'The Economist' Takes Gloves off on Kikwete...

'The Economist' Takes Gloves off on Kikwete...

i completely agree with the "economist", Tanzania has become worse in all sectors during this JK era,he has not improved anything...but i think the history prooves itself...najua hapa katika ukumbi huu kuna watu wanahistoria nzuri sana ya nchi yetu..mimi natoa challenge mtu alete historia ya uongozi wa JK kabla ya uraisi wake....especially kwenye perfomance za utendaji...inapofika hatua raisi hana uwezo wa kuamua vitu kwa ajiri ya chi yake then ameshindwa kazi...lakini pia kitu kingine kikubwa anachomuumiza pia ni historia ya namna alivyoingia madarakani....makundi yalikuwa mengi and njia chafu zilitumika sana kiasi cha kwamba hana kauli kwa wazamini wake....
yes he will win by the majority na kama kawaida atahemewa....hivi ni nani ambaye anaweza akamkemea raisi?? yeye ndio raisi wa nchi, mwenyekiti wa CCM chama tawala..no one can go agaist him...he is atop...

report kama hiyo ya the economist zimekuwepo hapa nchini kwa muda kujaribu kuassess kazi za JK na nyingi zimeonyesha uozo mkubwa katika utendaji wake...liko wazi sana..hata ile hotuba ya spika kumshukuru raisi kwa speech pale bungeni alipokwenda kuzungumzia EPA, ilikuwa ni kijembe cha utendaji..kkwamba serikali(JK) inaongea sana kuliko kutenda...
 
What a breathe of fresh air on the Forum, thank you mkuu, you always are a calm hand in the midst of calamity. Badala ya kupoteza muda kwa kushabikia katika threads zingine naomba nichangie hapa:
Economist ni wanafiki sana, nadhani ukipiga search mwaka 2006 waliandika article ambapo walimsifia JK ya kuwa ni John F Kennedy of Africa!!!! I am not joking! That does not mean that I dsmiss this article out of hand in fact I have continued to read the Economist ever since. However we have to be cautious and say haijashushwa kutoka Mungu, so we should always weigh what and why they write it.
Mimi naamini ya kuwa Western world has ended its love affair with the 'young and dynamic' leader of Tanzania and they finally see him for what he is - an ineffective leader. But this is not about him, we have to look at some of the very important points raised in particular the competetiveness of Tanzania within the region.
Another alarming issue is that Aid or donor money was not disbursed! Why and what happened. Mi naamini kuwa hata hao donors inabidi tuwabane na kuwalazimisha wachapishe katika magazeti wametoa misaada kiasi gani kwa nchi yetu ili tuweze kufuatilia pesa zetu maana any aid is given to the people of Tanzania na siyo serikali na watendaji wake.
I also think it is high time for donors to consider not giving money to the govenrment. They should disperse funds with the private sector, na hizi NGOs pia haifai, inatakiwa iwe Foundations that are audited na zipite some form of test that qualifies them to handle money on behalf of the Tanzanian people.
All in all I think that the analysis is fair although it is still trying to paint a rosy picture somewhatlakini at least there is acknowledgement that there is trouble and even bigger problems ahead.
JK has been ineffective leader indeed...support this...hata watanzania nazani sasa wamemjua who he is...? ila tutamchagua tena tu...we are not prepared for changes...hata wengi hapa wanaochangia pamoja na kuonyesha hisia zao katika masuala haya bado tunaunafiki wa kisiasa kama viongozi wetu...mbona wakenya kila kukicha wanajitoa kwenye vyama vyao na kuazisha vingine kwa ujasiri na watu wanawasupport...kwanini hawa waliomo ccm na kutokubaliana na chama wasijitoe tukawapa support...je wanaogopa maslahi au wanahofia unafiki wa watanzania...
 
mtazamowangu,
Mkuu yawezekana kabisa kuwa Kikwete ana mapungufu yake kama kiongozi lakini hatuwezi kupotosha ukweli kwamba sisi wenyewe ndio wenye Mapungufu kwa kuyaona hayo mapungufu yake kuwa sio sababu ya kutomchagua..
Kutazama historia yake hakuwezi kutuambia jibu zaidi kwa nini sisi huwa tunawachagua viongozi ambao tuna claim ni wabovu..Na haitakuwa kumtendea haki Kikwete peke yake wakati hata Mwinyi na Mkapa wote hawa wamechaguliwa bila kuwa na historia yoyote yenye maana kuweza kushika wadhifa huo..
Sidhani kama kuna mtu hapa anaweza kutuambia kwa nini tuliwapigia kura viongozi hao kama sio imani kubwa tuliyoijenga kwa chama CCM..ndivyo economist walivyosema, maelezo yao yana ukweli mwingi lakini nachofahamu mimi ni baada ya matokeo.. Wao pia ni kama sisi hapa JF tunazungmzia mambo yaliyokwisha tokea, maamuzi yaliyokwisha tokea bila kutoa mwanga zaidi wa maradhi yetu..

Dilunga,
Mkuu hili swala la misaada kusema kweli linachanganya.. Ukisoma mwanzo wa sentesi hiyo imesema:- "Tanzania is not even spending all the aid it is given.
Hapa inaonyesha huwa hatutumii fedha yote tuliyopewa, kisha ukisoma kinachofuata kinapingana na utangulizi huu...kupotosha kile utakachowalaumu waandishi lakini message imefika kwa wasomaji kuwa sisi ni omba omba lakini hatufahamu kupanga vipaumbele wakati nchi kama Kenya imetuacha..
 
mtazamowangu,
Mkuu yawezekana kabisa kuwa Kikwete ana mapungufu yake kama kiongozi lakini hatuwezi kupotosha ukweli kwamba sisi wenyewe ndio wenye Mapungufu kwa kuyaona hayo mapungufu yake kuwa sio sababu ya kutomchagua..
Kutazama historia yake hakuwezi kutuambia jibu zaidi kwa nini sisi huwa tunawachagua viongozi ambao tuna claim ni wabovu..Na haitakuwa kumtendea haki Kikwete peke yake wakati hata Mwinyi na Mkapa wote hawa wamechaguliwa bila kuwa na historia yoyote yenye maana kuweza kushika wadhifa huo..
Sidhani kama kuna mtu hapa anaweza kutuambia kwa nini tuliwapigia kura viongozi hao kama sio imani kubwa tuliyoijenga kwa chama CCM..ndivyo economist walivyosema, maelezo yao yana ukweli mwingi lakini nachofahamu mimi ni baada ya matokeo.. Wao pia ni kama sisi hapa JF tunazungmzia mambo yaliyokwisha tokea, maamuzi yaliyokwisha tokea bila kutoa mwanga zaidi wa maradhi yetu..

Dilunga,
Mkuu hili swala la misaada kusema kweli linachanganya.. Ukisoma mwanzo wa sentesi hiyo imesema:- "Tanzania is not even spending all the aid it is given.
Hapa inaonyesha huwa hatutumii fedha yote tuliyopewa, kisha ukisoma kinachofuata kinapingana na utangulizi huu...kupotosha kile utakachowalaumu waandishi lakini message imefika kwa wasomaji kuwa sisi ni omba omba lakini hatufahamu kupanga vipaumbele wakati nchi kama Kenya imetuacha..
mkandara,

suala la sisi kushindwa kuona mapungufu ya wanaotuongoza ni kile mimi ninachokiita unafiki wa kisiasa..sio kwamba hatuoni na kujua ila ni mfumo ambao umetugubika na kuubadilisha huu lazima zifanyike juhudi za ziada...leo hii hata CCM ikiamua kumsimamisha Lowasa au Chenge kugombea uraisi..atashinda tu.....
 
mkandara,

leo hii hata CCM ikiamua kumsimamisha Lowasa au Chenge kugombea uraisi..atashinda tu.....
Hapo sasa ndipo naposhindwa kuelewa kwa nini tunadai kwamba tunataka maendeleo...
Na hii ndio tofauti kubwa ya Tanzania na nchi nyinginezo.
 
1. Katika sote tunaobonyeza keyboard na kukubaliana na gazeti la economist..ni wangapi tunapiga kura? kuibadilisha hiyo hali?
.
.
.
7. Naomba watu tuache longo longo..ambao mko majuu...anzeni kufanya mpango wa kurudi home next year kupiga kura. Its the ONLY we way we can influence changes. CCM has proved hawawezi kutupeleka popote. Kama ukiona kwamba kura yako moja haiwezi kuleta mabadiliko..na wengine wataona hivyo hivyo..na tutaishia kwenye mzunguko wa umasikini. Kama hujui umuhimu wa kura moja..uliza umuhimu wa "absentee ballots" huko unyamwezini.

8. Please come and vote next year and we should be real kuchagua viongozi kwa kuangalia records zao na si urafiki. KAMA Kigoma na Karatu waliweza ..kwa nini wengine washindwe?
.
.
.
Hope people can make a decision kuanza kutafuta tiketi next year waje home hata kwa siku chache..WAPIGE KURA. IT will make a difference.

umenena sawa sawa kabisa. inabidi mkija likizo muanze kuulizia hatua za kufuata ili uweze kujiandikisha katika daftari la kura.
 
Quote:


Hiyo sababu ya saba, Watanzania, ndio kiini cha tatizo. Si CCM, si Kikwete, si serikali.

ECONOMIST wametutandika fimbo wote, kwamba Watanzania ni watu slow, tusio na mwendo wa kwenda mbele, hatuna "dynamism." Hatuna ujuzi, tumezidiwa na Wakenya na Waganda, tunawaogopa. Tuko slow wanasema mpaka tumeshindwa hata kutumia hela tulizoomba, $ 2.4bil. Ukweli si kejeli, ashakum si matusi.





Labda ilikuwa muhimu kwao kutambua kuwa haiwezekani watu zaidi ya milioni 40 kuwa viongozi,hence the need for a government.Failure ya government si lazima itafisiriwe kuwa failure ya wananchi.Tunapozungumiza serikali,kwa maana ya government tunamaanisha bunge,mahakama na executive ( ambayo kwa kiswahili ni serikali pia).Failure ya vyombo hivyo vinavyopaswa kuwatumikia wananchi (kwa vile haiwezekani kila Mtanzania kuwa ndani ya serikali) haiwezi kutafsiriwa directly kuwa ni failure ya kila Mtanzania,unless tunazungumzia makosa katika kuiweka madarakani serikali iliyopo sasa.


Quote:
12n2_01.png


Kikwete sio dawa, sio ugonjwa.




Aliahidi kuwa dawa,wapigakura wakamwamini na kumkabidhi urais 2005.Ni ugonjwa kwa vile hawezi kujiepusha na kushindwa kwa Tanzania kufika inapostahili kuwa.Kwani dawa ni nini?Si ni kitu chochote kinachoweza kutibu?Lakini dawa pia inaweza kuwa feki,and for that matter,nadhani JK ni dawa ila ni dawa feki.Au pengine ni dawa iliyoisha muda wa matumizi.

Quote:
12n2_01.png


Miundombinu yetu ya reli na bandari imechoka mbaya, "rickety," wanasema. Reli, bandari, ndege, barabara, magari ya usafirishaji yalianza kuchoka toka enzi Nuhu anaibuka kutoka kwenye Gharika ya Kwanza ya Dunia.




Hivyo vyote havikuzaliwa namna hiyo,vimefikishwa katika hali hiyo na watu flani.JK alipokuwa anataka tumpe urais hakuwa blind,na aliona hiyo miundombinu "rickety",lakini bado aliwaaminisha Watanzania kuwa atarekebisha mambo.

Quote:
12n2_01.png


Kikwete kakikuta hiki kifafa cha miundombinu, na hana dawa.




Unaposema alikikuta,it sound as if JK alikuwa mjamzito kisha akazaa mtoto mwenye kifafa na asijue kama amtelekeze au amvumilie.Huyu ni Mtanzania mwenzetu anayefahamu vema mazingira ya nchi yetu.Si kwamba aliamka akawa rais,NO.Alizunguka takriban kila kona ya TZ na kuona namna gani hali ilivyo.Alikuwa akifahamu fika jukumu zito lilo mbele yake.Kama alikuwa anajua hana dawa,je aliomba urais ili iweje?I hope sio kupata fursa ya kuingia kwenye kumbukumbu za maisha yake kuwa "you see,na mie nilishawahi kuwa rais"...au kuendeleza ligi dhidi ya Vasco Da Gama

Quote:
12n2_01.png


Wananchi wa Tanzania, sio Kikwete, wote tumejaa uvivu, uchovu, ukilaza, uzembe wa mawazo na kazi. Jumatatu unaingia saa sita, jana ulilala msibani ukihani marehemu Mzee Dau, baba wa shangazi yake mke mdogo wa jirani yako. Jummanne inabidi uombe udhuru kumpeleka Pili hospitali. Jumatano unaenda kwenye mazishi, haupo kazini nusu siku. Alhamisi unaondoka mapema kuwahi lifti ya Mama Tarimo maana ukiikosa hii basi usafiri jioni udhia mtupu, isitoshe yabidi uwahi kwenye send off. Ijumaa unatakiwa harusini, ulitoa mchango. Wiki ijayo huna udhuru, utajitahidi kutulia kazini unasoma "Acha Umbea" na "Alasiri," ukichoka unachomoka kidogo kutafuta supu ya utumbo, ukirudi ni kusogoa na kunywa chai na maandazi. Nusu ya maisha yako ya kazi ni livu, na mshahara utapata wote. Sio wewe tu utapata mshahara mzima, na marehemu Mzee Dau nae atalipwa.





Hayo ni matusi ya nguoni kwa wazee wetu kule vijijini wanaoshinda juani kutwa nzima wakipinda mgongo kujipatia chakula,na ziada ya kupeleka vyama vya ushirika only for vyama hivyo kuwageuza wazee hao kuwa mtaji wao.I really hate (sorry I have to use this strong word) watu wanaopenda overgeneralization.Hivi Watanzania wangekuwa wavivu katika namna unayotaka kutuaminisha tungepata uhuru?Umeshawahi kuongea na wazee wetu kuhusu namna uhuru ulivyopiganiwa (forget about the sketches you read in history books).Uhuru ulivyotafutwa huko Maneromango,Kilwa Kipatimu,Mahenge,Ujiji,nk unaweza kuwa tofauti sana na hadithi unazosoma kwenye vitabu vya historia.Huko ndiko mapambano kati ya Mtanganyika namkoloni took place.

By the way,hata kama hiyo verdict yako kuhusu uzembe,etc ingekuwa sahihi,iweje tena useme JK sio miongoni mwa wenye tabia hiyo?Au Wakwere sio Watanzania?I hope you meant "Wananchi wa Tanzania,NA SIO JK PEKEE,tumejaa...."

Na mfano wako wa uvivu kwa vile mtu anaingia kazini saa tatu hauwatendei haki mamilioni ya Watanzania wanaopenda kuwa waajiriwa lakini wamekuwa jobless kutokana na SAPs na mipangilio ingine ya ajabuajabu.Nenda vijijini ukafanye huo utafiti wako kuthibitisha iwapo kuna wakulima wanaongia shambani saa sita.Na hiyo jumanne,mkulima hana wa kumwomba udhuru zaidi ya shamba na jembe lake.Ana anajua akifanya hivyo,hana pa kukimbilia.Ni jembe na shamba masaa 12 ya siku,wiki 52 za mwaka.Again mfano wako wa mazishi ya jumatano ni wa mfanyakazi as if Watanzani wote ni waajiriwa.

Kaka,sie tuliotoka familia za wakulima tunajua kuwa huendi shamba kwa lifti,unless kuwe na punda au something like that au ubahatike kupata lifti ya baiskeli.Na hizo send off unazozungumzia ni kwa watu wa mijini wanaojiweza.Hayo magazeti unayozungumzia ni kwa ajili ya wachache wenye kumudu "kupoteza fedha kwenye makaratasi" (utaulizwa kijijini,hivi hilo gazeti ukishasoma utashiba?hizo shs 400 za gazeti zinaweza kununua japo kipakti cha chumvi au fungu la bamia.)

Nusu ya maisha ya Mtanzania unayepaswa kumzungumzia sio kazi,bali ulalahoi huko mashambani.Hao wenye kazi ni asilimia ngapia ya Watanzania?


Quote:
12n2_01.png


Sasa kama hapo tatizo ni Kikwete basi waandishi wa makala hiyo wametutusi wote maana wamesema Mrisho atachaguliwa tena, wameongea kwa ukomo wa uhakika, atachaguliwa tena, na itakuwa ni kwa kishindo cha mmomonyoko wa ardhi ya uchaguzi, landslide. Kwa nini, kwa sababu Chama cha Mapinduzi kimewachota watu akili, wanasema kimetukuka katika longolongo dufu, "ponderous propaganda."




Hapa sina la kuongeza.Nakuunga mkono asilimia 100.Kikwete sio tu sehemu ya tatizo bali pia ni tatizo.Kwa Watanzania,tatizo ni uoga (some claim usio na sababu za msingi) kuwa angalau they know something about CCM (mabaya ni mengi kuliko mazuri,but that's not a point I'm trying to make: put it this way:angalau hao CCM tunawajua...hawa CUF hata hawaeleweki maana mara leo Hamad Rashid ana-sound as if angependa Rostam asiitwe fisadi,kesho Lipumba anaropoka lile....mara Zitto tulomdhani shujaa wetu nae anataka tununue "cheni bandia tuliyoporwa na majambazi kisha wanatuletea tuninunue tena" (isomeke MITAMBO YA DOWANS)....and lots of uncertainties.Ni rahisi kulaumu lakini tukumbuke kuwa hapa hatuzungumzii kuchora katuni kwa penseli ambapo ukikosea unafuta.Kuongoza nchi sio suala la trial and error.It's sort of a catch-22 situation we are in:CCM has not only proved a failure but it' also a useless political party for the time being.Hatuwezi kupata mabadiliko chini ya utawala wa chama hiki kilichoishiwa na mbinu za uongozi.HOWEVER,what's the alternative?Tuna vyama vya upinzani lakini havijawa tested enough kuaminiwa kulipeleka taifa hili kule kunakostahili.Ok,let's assume kuwa ni bora hao "serengeti boys wa kisiasa" kuliko "taifa stars ya enzi za kichwa cha mwendawazimu".Lakini,what if we are wrong?What if,kwa kuwaweka hao "mbadala" tukaishia kungo'ana macho wenyewe kwa wenyewe?



Quote:
12n2_01.png


Na wametuasa kusikiliza wenye nchi ndani ya chama kutaka kuwapeleka tena wananchi kwenye Ujamaa kwa kigezo cha mporomoko wa ubepari duniani. Wachambuzi wa The Econonimist wanasema genda ulole.[/




Kwa hili,binafsi namlaumu Nyerere.Why?Because when he realized that Ujamaa wouldnt work and had proved a failure,hakuwa na ujasiri wa kuwaomba radhi Watanzania.Anyway,kuomba radhi isn't a big deal,tungeweza kumsamehe kama angalau angetuchagualia mtu anayedhani angekuja na mawazo mapya yenye kuangaliwa what went wrong kwenye ujamaa na what needs to be done.He brought in MWINYI!Do I need to say more?

Pengine lawama pekee anayostahili Mwinyi ni kukubali kupokea nchi wakati hana ufumbuzi wa matatizo yaliyokuwa yanaikabili wakati huo.Same thing with fisadi Mkapa (angalau huyu alikuwa na mkakati wa kijitajirisha).Same thing with JK,ambaye nae pengine si wa kumlaumu sana kwa vile alishakuwa na mission yake ya kumpiku Vasco Da Gama sambamba na kuleta maisha bora kwa kila fisadi.

Bottom line is,tuwe makini katika kulaumu WATANZANIA,a group of peoples made of 40+ million of them,ambao takriban 3/4 yao wanaishi vijijini ambako hali ni tofauti sana na hiyo analysis ya urban Tanzania (which is basically Dar,a city attracting every 'specie' of human being,including hao wazembe,wavivu,wasengenyaji,nk......you could find such species in every metropolitan......lakini you could go further na kujiuliza:kwanini watu wanakimbia vijijini na kuja Dar (generic name for MIJINI)?


Me too! I hate watu wanaopenda overgeneralization wakidhani italeta chachu au effect kwa wengine positively.

Ni mategemeo yangu kwamba akina Rev. Kishoka, Dilunga,... watawaomba radhi WATANZANIA!
 
Hapo sasa ndipo naposhindwa kuelewa kwa nini tunadai kwamba tunataka maendeleo...
Na hii ndio tofauti kubwa ya Tanzania na nchi nyinginezo.

Mkandara,

Kama tukikupa nafasi uwe Rais wa Tanzania, unafirikiri unaweza ukafanya kipi cha ajabu sana ambacho kitatofautiana na CCM..........

Ninakuuliza hili swala la msingi kutokana na ukweli kwamba U cant destabilize a country while you don’t who how to stabilize it . Usemi huu uko proved na wamarekani katika vita yao na Iraq ,walienda Iraq Bila kujua baada ya Kumtoa Saadam Hussein WATAWEZAJE ku stablize Iraq ,kutojua ukweli huu it ended to cost them Billions of USD mpaka leo, Vita ya mienzi ikawa ya miaka.

Ninakuuliza swali hili kwasababu Tanzania tuna tatizo, Watu wanafikiri ikitoka CCM ndio itakuwa suluhisho la matitizo yetu yote....

Mwisho ninadhani ni mhumi tuanze kujua sera, especially z watu amabo mko au mnaelekea kwenye siasa.

Kila siku watu tunapiga zogo but I would like to see the alternative action plan ya kuipeleka nchi yetu mbeleh ?
 

Me too! I hate watu wanaopenda overgeneralization wakidhani italeta chachu au effect kwa wengine positively.
Ni mategemeo yangu kwamba akina Rev. Kishoka, Dilunga,... watawaomba radhi WATANZANIA!

LazyDog, inawezekana ikawa kweli kuwa wakati mwingine tunafanya generalization, lakini hebu tuangalie data zifuatazo kwa kulinganisha na jirani zetu.

1. Tulikuwa wa kwanza kupata uhuru hapa Afrika Mashariki.
2. Tuna watu wengi (population wise) kuliko jirani zetu.
3. Sehemu kubwa ya ardhi yetu ina rutuba na inafaa kwa kilimo.
4. Tuna hali ya hewa ambayo kwa kiwango kikubwa ni nzuri.
5. Tuna mito na mabonde makubwa yanayoweza kustawisha kila aina ya mazao.
6. Tuna misitu ambayo ni hazina kubwa katika kutunza mazingira.
7. Tuna mali asili inayojumuisha Tanzanite isiyopatikana popote kwingineko.
8. Tuna mbuga za wanyama zisizo na mfano dunia nzima.
10. Tuna vivutio vya watalii vinavyojulikana hata kwa watoto wadogo anzia Asia, Ulaya hadi Marekani.
11. Tumekuwa na utulivu mkubwa na hatujawahi kushuhudia vita vya wenyewe kwa wenyewe kama jirani zetu.
12. Tumekuwa wapokeaji wazuri tu wa misaada kwa mamilioni toka tupate uhuru kuliko wenzetu.

LazyDog ni wazi tunachokosa ni mpangilio na uongozi bora - je ni kwa nini :-

1. Tumeweza kuendela kuchagua chama kile kile kutuongoza kwa miaka zaidi ya arobaini (40).
2. Tumeweza kuchagua viongozi wasio na vision yoyote ya kututoa kwenye umasikini.
3. Tumepiga kambi kwenye huu umasikini na kuukumbatia kama jadi na halali yetu.
4. Tumekubali nchi yetu kugeuzwa kichwa cha mwendawazimu - kila kinyozi anajifunzia.
5. Tumeruhusu hazina yetu kuporwa na kuhujumiwa bila kuwawajibisha tuliowakabidhi ulinzi wa hizo mali.
6. Kila uchaguzi tunawasindikiza hao hao kwa nderemo na vifijo hadi meza iliyojaa vinono nasi twarudi kwenye njaa na umasikini wetu.
7. Tunaruhusu makubaliano yetu na watawala (katiba) ibakwe na kunajisiwa tukishuhudia bila kuuliza kulikoni.

LazyDog, nitakwambia ni kwa nini - ni kwa sababu hizo hizo unazozikataa. Ukipika chakula chako na kukiweka mezani, hutamruhusu mbwa akikaribie - ukifanya hivyo utalala njaa. Ukilima shamba lako ukapanda mpunga hutakubali ndege wakaribie hilo shamba - ukifanya hivyo hutavuna mchele. WaTz kwa kushindwa kulinda kilicho chetu, tumebaki masikini - we definitely lack something and that's the naked but bitter truth, sigh.
Mtaji mkubwa wa CCM ni ujinga wetu wa Tz​
 
Mag3, I agree, tusipokuwa tayari kukoselewa tutaendelea hivihivi na mwisho wake ni mbaya! Lazydog huu si wakati wa unafiki au false indignation! Instead of being incensed by what Mag3, Rev Kishoka have said and you claim have generalized, you should take it as constructive criticism.
Mi nakubali kwamba hata mimi binfasi najikuta niko katika kundi la wanafiki na pia ni mwogo, most of us are unable even to use our real names, ndo maana unaitwa LazyDog na mimi Susuviri, maana tungetumia majina yetu ya kweli ya John na Juma tungebaki tunasifia CCM na JK. But annonymity ndo inatupa nguvu ya kuwa wazi. Sasa inabidi tufike mahali tukubali kusema ukweli bila kuogopa.
Rev Kishoka, nimewahi kuongea na wewe na bado naendelea kuamini kuwa muda mwafaka umefika kwani watanzania wako tayari kwa ajili ya mabadiliko wamechoka, lakini wanahitaji viongozi majasiri, what are we going to do about it? Mimi nadhani nasubiri hiyo private candidate nichukue fomu, 😀 (unaona sasa? Tunakuja na excuse tu, what is your excuse?)
 
Ni kweli kabisa kwamba aliyeandika article ya The Economist ana lake jambo ikiwa ni pamoja na kukasirishwa na hatua ya Tanzania ya kukataa kuiingiza ardhi katika moja ya "mali" za EAC. Lakini pia ni kweli kwamba uchumi wetu na mambo yetu kwa ujumla yamekuwa na hitilafu kubwa ya kuendeshwa kisiasa badala ya kitaaluma.

Maamuzi ya kiuchumi yanafanyika kisiasa na matokeo yake ni kwamba maamuzi ya wanasiasa ndio yanabebwa na kutekelezwa na matokeo yake ni kuanguka pua chini. Mifano ni mingi. Unaanzia katika umeme. Ni kwa nini hadi leo hatujafikisha hata asilimia 10 ya watu wote kupata umeme miaka takriban hamsini baada ya uhuru? Ni kwa nini leo hii baada ya kuwa tumegundua gesi asilia nyingi kiasi hicho bado tunathubutu kujenga kituo cha umeme cha megawati 45?!!! Kitu gani kinatuzuia sisi kujenga mitambo mikubwa ya umeme kwa ajili basi walau ya kuongeza idadi ya watumiaji wa umeme kufikia walau asilimia 20 miaka hamsini baada ya uhuru? Yote ukiangalia kwa makini ni kwa sababu maamuzi ya kitaaluma wamenyang'anywa wanataaluma na yanafanywa na wanasiasa ambao kwa hakika uwezo wao ama ni mdogo sana ama haupo kabisa na hili halihitaji mjadala mrefu sana. Mungu Ibariki Tanzania!!!!
 
LazyDog, inawezekana ikawa kweli kuwa wakati mwingine tunafanya generalization, lakini hebu tuangalie data zifuatazo kwa kulinganisha na jirani zetu.

1. Tulikuwa wa kwanza kupata uhuru hapa Afrika Mashariki.
2. Tuna watu wengi (population wise) kuliko jirani zetu.
3. Sehemu kubwa ya ardhi yetu ina rutuba na inafaa kwa kilimo.
4. Tuna hali ya hewa ambayo kwa kiwango kikubwa ni nzuri.
5. Tuna mito na mabonde makubwa yanayoweza kustawisha kila aina ya mazao.
6. Tuna misitu ambayo ni hazina kubwa katika kutunza mazingira.
7. Tuna mali asili inayojumuisha Tanzanite isiyopatikana popote kwingineko.
8. Tuna mbuga za wanyama zisizo na mfano dunia nzima.
10. Tuna vivutio vya watalii vinavyojulikana hata kwa watoto wadogo anzia Asia, Ulaya hadi Marekani.
11. Tumekuwa na utulivu mkubwa na hatujawahi kushuhudia vita vya wenyewe kwa wenyewe kama jirani zetu.
12. Tumekuwa wapokeaji wazuri tu wa misaada kwa mamilioni toka tupate uhuru kuliko wenzetu.

LazyDog ni wazi tunachokosa ni mpangilio na uongozi bora - je ni kwa nini :-

1. Tumeweza kuendela kuchagua chama kile kile kutuongoza kwa miaka zaidi ya arobaini (40).
2. Tumeweza kuchagua viongozi wasio na vision yoyote ya kututoa kwenye umasikini.
3. Tumepiga kambi kwenye huu umasikini na kuukumbatia kama jadi na halali yetu.
4. Tumekubali nchi yetu kugeuzwa kichwa cha mwendawazimu - kila kinyozi anajifunzia.
5. Tumeruhusu hazina yetu kuporwa na kuhujumiwa bila kuwawajibisha tuliowakabidhi ulinzi wa hizo mali.
6. Kila uchaguzi tunawasindikiza hao hao kwa nderemo na vifijo hadi meza iliyojaa vinono nasi twarudi kwenye njaa na umasikini wetu.
7. Tunaruhusu makubaliano yetu na watawala (katiba) ibakwe na kunajisiwa tukishuhudia bila kuuliza kulikoni.

LazyDog, nitakwambia ni kwa nini - ni kwa sababu hizo hizo unazozikataa. Ukipika chakula chako na kukiweka mezani, hutamruhusu mbwa akikaribie - ukifanya hivyo utalala njaa. Ukilima shamba lako ukapanda mpunga hutakubali ndege wakaribie hilo shamba - ukifanya hivyo hutavuna mchele. WaTz kwa kushindwa kulinda kilicho chetu, tumebaki masikini - we definitely lack something and that's the naked but bitter truth, sigh.

Mtaji mkubwa wa CCM ni ujinga wetu wa Tz

Ukiiangalia Tanzania in isolation,unaweza kuwa na kila haki ya kumhukumu kila Mtanzania.Lakini laiti ukijaribu kuiangalia Tanzania kama sehemu ya mfumo,naamini utagundua kuwa pengine huwatendei HAKI Watanzania kwa ujumla wao kwa kudhani kinachokwaza mabadiliko ni,say UZEMBE,UVIVU,etc.

Hebu angalia North Korea,kwa mfano.Huku tatizo kubwa si umasikini (japo ni tatizo pia) bali ni haki za binadamu.Je nao ni wazembe kama Watanzania kwamba wasiunganishe nguvu zao kuung'oa mfumo unaowakandamiza wengi na kunufaisha wachache?

Angalia ukweli mchungu kuhusu iRAQ.Pamoja na madhara makubwa yaliyojitokeza baada ya uvamizi wa Marekani,kuna ukweli usiopingika kuwa udikteta wa Saddam umekomeshwa (lakini sio kwa chuki waliokuwa nayo the oppressed majority under the Saddam regime bali the Americans and their allies).Hapa simaanishi kuwa uvamizi huo ulikuwa wa haki au umemaliza matatizo ya Iraq,bali nachojaribu kupigia mstari ni namna isivyo rahisi (kama unavyofikiri) kubadili mfumo (japo it is not impossible).

Ni rahisi kushangaa kwanini CCM inaendelea kuwa madarakani iwapo mtu hajishughulishi kujiuliza kwanini Silvio Berlusconi anaweza kuzichezea siasa za Italy as if ni sehemu ya empire yake ya biashara.Na Italy ina resources nyingi zaidi za kuleta mabadiliko kuliko akina sie tulopata uhuru less than half a centruy ago.

Binafsi huwa napenda kuwashauri wanaopenda ku-generalize lawama dhidi ya Watanzania kujaribu kuangalia mifano kutoka tawala dhalimu za kikomunisti (kwa mfano USSR),kwanini ilichukua miaka mingi kung'oka na kwanini kung'oka kwake bado hakujaweza kuwa ufumbuzi kabisa wa matatizo ya nchi zilizokuwa ndani ya himaya hiyo.

Kinachoweza kukusaidia kidogo ni kuangalia role ya state apparatus katika kuhakikisha mfumo dhalimu unaendelea kuwa madarakani.Reforms za miaka ya 90 kwa Tanzania zilijumuisha viinimacho kadhaa.Kwa mfano,wakati katiba ilibadilishwa na kuruhusu mfumo wa vyama vingi,mentality ya the ruling class haikubadilika (na kwa vile tangu uhuru,maamuzi na influence ya matendo na mtazamo katika jamii ni sort of top-down model,jamii imejikuta nayo ikiafiki-mostly unwillingly-kuwa hilo ni sahihi).Katika line hiyhiyo,japo sheria ziliwekwa wazi kuwa taasisi za ulinzi na usalama zisijihusishe na siasa wala kufungamana au kushabikia chama flani,sote tunajua kuwa hilo bado ni tatizo kwani ulinzi na usalama wa Tanzania umegeuzwa kuwa synonymous na existence ya CCM.Ukidhani nachoandika hapa ni hadithi,waulize CUF walivyopewa lesson kuhusu unholy alliance kati ya the ruling power and state apparatus.

Ni rahisi kukaa mbele ya computer yako na kuwabebesha lawama nzito Watanzania wote kwa ujumla wao kana kwamba WAMEJITAKIA HAYA YOTE YANAYOENDELEA japo yanawaumiza!Ni rahisi pia kulaumu kuhusu mchango wao (Watanzania) katika umasikini wa nchi yetu as if umasikini ni anasa flani wanayoipenda.Ni muhimu kuangalia mahusiano kati ya umasikini na inequality,na faida yake kwa any oppressive ruling class/domonant class.

Changanuzi za ki-Maksisti zinaweza pia kuwa na manufaa katika kuelewa kinachoendelea ndani ya Tanzania (kama u-muumini wa Umaksisti) japo pengine mapendekezo yao kuhusu namna gani tabaka tawala linavyoweza kuondolewa yanaweza yasiwe viable katika mazingira ya kisasa.

Finally,kuna wanaoamini kwamba katika bara la Afrika,na pengine sehemu kubwa ya "dunia ya tatu",vyama tawala huwa haviondolewi madarakani bali vinaondoka vyenyewe,aidha kutokana na internal conflicts ndani ya chama (like matokeo ya poor nomination of candidates in the case of KANU),kujisahau kupita kiasi (tuite kuvimbiwa madaraka-kama ilivyokuwa kwa Kaunda huko Zambia),au factors zinazoshabihiana na hizo....Wenye mawazo hayo wanaweza kuwa realistic kwa vile kama chama tawala ndio jaji,mwendesha mashtaka na mzee wa baraza (as influence ya CCM ilivyo kwenye election process na mechanism kama tume ya uchaguzi,namna vyombo vya usalama vinavyoendelea kuwa waangalizi wa usalama wa ccm na wafuasi wake badala ya watanzania wote regardless ya political affiliations zao,nk,nk,nk) ni dhahiri basi kushindwa kwa CCM is more of matokeo ya uzembe wake au kujisahau than consolidation ya chuki,hasira,nguvu (kama zipo),and the likes dhidi ya chama hicho dhalimu.

SAFARI BADO NI NDEFU.ILI TUFIKE,HII BLAME GAMES ZINABIDI ZIWE MORE REALISTIC THAN SIMPLY EMOTIONAL!
 
Last edited:
I wonder what the president reads, if he reads that is. Hints zote hizi hapati message, I expected him to do something after Bob Geldof "unceremoniously" gave him hints at the IMF meting earlier this year. Does ikulu subscribe to any intellectual publications?

Nkamagi,

What did Bob Geldof tell Mwanasesere?
 
Viongozi tulionao hawako kwa ajili ya masilahi ya Taifa ila kwa ajili ya manufaa binafsi. .

Taffu,

Wengi wa hawa viongozi, ukiwauliza kwa nini waliamua kuwa watumishi wa umma au wawakilishi, hawawezi kukuba jibu la maana au kwa ufasaha!

Sikatai kuwa wengi ni kwa ajili ya ubinafsi, lakini ukiwauliza kwa nini hawakwenda katika Sekta binafsi au mashirika na kuwa waajiriwa na si wapigiwa kura, utakuta hawana jibu la msingi na hivyo kuimarisha ubatili wa Uongozi wao!
 
Jamani tunaposoma hizi taarifa tunatakiwa kuwa "analytical na critical" inanisikitisha sana kuona mambo ya unazi yanavyotumiwa kuposha. Mwandishi huyu wa hii article ya Economist kwa kweli ana mambwana anaotaka kuwaridhisha angali hii sentensi "Yet those who set up shop in the country are often disappointed. Tanzania, many complain, is a “slow” or even “terrible” place to do business—and “ungrateful” for foreign aid or investment."
Hawa wawekezaji wanatarajia kupata faida... Je pia wanataka kupigiwa magoti.

Matatizo ya uchumi sasa hivi niya dunia nzima JK, Godon Brown, Obama, Hu, Angela Mekel na Sakocozy wote wanaogelea kwenye dimbwi moja iweje JK apate lawama za ziada??
Jibu la matatizo ya uchumi dunia nzima ni kumwaga mapesa kwenye uchumi, Obama na G20 wanakopa China, JK anaongoza nchi isiyo kopesheka bali kupitia Benki ya Dunia njia nyingine aliyonayo ni misaada tu!!(Siyokuwa naipenda sana)

Ila kwa suala la Umeme, Bandari na Reli kwa kweli hakuna kisingizio wanastahili lawama zote. Hizi zingekuwa mkombozi wa uchumi wa TZ.

Ukweli,

Kabla ya mfumo wa Dunia kuanguka miezi 8 iliyopita, Rais Kikwete alitumia muda wake mwingi tangu achaguliwe kuwa Rais wa Tanzania kutembeza bakuli kuomba misaada badala ya kufanyia kazi Ilani ya uchaguzi wa 2005 ya CCM, kutoa msukumo wa maendeleo ya kujitegemea kupitia MKUKUTA na MKURUBITA na hata kufanyia kazi malemgo ya Millenia.

Hivyo si kweli kuwa kuanguka kwa uchumi wa Dunia ni kihalalisho cha Kikwete kuendelea kubembeleza misaada na kutembeza bakuli.

Kiufanisi, Rais Kikwete kafanikiwa sana kutembelea dunia, lakini kuwa nguzo na msukumo wa uzalishaji mali wa ndani ya nchi na kuwa na matumizi mazuri ya hazina, hajafanya lolote zaidi ya kuwa mlalamikaji na mfujaji.

Mwenye kuandika hata kama ana mabwana, ni wa nchi alikotoka na ni wao ndio wanatoa misaada kwetu kwa kuwa tunaendelea kudai sisi ni masikini wa kutupa na hivyo waone aibu watunusuru.

Ikiwa tuna fedha nyingi za misaada takriban Dola Bilioni 2.5 zimekaa hazijafanyiwa kazi, ni kwa ni ni basi Kikwete na timu yake kila siku wako safarini wakiomba misaada?

Mwamba ngoma huvutia kwake, na hivyo hata kama mwandishi wa Economist yuko biased, ana haki kufanya hivyo maana kodi yake badala ya kumfundisha mtoto wake au kumpa yeye matibabu ya daraja la juu, inawawanywa kwa fungu fulani kwenda saidia Watanzania ambao wana uwezo wa kujitegemea lakini hawataki kusimama kidete na kujitegemea na wanaongozwa na Serikali isiyo na shukrani na iliyo kosa utashi wa kufanya kazi.
 
I suspect the article originates from a Kenyan. There are indication of forceful demand for the land to be within the EAC treaty and then there is a word “Wabenzi” a colloquial language used by Kenyan. Dar never use the term.

However, it is always good to get somebody’s weakness from his/her enemies.

I can see some challenges. We Tanzanian have failed to task this human in the house to tell us the benefits of his unscheduled trips abroad.

This is a guy who had no time to be in Musoma for May Day celebrations. He was in Dar attending the mabomu business. Then fast he can leave the mabomu chaos to Copenhagen!

The article is now telling us he never harvested anything from china, something the ‘governement’ out to brief us before releasing the man for another trip which may be fruitless too.

Now we are in danger! IF he wins the next election as presumed while the bigs are realizing his flaws, then TZ is down to hell. Wait!!

MchunguZI,

In comparison to what China is investing in Congo and Kenya, the $20 million Dollars trade agreement is not enough!
 
... umezungumzia wananchi wenye kufanya kazi maofisini... bila ya kujali wakulima huko vijijini... umetoa mifano ya maofisini......Tuatauzungumzia vipi uchumi wa Tanzania bila kuhusisha kilimo? Kama mawazo yetu yamebakia kwenye kazi za maofisini...

...sijui umetokea maeneno gani...huko vijijini kwenye asilimia kubwa ya watanzania si hivyo dugu yangu....

... lakini hukuwataja wakulima na watu wa vijijini ambapo kama kweli tunataka tujishindanishe na majirani zetu,basi ni lazima wawe included kwenye jedwali.


Me too! I hate watu wanaopenda overgeneralization... Ni mategemeo yangu kwamba akina ... Dilunga,... watawaomba radhi WATANZANIA!

...Hayo ni matusi ya nguoni kwa wazee wetu kule vijijini wanaoshinda juani kutwa nzima wakipinda mgongo

...
Hivi Watanzania wangekuwa wavivu katika namna unayotaka kutuaminisha tungepata uhuru?Umeshawahi kuongea na wazee wetu ....

...Nenda vijijini
ukafanye huo utafiti wako kuthibitisha iwapo kuna wakulima wanaongia shambani saa sita

...Kaka,sie tuliotoka familia za wakulima tunajua ...Na hizo send off unazozungumzia ni kwa watu wa mijini wanaojiweza.

...WATANZANIA...takriban 3/4 yao wanaishi vijijini ambako hali ni tofauti sana na hiyo analysis ya urban Tanzania ......wazembe, wavivu,wasengenyaji, nk......you could find such species in every metropolitan......


Wa vijijini ndio worse off!

Nime generalize? Afadhali wa mjini wanashinda wanakunywa chai chapati kazini na kusoma "Sani," wa vijijini hata kazini hawaji, hawagusi kitu, kazi wao ni kunywa pombe, kukalia vigoda. Wanachojua ni kusimamia tohara za vi teenager vya kike na kushinda kwenye ngoma, hususan wanaume. Unasema walipigania uhuru? Angalia hawa waliopigania uhuru wanavyo walaani wazee wa vijijini walivyolegalega toka enzi za uhuru the '60s:

``Ukweli wenyewe ni kwamba vijijini kina mama hufanya sana kazi. Pengine hutimiza saa 12 au 14 kutwa. Hawana Jumapili, na hawana livu. Kina mama wa vijijini hufanya kazi zaidi kuliko mtu mwingine ye yote katika Tanzania.

Lakini kina baba wa vijijini (na baadhi ya kina mama wa mijini) nusu ya maisha yao ni livu. Nguvu hizi za mamilioni ya kina baba vijijini na maelfu ya kina mama wa mijini ambazo hivi sasa hazifanyi kazi yo yote ila kupiga soga, kucheza ngoma na kunywa pombe, ni hazina kubwa yenye manufaa zaidi kwa maendeeo ya nchi yetu kuliko hazina za mataifa matajiri`` TANU, ARUSHA, Januari 29, 1967


Kwa hiyo, si mjini si vijijini, wavivu, tusisafishane. Tena wa vijijini nusu yao nzima ni wafanyakazi wafu. Shughuli za mjini ni send off, shughuli za vijijini ni ngoma. Mdundiko na Sindimba na Rythm and Blues na Mayenu. Difference without distinction.

Mtanzania akikwambia "naenda kwenye shughuli" usidhani anaenda kupima kiwanja au shamba. Tafrija. "Kikao" ni get-together ya mikakati ya tafrija ya kipaimara cha mtoto. Akisema anaenda kwenye rehearsal usidhani ni practice ya kitu cha maana zaidi ya upambe wa tafrija. Kama sio ndoa ya mke wa pili basi ni Iddi pili. Maulidi haziishi. Kuna Pasaka mpaka Jumatatu. Na Jumatano za Majivu, na Ijumaa za Mateso. Na Ubarikio wa vinjiti.

Hizo ndizo "shughuli," ukisikia Mtanzania anakwambia anaenda kwenye "shughuli." Sote na Kikwete wetu ni slow.
 
Najua TZ kuna matatizo sibishi lakini hii article ina walakini
Najua hiyo article imetoka economist na nimeiona hata mimi online lakini huyo muandishi lazima atakuwa mkenya na the economist hawana correspondent dar
kuna mambo nimeyaona kama EAC community, Mchina kuja TZ na vitu vingi ambazo ni chuki za wakenya

kenya kenya....

matusi ya wakenya

yani haya ni mashambulizi ya wakenya kabisa

juzi kikwete anatembea na bakuli la kuomba hela leo wanasema TZ hawajatumia hata misaada yote waliyopewa, hawa wakenya tu


mashambulizi ya wakenya kwa ajili EAC
haya ni matusi ambayo wakenya wamekuwa wa kimtukana nyerere mara kwa mara

kama kuna mtu yeyote ameshasoma matusi ya wa kenya kwa TZ ataona hayo ni yale yale matusi yamerudiwa tena

najua tuna matatizo mengi lakini someni hii article vizuri wa TZ wezangu mtajua tuu kuwa haya ni matusi ya wa Kenya

Hata kama anayelalamika na kutukana ni Mkenya, kwani kasema uongo?
 
Me too! I hate watu wanaopenda overgeneralization wakidhani italeta chachu au effect kwa wengine positively.

Ni mategemeo yangu kwamba akina Rev. Kishoka, Dilunga,... watawaomba radhi WATANZANIA!

Lazydog,
Niwaombe radhi Watanzania kwa kosa gani nililolifanya?
 
Nimepata hiyo ya Bob Geldof. naambatanisha, lakini Bob anamzunguzmai Kikwete na tabia yake ya kucheka cheka anapozungumzia snigger....!

Live from Tanzania II

It’s the concluding “conversation” here in Dar es Salaam. The moderator has asked for frank and feisty remarks. She must know Bob Geldof is in the audience.
11:05 A question has been posed: “Washington-lead governance is over? Do you agree?”
11:06 Not many in support of the motion which was posed by Jeffrey Sachs yesterday.
11:07 What is Tanzania doing to drive private entrepreneurship.. . . ? Asked to President Kikwete directly.
11:08 He seems a little fazed by the question . . . Trevor Manuel from SA has stepped in to help.
11:12 Same Q to Senegal’s Abdoulaye Diop.
11:14 Bob Geldof’s on . . . watch out: “Unless we pull the poor into the system it will not stabilise.”
11:16 Sir Bob: “Dar es Salaam is rife with corruption” . . . Kikwete’s response not recorded.
11:18 Sir Bob to President Kikwete: “You snigger instead of naming these thieves.”
>>>>>>>>>>> Click here to hear Sir Bob Geldof

11:19 Ngozi Okonjo-Iweala is on now, she is a strong speaker: “My continent is hurting . . . ”
11:26 Trevor Manuel on the IMF: “These organisations have a built in recalcitrance to change . . ”
11:27 Trevor Manuel re the USA financial crisis: “If that had been any African country the IMF would have been all over you like a ton of bricks”
11:29 Dominique Strauss-Kahn, MD of the IMF: “I’m hoping the G20 will give some answers. The crisis is the first in history that originated in another part of the world and which will affect Africa”
11:20 DSK: “We need to change the governance of our organisation”
11:34 Trevor Manuel: “The IMF is not a donor agency it’s a devlopment finance institution.”
11:35 Trevor Manuel: “We [Africans] are too weak to engage with the experts [from the IMF]”
11:35 Ngozi Okonjo-Iweala from Nigeria: “We need to mobilise the diaspora to help . . let’s try and encourage them to come back home” Food for thought . . any Africans outside of Africa care to comment
11:36 Ngozi Okonjo-Iweala: “I’m gonna give you fireworks. We want a change in global governance. Women — that’s an aspect that hasn’t been put on the table. Even on this table [APPLAUSE!]”
11:39 The moderator has a question for President Kikwete again “What are you doing?” You can’t deny, it’s a direct question . . .
11:40 President Kikwete “The issues are difficult to comprehend” Very true . . . very true.
11:40 President Kikwete: “The current crisis has not yet hit us. There is an impending crisis.”
11:42 President Kikwete “I’m trying as much as I can.”
11:43 Bob’s on again . .
11:44 Sir Bob: “We built a leveraged society and there’s no more leverage”
11:45 Sir Bob has calmed down a bit: “Whatever hopes DSK and Kikwete have about the IMf and Africa this is about a different relationship between Africa and the world. don’t go anymore with the attitude of being supplicants. We go into the G8. The G8 which has done so little . . forget the word PROMISE . . it comes with emotional issues. Why don’t Africans say WHERE’S THE MONEY” Echoes of Live Aid in 1985 which I’m sure many of you will remember. Actually, I don’t think he’d calmed down at all . . .
11:49 Trevor Manuel from South Africa is on again: “The impetus in wealthy countries tends towards nationalism in times like this. It’s the electorate that matters”

It’s been a dynamite Kikwete v. Geldof session. I’m posting a video of it soon.
12:02 DSK: “You need to have meeting where everyone is represented . . that’s the strength of the IMF and the World Bank. African voices may not be strong enough but there IS a voice.”
12:06 An unknown minister is on: “People have accepted that Africa is at the table. Will they listen?”
12:07 Ngozi Okonjo-Iweala: “African leaders need to hold an alternative forum and invite the G20 to come [APPLAUSE]. We don’t know how to manage our own media relations. We should hold it in London.”
12:09 Ngozi Okonjo-Iweala: “Africans developed Europe. With the resources taken from Africa Europe developed.”
12:10 President Kikwete “What Ngozi said is important. We may organise that meeting and they may not turn up. E.g. in the SADC region we have this annual consultation between SADC and Europe . . it is supposed to be at the ministerial level. . . and no ministers from Europe come except senior officials. And this is suppoed to be a consultative forum!”
12:16 Trevor Manuel is talking about ” . . . people in the IMF who write and look and behave exactly like each other. You need diversity to engage differently. The problem is there’s been one song sheet, one gospel . .. you were rewarded for taking the gospel to the heathens out there in Africa. The institution has to change”
12:20 Trevor Manuel: “We don’t have a banking crisis like the united States has. African countries have sound financial regulation.”
12:22 Trevor Manuel: “Between Zimbabwe and ourselves [SA] we probably have 90% of the world’s platinum. Same for DRC and Zambia re copper. If people don’t have money for jewellery it has an impact. It’s different from industries in Detroit that have surpassed their life.” A harsh message for car workers in the USA.

12:30 Ngozi Okonjo-Iweala: “President Kikwete is doing a wonderful job” Some support for the Pres at last . . .
12:32 Linah Moholho, governor of Botswana’s central bank: “The IMF is prohibitively expensive in technical assistance. Decision-making is still skewed in the direction of the Gs . . G8 . . G20.”
12:35 Mr. Akwetey of Ghana: “Kikwete’s approach is commendable but inadequate. We need to find methods of getting people to comprehend what is difficult.”
12:36 Sir Bob is putting his faith in the internet: “It’s not up to presidents or parliamentarians . . . the access to the web means they must engage with civic society. Who appoints the regulators . . .? We’re all the victims of this massive Ponzi scheme which everyone participated in.”
12:40 Ngozi Okonjo-Iweala: “The NGOs have to get to gether to make sure the NGIs — Non Governmental Individuals –are put to one side.”
12:41 President Kikwete: “My friend in Ghana . . . I will give you the assurance that we have a civil society in Tanzania that is free.”
12:57 President Kikwete: “I’m going to London on the 16th to communicate to Gordon Brown our sentiments. We’ll try as much as we can to communicate this message to the G20. Thank you you’ve made us proud. It is an honour for us to host this meeting. Africa is the last frontier in man’s development. Something is being don but what is being done is not enough. Promises are not being kept. Keep the promise. Thank you for coming.”
13:10 Dominique Strauss-Kahn: “For some in Africa it’s not just about unemployment it can be about life a death. We need to act now. It’s time to keep promises — resources of course but all the other kind of promises too . . . fighting corruption. Advanced economies have to have in mind they have a responsibility to the citizens of the world”
13:15 DSK: “Advanced economies need to be less arrogant” . . . He’s including himself when he was French finance minister . . . “I can be proud of many things done by the IMF in the past.”
13:17 DSK: “We are your institution. You need to use us but you need to be confident that we are on your side. In the coming months and unfolding crisis we wil be able to found a new kind of partnership”
That’s it
 
Back
Top Bottom