti hili kuandika habari za Tanzania. Soma vizuri habari na fikiria vizuri matukio mbali mbali.
Habari hizi ni makala kutoka KENYA, zinatumwa na Warig na Kamau. Fuatilia kwa makini article zao katika blogs halafu soma habari hizi katika economics.
Mfano, eti China is considering of Kenya.... bla bla bla
Hawa ni jirani zetu baada ya kuwa frustrated na mambo ya land wana kampeni ya kutuchafua.
Soma habari za Prof. Magamba Kabudi alizosema wiki moja iliyopita.
Soma makala za Warigi Kamau na Uncle Paul kamau za mwaka jana na mwaka huu, halafu soma makala za The Economist it is the same thing!!

Wether there facts or not I know for sure, this is Kenyan buisness!! to smear us before international platform.
Watanzania msiingiie katika mjadala huu bali tuwaambie wakenya Shut off na waache kutumia magazeti. Hawa watatugombanisha.
 
Elections in Tanzania

What's the hurry?

Jun 3rd 2010 | DAR ES SALAAM

THE World Bank now ranks Tanzania a lacklustre 131st in the world, dropping steadily down the league as a place for doing business. Neighbouring Uganda comes in at 112th, with Kenya in 95th place. Well ahead of the region's big three, at 67th, is little Rwanda, a relatively late aspirant as a serious competitor. Tanzania is the laggard in a poor field. A local brand of socialism first promoted by Tanzania's founding president, Julius Nyerere, helped give its 44m people a sense of unity but failed to equip them for the 21st century. The country still feels elephantine, its infrastructure is rickety, its electricity patchy, most of its roads unpaved and potholed.

President Jakaya Kikwete knows how it is. On a recent trip he had to change cars twice in a day when they broke down on rutted roads. He used the waiting time to chat to locals. That may help him in elections due in October. He will probably run again for another five-year term. If he does, he is almost certain to win.

His party, the Chama cha Mapinduzi (Party of the Revolution), has run Tanzania in various guises since the country was founded in 1964 after Tanganyika on the mainland merged with the island of Zanzibar. The ruling party has a small reform-minded wing and a much larger body that harks back to old-style liberation movements. Mr Kikwete stands carefully in the middle. He recently warmly welcomed in Dar es Salaam both Zimbabwe's Robert Mugabe and the Swiss-based World Economic Forum, a club of capitalists.

Mr Kikwete may use a second term to try to integrate Tanzania and its neighbours into a revived East African Community. With rural voters behind him, he can afford to be tough on groups that might threaten him. He has denounced recent attempts by the trade unions to strike for a higher minimum wage. He may also have persuaded the president of autonomous Zanzibar, Amani Karume, to share power with the island's opposition. That should head off violence in the election run-up.

Tanzania's economy is ticking along. This year it may grow by 6%. Inflation is edging down. Foreigners still help pay for health care and education. Dar es Salaam's once-chaotic port is a bit better run. High gold prices boost the budget. New laws to end tax breaks for mining companies and to raise royalties may bring in more cash. Tanzania has plenty of water and abundant farmland still to be developed.

Mr Kikwete has at least tried to give the appearance of curbing corruption. A Bank of Tanzania official was acquitted of puffing up the cost of building a bank from $73m to $357m but found guilty of "abusing power". Visiting businessmen, however, say they are still deterred by red tape, a weak legal system and a lack of skilled labour. Above all, they say, Tanzanians seem to lack a sense of urgency.

Elections in Tanzania: What's the hurry? | The Economist

NB: ETI HATUNA SENSE OF URGENCY!!! Watukome sisi vijana wa Nyerere, tumezoea kutembea huku tunapunga mkono. Haraka za nini?:humble:
 
I can tell the guy who wrote this article is a Kenyan! from the style of writting, he could be fair enough to highlight issues at his home country first! But all in all Kikwete is mbabaishaji! he doesnt deserve the second term
 
I can tell the guy who wrote this article is a Kenyan! from the style of writting, he could be fair enough to highlight issues at his home country first! But all in all Kikwete is mbabaishaji! he doesnt deserve the second term

spot on geza
yani huyu jamaa aliyoa andika hii ni mkenya
kila kitu kimekaa kikenyakenya
 
Tanzania tuna bahati mbaya mbili:

(1) Bahati mbaya ya kwanza ni kukosa uongozi wa dhati. Tangu tupate uhuru tumekuwa na uongozi wa kubabaisha tu. Inashangaza kuwa katika mazingira ya leo bado viongozi wetu hawaoni mambo kwa kina na wala hawana jambo wanalofanya kwa mtazamo wa muda mrefu; mara zote wanaangilia pafupi sana.

(2) Bahati mbaya ya pili ni kuwa na ujirani na Kenya. Yaani kati ya nchi zote zinazoizunguka Tanzania : Msumbiji, Malawi, Zambia, Kongo, Burundi, Rwanda na Uganda; Kenya imakuwa kama vile ndio majirani zetu pekee. Na kati ya majirani wote wa Kenya: Somalia, Ethiopia, Sudan, na Uganda, bado wao wanadhani kuwa jirani yao pekee ni Tanzania tu. Kelele zao zote kwa majirani zimekuwa ni Tanzania inafanya hivi, Tanzania iko vile, na upuuzi mwingi tu. Ndiyo maana nilikuwa napenda sana Tanzania ijiimarishe zaidi kwenye SADC kuliko hii EAC, hasa ukizingatia kuwa historically tulipoteza sana raslimali zetu kwa ajili ya ukombozi wa huko kusini, hivyo itakuwa ni jambo la maana tukishirikiana nao kwa hope ya kuweza kurecover raslimali tulizopoteza huko. Kushirikiana na Kenya katika mazingira ya aina hii tutaishia kukorofishana na kurudia makosa yale yale ya mwaka 1977.
 
So what if it is a bad smear from Kenyan, Ugandan or Armenian? Ukwli ni kuwa tunavurunda na inabidi tukubali huo ukweli kwanza ndipo tuanze kudai tunasingiziwa.

It does not matter who writes a piece the reality is this; all what was written is true!
 
Wana JF..mimi napenda kudodosa The Economist... hizo $2.4bn zilikuwa za miradi ipi?? na kwanini hazikutumika..hapo tungepata mwanga ..kwani naamini kama muhisani katoa bado kaweka masharti ya kuzitumia... pamoja na ugoigoi wetu na hoja za The Economist..hatuoni kwamba bado ni kampeni za kuitaka Tz ikubaliane na kila kitu chini ya mwavuli wa EAC??? Hoja ya Ujamaa inathibitisha kampeni hiyo ya Wa-Tz Kukubali kila kitu cha EAC. WanaJF nani anataka tena kurudi zama za foleni?? hakuna!!!
Uchaguzi njoo..bado ni lazima kuwe na sera za kitaifa za kuleta maendeleo ya kijamii bila kujali ni chama gani kinachukua madaraka. HAYO NDO MAENDELEO..MALUMBANO MENGINE NI VITA VYA PANZI FURAHA YA KUNGURU
 
Tanzania tuna bahati mbaya mbili:


(2) Bahati mbaya ya pili ni kuwa na ujirani na Kenya. Yaani kati ya nchi zote zinazoizunguka Tanzania : Msumbiji, Malawi, Zambia, Kongo, Burundi, Rwanda na Uganda; Kenya imakuwa kama vile ndio majirani zetu pekee. Na kati ya majirani wote wa Kenya: Somalia, Ethiopia, Sudan, na Uganda, bado wao wanadhani kuwa jirani yao pekee ni Tanzania tu. Kelele zao zote kwa majirani zimekuwa ni Tanzania inafanya hivi, Tanzania iko vile, na upuuzi mwingi tu.

Nimeipenda sana hii kichuguu na inaukweli sana. Unfortunately further comments will be off topic.
 
Watangaza nia mnasemaje?

Rev amani iwe nawe. Mkuu umepotea sana tu, za miaka? BTW ile timu yako kama kawaida wamenunua kombe tena baada ya kulialia kama vitotot vilivyokosa lawalawa.

Rais anayemaliza muda wake ni jehanamu ambalo tumelipata kwa miaka kumi. Tuombe uzima tubadili nchi yetu ambayo ipo mikononi mwa wezi. EL amemwaga pesa kama njugu kwa vyombo vya habari ili aukwae urais, hivyo ndivyo nchi yetu inavyoongozwa kama mdundiko inasomba wote walio njiani, we need to change this whoever wins.
 
Back
Top Bottom