Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusaidie kurani inasema vitabu vilivyotelemshwa Kuna torati,zaburi ,injili na kurani.
Kurani tunaiona.Hivyo vitabu Vingine viko wapi? Waislamu tuonyesheni
100%+100%=? 1+1+1=? Kwa hiyo unakusudia kusema wanaadamu wengine hatuna personality mbili kama Yesu?Sikutaka nimzungumzie kiimani.
Nimemzungumzia kama mtu tu wa kawaida ndio maana namwita ni mwanafalsafa.
Yesu ana personality 2 ambazo ni Uanadamu kwa 100% na Uungu kwa 100%.
Mimi nazungumzia yule Yesu mwanadamu.
Vitabu vya zaburi,taurati na injili viko wapi.Waislamu tutajieni vilipo
Yesu sio Issa.Issa alizaliwa chini ya mtende .Yesu alizaliwa kwenye hori la ng'ombe.Sisi Waislam
Tuna amini na tutaendelea kuamini,Katika Viumbe Bora Duniani,kuliko Malaika,Majini,Wanyama nk
Ni hawa Wafauatao
NUUH
IBRAHIM
MUSSA
ISSA(YESU)
MOHAMMAD
Hawa ni bora na watazidi kuwa bora
Ila kuna wavurugaji katika Dunia ya sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo umemuekea dunia inavyotamumbua ila yeye anatambu Yesu ndo namba 1 kwa hiyo mtabishana ucku kucha
Kamuulize aliyekufundisha alichokwambia ni kweliYesu sio Issa.Issa alizaliwa chini ya mtende .Yesu alizaliwa kwenye hori la ng'ombe.
Yesu alikufa na kufufuka.Issa alipokata Roho hakuwmka Hadi Leo.
Yesu na issa Ni watu wawili tofauti
Mkuu mada yangu nimetaka kumzungumzia yesu kama mtu wa kawaida. Huko nitaenda kiimani zaidi namimi sitaki nimzungumzie Yesu kiimani ndani ya mada hii maana naweza zua mjadala mwingineMkuu samahani naomba ufafanuzi kidogo juu ya elimu ya dini nasikia yesu mama ake bikra maria na huyu mama akuwahu guswa na mwanaume yoyote!sasa hapa inaonekana maria mumewe ni joseph na mtoto wao ni yesu ilikuakuaje hapa kwa hawa wanandoa .samahani mie sio mwandishi mzuri utanirekebisha
Yesu yuko kwenye Biblia ,Issa Yuko kwenye kurani.Ni watu wawili tofautiKamuulize aliyekufundisha alichokwambia ni kweli
Wapo watu wanavipaji vikubwa sana. Sema huku kwetu ndio hivo huyo mtoto sana ataishia kupiga kinanda kwa kwaya tu. Lakini ingekua mbele huko angeendelea hata akavumbua mengi ya kimzki.
Mimi nilikua napenda sana kupiga piana na najua nina hiki kipaji. Nimejifunza ila sehemu ya kufanya mazoezi ilikua tabu. Ilibidi nistop na nimejiapiza nitaendelea tena mpaka siku nikinunua piano yangu. Nimebaki na elimu ya muziki tu
Kwa hiyo yesu baba yake joseph au nimeelewa vibayaMkuu mada yangu nimetaka kumzungumzia yesu kama mtu wa kawaida. Huko nitaenda kiimani zaidi namimi sitaki nimzungumzie Yesu kiimani ndani ya mada hii maana naweza zua mjadala mwingine
Alichaguliwa na mola akuletee habar gani?Kiukweli mimi sikubali, kwanini Yesu atushinde watu wote wakati alikuwa binadamu sawa kama sisi? Tunakosea wapi?
Yaani ww ni mmoja wa wakweli katika hili
Yesu ni Binaadam kama sisi,ila alichaguliwa na Mola na kupewa utukufu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo umemuekea Dunia inav
Hapo umemuekea dunia inavyotamumbua ila yeye anatambu Yesu ndo namba 1 kwa hiyo mtabishana ucku kucha