The Godfather ya Mario Puzo

The Godfather ya Mario Puzo

Best movie of all the time plus talented acters like Robert di nero Joe Pesci hawa ndo ma acter ninawaokubali mpk my last breathe
 
I had the Triology...and read the book....
Can someone tell me how Vito became Don??
 
Old mustache Pete walikuwa na mwiko wa drugs ingawa walikuwapo waliofanya kipindi hicho kama carmine"lillo"galante alipokuwa under boss wa genovess ndo ndio kitu kilicho mpeleka jela.Anapenda sana sigara chain smoker hata siku kapigwa risasi na kuuwawa walkuta kauma fegi.Tafuta my life in the mafia ya vincent teresa ni true story ila imekaa uzuri humo itakupeleka mpaka kwa kina Marco pollo(trigger mike)Thomas luchese(three fingers brown)vincent alikuwa new England chini ya Raymond patriaca na Henry tameleo(the referee).
 
Nuno alikuwa mshkaji wake sana na johnny fontana.Wataliano wana imani kuwa siku ya furaha ndio siku ya kutatua shida za watu hata John alienda kwa Don carleone siku ya harusi ya Anastazia.Jack woltze na farasi wake Khartoom ilikuwa shughuli pevu.
 
Old mustache Pete walikuwa na mwiko wa drugs ingawa walikuwapo waliofanya kipindi hicho kama carmine"lillo"galante alipokuwa under boss wa genovess ndo ndio kitu kilicho mpeleka jela.Anapenda sana sigara chain smoker hata siku kapigwa risasi na kuuwawa walkuta kauma fegi.Tafuta my life in the mafia ya vincent teresa ni true story ila imekaa uzuri humo itakupeleka mpaka kwa kina Marco pollo(trigger mike)Thomas luchese(three fingers brown)vincent alikuwa new England chini ya Raymond patriaca na Henry tameleo(the referee).

Mkuu unaonekana unajua kuhusu American Mafia. Carmine "Lillo" Galante au "the cigar" alikuwa mojawapo wa mabosi walioogopewa sana. Alianzia kwenye familia ya Genovese lakini baadaye aliingia kwenye familia ya Bonnano akianza kama dereva wa bosi Joseph "Joe Bananas" Bonnano kisha akawa capo baadaye underboss. Jamaa alikuwa anaogopewa kiasi kwamba alipokuwa jela akitaka kupiga simu alikuwa hakai kwenye foleni kama wengine bali huenda moja kwa moja hadi kwenye simu na kumnyang'anya simu mtu anayetumia, akishamaliza ndio na wengine wanatumia.

Baada ya kutoka jela akaendelea na biashara yake ya drugs lakini akawa hataki ku-share mapato ya biashara na mabosi wengine kama ilivyokuwa ada kwa Mafia. Pia alichukua kwa nguvu ubosi wa familia ya Bonnano kutoka kwa Phillip "rusty" Rastelli aliyekuwa amefungwa jela. Basi mabosi wengine wa familia za New York wakaamua kuwa jamaa lazima aondoke. Hitmen wakamfuata kwenye mgahawa unaoitwa Joe & Mary's alipokuwa anakula lunch na kummininia shaba za kutosha na hapo ukawa ndio mwisho wake.
 
Mkuu Consigliere nilikuwa namkubali sana kwa ushauri wake.Lakini Michael alikuwa kiboko, cool lakini dangerous. Mpaka dada yake alikuwa anamuogopa, alivyongojea baba yake afe ndio amuue shemeji yake.

Ile kitu acha kabisa, huwa siishiwi hamu ya kuiangalia
 
Mkuu unaonekana unajua kuhusu American Mafia. Carmine "Lillo" Galante au "the cigar" alikuwa mojawapo wa mabosi walioogopewa sana. Alianzia kwenye familia ya Genovese lakini baadaye aliingia kwenye familia ya Bonnano akianza kama dereva wa bosi Joseph "Joe Bananas" Bonnano kisha akawa capo baadaye underboss. Jamaa alikuwa anaogopewa kiasi kwamba alipokuwa jela akitaka kupiga simu alikuwa hakai kwenye foleni kama wengine bali huenda moja kwa moja hadi kwenye simu na kumnyang'anya simu mtu anayetumia, akishamaliza ndio na wengine wanatumia.

Baada ya kutoka jela akaendelea na biashara yake ya drugs lakini akawa hataki ku-share mapato ya biashara na mabosi wengine kama ilivyokuwa ada kwa Mafia. Pia alichukua kwa nguvu ubosi wa familia ya Bonnano kutoka kwa Phillip "rusty" Rastelli aliyekuwa amefungwa jela. Basi mabosi wengine wa familia za New York wakaamua kuwa jamaa lazima aondoke. Hitmen wakamfuata kwenye mgahawa unaoitwa Joe & Mary's alipokuwa anakula lunch na kummininia shaba za kutosha na hapo ukawa ndio mwisho wake.

Kuna movie yake au documentary ?
 
Kuna movie yake au documentary ?

Mkuu hiyo sio movie Carmine Galante alikuwepo for real, ukitaka kupata stori yake na Mafia wengine tafuta documentary series inaitwa Inside The American Mob. Humo utapata kwa undani jinsi familia sita za kimafia za New York zilivyokuwa na nguvu kwenye miaka ya 60 mpaka 80 pale FBI walipofanikiwa kusambaratisha rackets zao kwa kutumia sheria ya RICO. Pia unaweza kutafuta documentary series nyingine inaitwa Mobsters, humo wameelezea historia za Mafia maarufu kama Carmine Galante, Crazy Joe Gallo, John Gotti, Sammy "the bull" Gravano, Nicodemo Scarfo, Carmine "the Snake" Persico na wengine wengi. Hizo zote unaweza kuzipata Youtube.
 
Beefinjector naona tunasafiri pamoja hao jamaa ukisoma story zao una kitu unakipata jinsi organisation zao zilivyo how they respect each other.Chain of command inavyokuwa na namna gani ya kumdhibiti mtu kumbuka Anastazia alivyo kuwa anatafuta ukubwa kwa kuua watu hovyo kikao kikapitisha we must put him to sleep au serious headache kuna teminology zao duh!jack nazaria(machine gun jack)au mike coppolo(trigger mike)sikumbuki vizuri ila mmoja kati ya hawa ndo alimuua Albert anastasia(high executioner).
 
Kwa miaka mingi nimekuwa nikipata dondoo za hii novel. Hivi naweza kuipata wap? Naomba msaada ili twende pamoja
 
Sikumbuki ni novel gani ila kuna mmoja alikuwa msafisha viatu chini ya jengo la wise guys akawa anawahusudu sana mafioso sasa kuna jamaa ambae alikuwa anasafishiwa viatu na dogo so dogo anamkubali sana yule jamaa akaja kufungwa kama miaka saba.
Alipotoka jela jioni moja akawa ameingia bar akamkuta dogo yupo na rafiki yake dogo kumbe kaisha kuwa mtu wa kazi so akamkaribisha jamaa duh jamaa li kamwambia I can't share the same table with the shoe's shiner dogo akamind kuambiwa vile so akaanza kumuwinda jamaa mpaka akamuua.
Akaenda kumzika sehemu kisha juu yake akajenga uwanja wa long tennis so siku akikumbuka huenda kucheza na mpira ukitoka anaanza kukita mguu chini na kusema"hey u motherfucker down there are u ok?
 
Mkuu guasa hiyo sio movie ya "Goodfellas" ambayo kacheza Ray Liotta, Robert De Niro na Joe Pesci?
 
Last edited by a moderator:
...."never ever show an enemy that there is a split of opinion within the family "....Don akimwambia Sonny....long time nliisoma, 1998...nimesahau sana...

My best novel ever...ikifuatiwa na Kane and Abel, na kisha The Almighty.
 
beefinjector sikumbuki uzuri ila kwa filamu labda kama walikuja iigiza but mimi niliisoma novel na muda umepita sana.Ila hupenda kitabu kuliko filamu coz kitabu humeelezea mtu vizuri more than filamu coz huwezi kuyaweka matukio wote labda iwe kwa mfumo wa series.
 
Back
Top Bottom