The Greatest JF intelligent man

The Greatest JF intelligent man

Kila mtu ana mtazamo wake ndio maana hatufanani akili wala maarifa.

Mtu mwingine anaweza kuona The bold amna kitu ana-tafsiri tu kutoka kwenye kiingereza kuleta kwenye kiswahili pengine ni kweli au ni uongo vyovyote iwavyo lakini kusoma kitu ukakielewa na kuweza kumuelewesha mtu mwingine kile ulichokisoma na akaelewa ni kipaji kikubwa mno.

Kuna walimu kibao mashuleni pamoja ya kuwa wamesomea uhalimu ila hawana kipaji cha kumuelewesha mwanafunzi na mwanafunzi akamuelewa.

Mi nampa Credit The bold kwa kile anachokifanya....Uwezo wake wa kuandika ni mkubwa mno sio Kila mtu Ana Uwezo wa namna ile kama unadhani ni kitu rahisi ingia uko mitandaoni mnaposema anapata habari na wewe soma na uje hapa kutafsiri tuone kama utaufikia ubora wake!!!!!

Kwangu mimi naungana na mtoa mada....Na naungana na wale waliotaja watu wengine pia maana kila mtu Ana mtazamo ila mtazamo wako usifanye uone juhudi za The bold ni amna kitu tusiwe wanafiki.
Mleta mada alileta observation yake kama ndiyo final say ndiyo maana wakatokea wengine kusema hakuna lolote hapo.

Si ndiyo mjadala unavyokuwa?

Kwamba ukiwasilisha mawazo yako kwa hadhira basi tegemea maoni zofauti.

Na hapa ndipo walipoibuka wanaosema no.....wapo wajuvi zaidi.

Usipokuwa free thinker huwezi ona hili.
 
Mleta mada alileta observation yake kama ndiyo final say ndiyo maana wakatokea wengine kusema hakuna lolote hapo.

Si ndiyo mjadala unavyokuwa?

Kwamba ukiwasilisha mawazo yako kwa hadhira basi tegemea maoni zofauti.

Na hapa ndipo walipoibuka wanaosema no.....wapo wajuvi zaidi.

Usipokuwa free thinker huwezi ona hili.
Exactly...

Na watu wakija na mitazamo tofauti eti wanaonekana wana chuki, ni maadui... seriously?

Mtu anaingiza mapenzi kwenye ishu serious.

If you can't handle constructive criticism then u better be dead coz the chances for survival are minimal. Utaachwa nyuma katika huu ulimwengu

Watanzania bado tuna safari ndefu sana ya kujikwamua kifikra.

Asante Mwelewa kwa input yako
 
Bold ..explain about indhira Gandhi and samora machela assasination
 
Huyu jamaa The Bold sio mtu wa mchezo mchezo hata nam nlitaman kumpa hata tuzo nmekuwa naburudika na kujfunza sana kuptia makala zake humu JF ila bhana nlmulza habar za ile vipepeo weusi mpaka leo hajanijb sijui vp natamn kusoma inayoendelea nifike mwisho ikawaje....

Hongera sana The Bold
 
Kiranga is a true genius. Ana produce new ideas

Huyu the bold anadesa wikipedia na documentaries za Histroy Channel mnamwita intelligent

Wabongo kuwadanganya ni rahisi sana
Acha wivu jamaa ana akil wangap humu wanaenda uko net wanacopy na kupastr uyo boss wenu max kaleta habat za freemason humu kacopy kama zilvo na kuweka humu tena kwa kingereza kma ana akil mbn kashindwa kuchambua...The bold kiboko yao anakuelezea had unajiona ww upo ndan ya tukio una shuhudia acha wivu kijana au kakuchukulia demu wako?? LONG LIVE THE BOLD
 
Kiranga is a true genius. Ana produce new ideas

Huyu the bold anadesa wikipedia na documentaries za Histroy Channel mnamwita intelligent

Wabongo kuwadanganya ni rahisi sana
Acha wivu kijana ...boss wenu max kacopy kuhusu freemasonry kashindwa hata kuchambua mkamwita anajua zaidi ya sheikh yahya.....
The bold anachambua tena anawafanya watanzania wote wanaelewa had unajihisi upo ndan ya tukio una shuhudia ...

LONG LIVE THE BOLD
 
Hapa JF aliwahi tokea mtu mwenye uwezo mkubwa sana wakufikiri......si mwingine ni mkuu Kiranga.

Mwingine mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri ni mkuu Nyani Ngabu.

Nafahamu Nyani Ngabu wakatimwingine anaweza kufanya mambo mengi ya utani tu laini huyu jamaa anauwezo mkubwa

Pia member anayeitwa Deception (sijui yupo wapi siku hizi) naye anaweza kujenga hoja sana.

Mwingine ni mkuu ONTARIO anaweledi mzuri kwenye business na ujasiriamali. Pia anaweza sana kusimulia tukio fulani kwa weledi

Member mwingine ni Al-Watan. Huyu anauwezo mkubwa kufikiri logically. Aina yake ya kufikiri ni kama Kiranga japo yeye hashiriki sana mijadala hapa

Pia kwenye hii list yangu namsifu The Bold anakipawa cha kusimulia makala za kijasusi anazozipata kwa msaada wa mtandao

Update

Aaaah nimemkumbuka my brother Dan Copper. Huyu yupo vizuri upande wa celebrity forum. Hususani muziki wa majuu. Zamani alikuwa anajiita Sergio Paulo...

Kwa upande wa siasa mkuu barafu nakusifu.

Hao ni baadhi, wapo wengi hapa JF nao si haba. Tunajifunza na kufurahia hoja na mada zao
Upo sahihi kwa asilimia zote ......Jamaaa ni story teller mzuri tu. But arguments sijamuona sana ila hao uliotaja wapo safi sana
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Al-watan yupo humu? [emoji15] [emoji15] [emoji15] aisee......nitasema baadae!!
We jamaa unajua kuchambua.....katika orodha kuna mtu mmoja anaitwa Barcelona,aisee nae alikuwa kiboko ila alikuja kupotea tu ghafra!!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Huyu jamaa The Bold sio mtu wa mchezo mchezo hata nam nlitaman kumpa hata tuzo nmekuwa naburudika na kujfunza sana kuptia makala zake humu JF ila bhana nlmulza habar za ile vipepeo weusi mpaka leo hajanijb sijui vp natamn kusoma inayoendelea nifike mwisho ikawaje....

Hongera sana The Bold
Wewe ni die hard fan,nicheki PM nikupe mawasiliano ya WhatsApp nikutumie yoteeee hadi mwisho.
Karibu.
 
In all fairness, I would like to commend Kiranga. Kiranga and Ngabu made me see the uniqueness of JF
 
Wewe ni die hard fan,nicheki PM nikupe mawasiliano ya WhatsApp nikutumie yoteeee hadi mwisho.
Karibu.
Haaaa haaa...

Ila mods wa sasa hivi hawataki ujinga aseee...

Haaaa haaaa acha nicheke mie..
 
Upo sahihi kwa asilimia zote ......Jamaaa ni story teller mzuri tu. But arguments sijamuona sana ila hao uliotaja wapo safi sana
Yes brethren

Ndiyo ukweli huo.

Mkuu Kiranga alikuwa vizuri. At least miongoni mwa members wa JF.

Kuwaza logically tena in a consistent manner......maan sio mbaya kumpa big up

Visa anavyotoa mkuu The Bold are readily available on the internet.

Tena kwa sababu yeye anavipata hivi visa na kufanyia tafsiri basi naweza kusema ubora unapungua kiasi fulani tofauti ilivyosimuliwa kwa lugha ya awali

Pia kutafsiri kisa fulani toka vyanzo vingine haihusishi sana critical thinking ambayo kwa mtazamo wa wazi kabisa ndiyo chachu ya intelligence yenyewe.

Kwa mfano ukisoma kitabu cha Gideon's Spies au Spies Against Armageddon utaona vile mambo ya ujasusi yanavyosimuliwa na waandishi original wa visa husika.

Kuchukulia mambo in a superficial way sio namna nzuri ya kufikiri.

Cheers!!!
 
Yes brethren

Ndiyo ukweli huo.

Mkuu Kiranga alikuwa vizuri. At least miongoni mwa members wa JF.

Kuwaza logically tena in a consistent manner......maan sio mbaya kumpa big up

Visa anavyotoa mkuu The Bold are readily available on the internet.

Tena kwa sababu yeye anavipata hivi visa na kufanyia tafsiri basi naweza kusema ubora unapungua kiasi fulani tofauti ilivyosimuliwa kwa lugha ya awali

Pia kutafsiri kisa fulani toka vyanzo vingine haihusishi sana critical thinking ambayo kwa mtazamo wa wazi kabisa ndiyo chachu ya intelligence yenyewe.

Kwa mfano ukisoma kitabu cha Gideon's Spies au Spies Against Armageddon utaona vile mambo ya ujasusi yanavyosimuliwa na waandishi original wa visa husika.

Kuchukulia mambo in a superficial way sio namna nzuri ya kufikiri.

Cheers!!!
Brother may u share thoze writtngs......?
 
(Kwa kuogopa kung'ata ulimi naomba niepuka hiyo lugha ya malkia)


Mkuu,


Nashukuru sana kwa shukrani na pongezi hizi... am really humbled!

Japokuwa natofautiana nawe na sidhani kama mimi ndio "the most intelligent" humu JF! Lakini naheshimu mawazo yako na heshima hii uliyonipa...


Kuwa "The Bold" kuna gharama yake... Unapata maadui ambao hata hukumbuki kama mmewahi kukosana... Utatukanwa matusi na watu ambao hujawahi hata kumquote kwenye Uzi wowote... Kuna watu watakuchukia ilhali haujawahi hata kumjua jina... That's the price of being "the bold"

Mfano mzuri watazame hao hapo juu wanao haha kuprove why The Bold sio intelligent...

Kutokana na huu "unyonge" wangu ndio maana huwezi kunikuta kwenye majukwaa ya siasa na majukwaa yenye "Fujo" nyingi... Unyonge wangu huwa unanifanya mtu akinipiga Kofi shavu la kushoto, nigeuze na la kulia.... Akitukana, siwezi kujibu...
Kwa mwendo huu nitaliwezaje jukwaa la "watemi" kama Jukwaa la Siasa???


Unyonge wangu ndio unanifanya nijifungie kwenye chumba changu cha sirini, ndani ya nafsi yangu, kwenye ulimwengu wa peke yangu... Sehemu pekee ambayo naweza kufanya nitakacho... Kuumba nitakacho, kufikiri nitakacho... Ulimwengu ambao unyonge wangu unapotea na pekee ninachokiona ni excellence and distinction... Yawezekana ni ulimwengu wa kufikirika tu, lakini ndio ulimwengu unanifanya nijihisi nimeketi na wafalme... Ulimwengu wa UANDISHI.!


Kama nilivyosema... I'm not "the most intelligent man" in here... And I don't wish to be!!
Lakini kama huwa unajumuika nami katika huo "ulimwengu" wangu na hiki ndicho ulichokiona... Nashukuru sana.... Ubarikiwe!


Nawapenda wote! All of JF... Salute

The Bold

i am the one who created this thread to give you this unique and special respect.

i have been being on Jamiiforums for so long,i embrace there are some of other Great Thinkers.


at the first i admired people like Nguruvi and mag3 the way they come forward with their cogent arguments.

kiranga was good with bombastics,al watan is good at all,but all of them are very argumentative,the do not focus on giving us a knowledge.

You The Bold you give us knowledge,a huge knowledge and trust me many members are awere now with hot intelligence stories from you something we missed before.

above of all you're humble and not arrogant,on my side you are the greatest man because of knowledge you give us and your politeness,that's all.

those who say you just translate,why can't they?

i got your back.
 
Back
Top Bottom