Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
- Thread starter
- #21
Jamaa huyu hakusubiri.. sema mambo yalikuwa hayamnyookei. Kaanza haso mdogo ila kafanikiwa ni babu.Sipati picha mtu unasubiria kufanya mambo uzeeni halafu yaende tofauti na hapo tayari ni mzee. Stress zake ni kama za huyu jamaa 'dr shika'.