MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,771
- 4,065
Jean Bedel Bokassa alikuwa dikteta wa CAR, alikuwa na wake 17 na watoto hamsini. Alifanywa yatima wafaransa walipomuua baba yake akiwa na miaka 6.
Baada ya baba yake kufa mama yake naye alijiua.Alipigana WW2 chini ya wafaransa.
Baadaye alikuja kumpindua rais aliyekuwa ndugu yake mwaka 1965.Alijipa cheo cha field marshall na kutengeneza uniform maalumu sababu ya wingi wa medals alizojipa. Akienda kutembelea nchi alikuwa anagawa almasi.
Alikuwa ana majumba zaidi ya sita Ufaransa. Jumba yake la CAR lilikuwa na bwawa la mamba na simba wa kufugwa. alitumia mamba hao na simba kuulia wapinzani wake.
Wake zake walikuwepo mchina, mjerumani, msweden, mtunisia na mromania waliekutana club. Aliwaweka nyumba tofauti na alikuwa akiwatembelea daily na kusababisha jams.
Alijitawadha kuwa mfalme kwa sherehe ya 22m USD huku akipanda farasi kama wafalme wa ulaya.
Alipinduliwa na wafaransa baada ya kuua wanafunzi waliokua wanaandamana. Alifungia wanafunzi 30 kwenye jela ya mtu mmoja.
Walipompindua kwenye friji yake walikuta nyama za watu.
mwishoni mwa maisha yake alitumia kusoma bible na alikuwa anajiita mtume wa yesu. alifariki 1996.
NOTRE AMI L'EMPEREUR BOKASSA 1er PART 1 - YouTube
NOTRE AMI L'EMPEREUR BOKASSA 1er PART 2 - YouTube
NOTRE AMI L'EMPEREUR BOKASSA 1er PART 3.0 - YouTube
NOTRE AMI L'EMPEREUR BOKASSA 1er PART 4. - YouTube
Miongoni mwa watawala waliokuwa na visa na vituko vingi katika bara hili la Afrika ni mfalme wa kujipachika wa Afrika ya Kati, Jean-Bedel Bokassa.
Huyu bwana akiwa anaongoza nchi masikini kabisa duniani, alifanya sherehe ya kujisimika kama mfalme mwaka 1977 kwa kutumia kiasi cha sawa na shilingi trilioni 32. Lile taji lake la Ufalme peke yake liligharimu kiasi cha shilingi bilioni tatu!
Lakini yuko wapi hivi sasa na ameacha kitu gani duniani? Ujinga mtupu ambao unatusumbua sisi wanaadamu, hasa baadhi yetu tulio madarakani leo...
Baada ya baba yake kufa mama yake naye alijiua.Alipigana WW2 chini ya wafaransa.
Baadaye alikuja kumpindua rais aliyekuwa ndugu yake mwaka 1965.Alijipa cheo cha field marshall na kutengeneza uniform maalumu sababu ya wingi wa medals alizojipa. Akienda kutembelea nchi alikuwa anagawa almasi.
Alikuwa ana majumba zaidi ya sita Ufaransa. Jumba yake la CAR lilikuwa na bwawa la mamba na simba wa kufugwa. alitumia mamba hao na simba kuulia wapinzani wake.
Wake zake walikuwepo mchina, mjerumani, msweden, mtunisia na mromania waliekutana club. Aliwaweka nyumba tofauti na alikuwa akiwatembelea daily na kusababisha jams.
Alijitawadha kuwa mfalme kwa sherehe ya 22m USD huku akipanda farasi kama wafalme wa ulaya.
Alipinduliwa na wafaransa baada ya kuua wanafunzi waliokua wanaandamana. Alifungia wanafunzi 30 kwenye jela ya mtu mmoja.
Walipompindua kwenye friji yake walikuta nyama za watu.
mwishoni mwa maisha yake alitumia kusoma bible na alikuwa anajiita mtume wa yesu. alifariki 1996.
NOTRE AMI L'EMPEREUR BOKASSA 1er PART 1 - YouTube
NOTRE AMI L'EMPEREUR BOKASSA 1er PART 2 - YouTube
NOTRE AMI L'EMPEREUR BOKASSA 1er PART 3.0 - YouTube
NOTRE AMI L'EMPEREUR BOKASSA 1er PART 4. - YouTube
Miongoni mwa watawala waliokuwa na visa na vituko vingi katika bara hili la Afrika ni mfalme wa kujipachika wa Afrika ya Kati, Jean-Bedel Bokassa.
Huyu bwana akiwa anaongoza nchi masikini kabisa duniani, alifanya sherehe ya kujisimika kama mfalme mwaka 1977 kwa kutumia kiasi cha sawa na shilingi trilioni 32. Lile taji lake la Ufalme peke yake liligharimu kiasi cha shilingi bilioni tatu!
Lakini yuko wapi hivi sasa na ameacha kitu gani duniani? Ujinga mtupu ambao unatusumbua sisi wanaadamu, hasa baadhi yetu tulio madarakani leo...