The Greatest JF intelligent man

The Greatest JF intelligent man

oxymoronic obfuscation by officious orangutans in Ottoman ombudsmen overdrive.

A calcified cantankerous cockamamie combat.
Duuhhh! Hii ni English language niliyoizoea au ni lugha inayofanana na kiingereza?

Lugha nitafute kamusi yangu kwanza!
 
Hapa JF aliwahi tokea mtu mwenye uwezo mkubwa sana wakufikiri......si mwingine ni mkuu Kiranga.

Mwingine mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri ni mkuu Nyani Ngabu.

Nafahamu Nyani Ngabu wakatimwingine anaweza kufanya mambo mengi ya utani tu laini huyu jamaa anauwezo mkubwa

Pia member anayeitwa Deception (sijui yupo wapi siku hizi) naye anaweza kujenga hoja sana.

Mwingine ni mkuu ONTARIO anaweledi mzuri kwenye business na ujasiriamali. Pia anaweza sana kusimulia tukio fulani kwa weledi

Member mwingine ni Al-Watan. Huyu anauwezo mkubwa kufikiri logically. Aina yake ya kufikiri ni kama Kiranga japo yeye hashiriki sana mijadala hapa

Pia kwenye hii list yangu namsifu The Bold anakipawa cha kusimulia makala za kijasusi anazozipata kwa msaada wa mtandao

Update

BIG UP KWA BARAFU
 
Kabisa!

Wengi sana wapo nyuma na hawajui hata wapi pa kujipatia taarifa mbalimbali achilia mbali kuwa na raghba ya kutaka kujifunza wasiyoyajua.

Siku nikija na makala kuhusu gangs za L.A.....Crips na Bloods na jinsi zinavyoendeshwa kama corporations si ajabu nitaonekana bonge la genius wakati mambo yote nimeyatoa mtandaoni...
Hakika ndugu

Ulimwengu wa taarifa umerahisishwa sana kutokana na kukua kwa teknolojia.....

Limebaki tu jukumu la mtu mwenye akili timamu kuweza kufaidika na maarifa hayo.....

Kupitia video za YouTube nimejifunza mengi sana pasipo na kulipia ada yoyote ambayo kiuhalisia ningelipia hela nyingi sana kujifunza hayo katika mazingira ya Tanzania......
Achilia mbali taarifa na maarifa mbali niliyoyapta huko mitandaoni.....
Binafsi siwezi kumutia mtu ni intelligent kwa kusimulia yale aliyoyasoma ambayo yameandikwa na wengine....na kama huko ndiko kuwa intelligent basi sisi tuna tafsiri yetu ya hilo neno "Intelligence "
 
Hakika ndugu

Ulimwengu wa taarifa umerahisishwa sana kutokana na kukua kwa teknolojia.....

Limebaki tu jukumu la mtu mwenye akili timamu kuweza kufaidika na maarifa hayo.....

Kupitia video za YouTube nimejifunza mengi sana pasipo na kulipia ada yoyote ambayo kiuhalisia ningelipia hela nyingi sana kujifunza hayo katika mazingira ya Tanzania......
Achilia mbali taarifa na maarifa mbali niliyoyapta huko mitandaoni.....
Binafsi siwezi kumutia mtu ni intelligent kwa kusimulia yale aliyoyasoma ambayo yameandikwa na wengine....na kama huko ndiko kuwa intelligent basi sisi tuna tafsiri yetu ya hilo neno "Intelligence "

Ni kweli kabisa.

Kuleta mambo niliyoyasoma kwenye jarida la Time na kutafsiri nilichokisoma kwa lugha ya Kiswahili siyo kuwa 'intelligent' [ingawa naweza kuwa mtu niliye intelligent lakini si kwa sababu nimetafsiri kitu kutoka Kiingereza kuja Kiswahili].

Hapo ninachoweza kupongeza labda ni effort tu iliyotumika katika kuileta na kuiweka hiyo makala katika lugha ya Kiswahili.

Nikiangalia documentary ya Latin Kings kama hiyo hapo chini halafu nije nisimulie humu, how does that make me an intelligent person?



Kupitia YouTube unaweza hata kusoma kozi nzima ya anatomy, unaweza hata kuona namna watoto wanavyozaliwa iwe kwa njia ya kawaida au ya upasuaji, unaweza kujifunza kuhusu Secret Service, jinsi ikulu ya Marekani ilivyo, jinsi ndege zinavyotengenezwa, na kadhalika.

Na kupitia search engines unaweza kujifunza karibu kila kitu ili mradi tu kiwepo mtandaoni. Cha muhimu ni ujanja wako tu. Yaani ujue namna ya kutafuta vitu/ kufanya tafiti/ kujua wapi pa kwenda kupata taarifa gani na kadhalika.

So I agree with you. Researching and presenting other people's works, doesn't mean that you are, ipso facto, intelligent.
 
To be honest intelligence of our beloved the bold is limited to what he writes in the thread which are not product of his own creativity but he might be copying from other global sources.
The bold is the best and most intelligent writer in JF. I think this is the scope of his intelligence.
Because I have never seen him participating in logical and critical thinking based discussions I won't say anything beyond what I have seen.

I wish one day to have that superintelligence in writing things as the bold is doing.

Kiranga, was the best also

Mkuu umeongea kitu muhimu sana, naheshimu kipawa kikubwa cha uandishi wa The Bold.

Kwenye critical thinkers I salute Kiranga, barafu. zamani kuna jamaa alikuwa anajiita Pundit simwoni akipost siku hizi....wapo wengine wengi wenye uwezo mkubwa.
 
Mkuu umeongea kitu muhimu sana, naheshimu kipawa kikubwa cha uandishi wa The Bold.

Kwenye critical thinkers I salute Kiranga, barafu. zamani kuna jamaa alikuwa anajiita Pundit simwoni akipost siku hizi....wapo wengine wengi wenye uwezo mkubwa.
nguruvi pia
 
i would like to take this moment to give honorable respects and on top maximum congratulations to The Bold.

This is the most intelligent person on JamiiForums,from this man i have got what a huge knowledge concerning the hottest intelligence issues.

i have not been seeing any one like him on intelligence stories and i think a lot of members admire him.

The better stories made me to write a congratulation special thread are "Kanali Muammar Gadafi 1942-2011" and "Utata wa Kifo Cha Raisi JF kennedy" but the most of his are the niciest ones.

Mods please do not reallocate my thread to another forum.

CC. The bold

Naonaling umetubagualing kunakotukukaling ' kimtindoling ' tusiojualing Kiingerezaling humuling jamviniling Mkuuling.
 
To be honest intelligence of our beloved the bold is limited to what he writes in the thread which are not product of his own creativity but he might be copying from other global sources.
The bold is the best and most intelligent writer in JF. I think this is the scope of his intelligence.
Because I have never seen him participating in logical and critical thinking based discussions I won't say anything beyond what I have seen.

I wish one day to have that superintelligence in writing things as the bold is doing.

Kiranga, was the best also
even for my test kiranga he was slick, mostly he based on logical thinking and reasoning which is what i likes too... by the way, where is kiranga anywhere?
i don't see his post or comments for almost a one year and six,
heard he left JF..?
 
mondray

a man is great!

for sure he is very Briliant man na very humble man I respect him
(Kwa kuogopa kung'ata ulimi naomba niepuka hiyo lugha ya malkia)


Mkuu,


Nashukuru sana kwa shukrani na pongezi hizi... am really humbled!

Japokuwa natofautiana nawe na sidhani kama mimi ndio "the most intelligent" humu JF! Lakini naheshimu mawazo yako na heshima hii uliyonipa...


Kuwa "The Bold" kuna gharama yake... Unapata maadui ambao hata hukumbuki kama mmewahi kukosana... Utatukanwa matusi na watu ambao hujawahi hata kumquote kwenye Uzi wowote... Kuna watu watakuchukia ilhali haujawahi hata kumjua jina... That's the price of being "the bold"

Mfano mzuri watazame hao hapo juu wanao haha kuprove why The Bold sio intelligent...

Kutokana na huu "unyonge" wangu ndio maana huwezi kunikuta kwenye majukwaa ya siasa na majukwaa yenye "Fujo" nyingi... Unyonge wangu huwa unanifanya mtu akinipiga Kofi shavu la kushoto, nigeuze na la kulia.... Akitukana, siwezi kujibu...
Kwa mwendo huu nitaliwezaje jukwaa la "watemi" kama Jukwaa la Siasa???


Unyonge wangu ndio unanifanya nijifungie kwenye chumba changu cha sirini, ndani ya nafsi yangu, kwenye ulimwengu wa peke yangu... Sehemu pekee ambayo naweza kufanya nitakacho... Kuumba nitakacho, kufikiri nitakacho... Ulimwengu ambao unyonge wangu unapotea na pekee ninachokiona ni excellence and distinction... Yawezekana ni ulimwengu wa kufikirika tu, lakini ndio ulimwengu unanifanya nijihisi nimeketi na wafalme... Ulimwengu wa UANDISHI.!


Kama nilivyosema... I'm not "the most intelligent man" in here... And I don't wish to be!!
Lakini kama huwa unajumuika nami katika huo "ulimwengu" wangu na hiki ndicho ulichokiona... Nashukuru sana.... Ubarikiwe!


Nawapenda wote! All of JF... Salute
 
(Kwa kuogopa kung'ata ulimi naomba niepuka hiyo lugha ya malkia)


Mkuu,


Nashukuru sana kwa shukrani na pongezi hizi... am really humbled!

Japokuwa natofautiana nawe na sidhani kama mimi ndio "the most intelligent" humu JF! Lakini naheshimu mawazo yako na heshima hii uliyonipa...


Kuwa "The Bold" kuna gharama yake... Unapata maadui ambayo hata hukumbuki kama mmewahi kukosana... Utatukanwa matusi na watu ambao hujawahi hata kumquote kwenye Uzi wowote... Kuna watu watakuchukia ilhali haujawahi hata kumjua jina... That's the price of being "the bold"

Mfano mzuri watazame hao hapo juu wanao haha kuprove why The Bold sio intelligent...

Kutokana na huu "unyonge" wangu ndio maana huwezi kunikuta kwenye majukwaa ya siasa na majukwaa yenye "Fujo" nyingi... Unyonge wangu huwa unanifanya mtu akinipiga Kofi shavu la kushoto, nigeuze na la kulia.... Akitukana, siwezi kujibu...
Kwa mwendo huu nitaliwezaje jukwaa la "watemi" kama Jukwaa la Siasa???


Unyonge wangu ndio unanifanya nijifungie kwenye chumba changu cha sirini, ndani ya nafsi yangu, kwenye ulimwengu wa peke yangu... Sehemu pekee ambayo naweza kufanya nitakacho... Kuumba nitakacho, kufikiri nitakacho... Ulimwengu ambao unyonge wangu unapotea na pekee ninachokiona ni excellence and distinction... Yawezekana ni ulimwengu wa kufikirika tu, lakini ndio ulimwengu unanifanya nijihisi nimeketi na wafalme... Ulimwengu wa UANDISHI.!


Kama nilivyosema... I'm not "the most intelligent man" in here... And I don't wish to be!!
Lakini kama huwa unajumuika nami katika huo "ulimwengu" wangu na hiki ndicho ulichokiona... Nashukuru sana.... Ubarikiwe!


Nawapenda wote! All of JF... Salute

OMG! Niseme nini sasa? Asante Mungu kwa huyu Bold...
Naam,maadui ni wengi lakini wewe piga kazi tu.

Nakumbuka ulipoanza wengi wa maadui walikuwa wakikusifu na kukupamba,sifa zilipozidi kumiminika kila pembe hii ya JF wengi wamegeuka maadui.
Lakini hii yote isikukatishe tamaa baba...endelea kuchapa kazi bila kujali.
Am proud of you [emoji8] [emoji122] [emoji122]
 
OMG! Niseme nini sasa? Asante Mungu kwa huyu Bold...
Naam,maadui ni wengi lakini wewe piga kazi tu.

Nakumbuka ulipoanza wengi wa maadui walikuwa wakikusifu na kukupamba,sifa zilipozidi kumiminika kila pembe hii ya JF wengi wamegeuka maadui.
Lakini hii yote isikukatishe tamaa baba...endelea kuchapa kazi bila kujali.
Am proud of you [emoji8] [emoji122] [emoji122]
dada auchezi mbali na buyu la asali...!
 
(Kwa kuogopa kung'ata ulimi naomba niepuka hiyo lugha ya malkia)


Mkuu,


Nashukuru sana kwa shukrani na pongezi hizi... am really humbled!

Japokuwa natofautiana nawe na sidhani kama mimi ndio "the most intelligent" humu JF! Lakini naheshimu mawazo yako na heshima hii uliyonipa...

Boss ningekuwa na ukarimu japo robo ya ulionao ningekuwa mbali sana. Yani mtu anasoma maandishi yako hadi mishipa ya ufahamu inasisimuka.

Salute sana mkuu The bold !!
 
Back
Top Bottom