Dusty Foot
JF-Expert Member
- Dec 15, 2014
- 228
- 300
Kuna mtu anaweza kusaidia kwa kuandika majina ya hawa watu wawili kwenye picha?
Maldini na Klinsmann..Weah always nita mrate behind Etoo na Drogba
Kipi ambacho De Lima kampita Messi?
Sasa katika hawa, huyo mweusi ndiyo nani?
Etoo anafaidi matunda ya MISIFA waliyopata Cameroon wakati wa kombe la dunia huko Italy.
Drogba wamekuja wakati Africa tayari wanaheshimika kimpira. Weah kaja kutoka nchi ndogo kimpira.
Ni sawa leo aje Star wa mpira kutoka Tanzania hadi achukue hizo zawadi, Ni ngumu sana. Nigeria, Cameroon, Ivory Coast, South Africa, Ghana, Guinea Conacry, Mali, DR Congo, Senegal na hizi nchi za Waarabu, wenzetu wana nafuu siku hizi.
Africa bado hatueshimiki ki mpira na bado tupo nyuma sana, na tusipo angalia Asia itatupita...Hasa kwa saivi tuko kwenye barren spell..hatuna superstar yeyeto anayeongoza team kubwa ulaya zaidi ya Toure kwa sasa na yeye kashaanza kufulia...Brahimi mfaransa huyo!
Weah me sijui bana maana hata data zake za uchezaji hazipo makini zaidi ya miaka miwili aliyochezea milan na pia milan ilikataa ku renew contrct yake after 2 years. na alikua hafungi sana...Zaidi ya Miaka kumi nimewaona Etoo na Drogba wakiongoza club kubwa ulaya!!
Weah namuonaga tu kama poster child wa Fifa...Its well documented ushindi wake wa ballon d'or ulikua part of Fifa finding global identity! Nigeria wanakwambia Weah hajawahi fikia hata level ya Tony Yeboah ktk uchezaji..sasa sijui!
Weah namuonaga tu kama poster child wa Fifa...Its well documented ushindi wake wa ballon d'or ulikua part of Fifa finding global identity! Nigeria wanakwambia Weah hajawahi fikia hata level ya Tony Yeboah ktk uchezaji..sasa sijui!
Mkuu umemzungumzia Pele kama vile alikuwa peke yake akicheza duniani kipindi hicho. Hivi hujiulizi kama ingelikuwa ni rahisi kiasi hicho iweje hakuna mchezaji mwingine mwenye rekodi inayokaribiana na ya pele kwa kipindi hicho wakati sheria zilikuwa zilezile kwa kila mchezaji. Huko juu umesema washambuliaji siku hizi wanalindwa kuliko zamani, sasa hujiulizi imekuwaje Pele aliweza kufanya aliyofanya bila ulinzi wanaopewa washambuliaji leo hii? Acha kumshushia heshima ze king of soka hata kama humpendi.Hapo kwa Zizou hakuna ubishi, kwa hizi karne mbili sijamuona kiungo kama Zizou
Neymar anacheza vizuri akitokea pembeni, Ronaldo alikua mshambuliaji wa kati, no.9, Ronaldo pamoja na skills alikua na nguvu na stamina ya ajabu kupasua kuta ngumu bila kuangukaanguka hovyo kama huyu dogo, ungesema Neymar kafanana mpira na Christina labla
Pele ni siasa tu, hamgusi hata Ronaldo de Lima huyo kigagula, alikua mshambuliaji design ya kina Inzaghi, Van Nesterooy, pele hakua na uwezo wa kupasua ukuta na skills kama za de Lima, alikua muoteaji tu kazi kubwa ilifanywa na wachezaji wasiopewa sifa leo hii kama Carlos Alberto na Garrincha na alifunga magoli mengi sana ambayo otherwise yalikua offside kutokana na sheria za kipuuzi za kipindi chake.
Mungu wa soccer anaitwa Diego Armando 'D10S' Maradona, hakuna pele wala upele. Kila skills unayoiona leo kwenye soka ilikua invented na Dios including ile chenga ya Zidane 360 au helicopter kwa jina jingine, what Pele could do with a football, Maradona could do it better with a golf ball
Wengine walishindwa kuvizia? Mbona kafunga yeye tu?Ha ha ha ha ha ha ha hii ya Offside kutokuwepo ndo ilikuwa balaa, yaani mtu anavizia anavyotaka. Sasa atashindwa kuwa na Magoli 1,000.
Leo hii Mchezaji akiwa na miaka 34 tunasema kazeeka, mfano Puyol alistaafu kutokana na mikimiki ya uwanjani.
Pele kacheza na watu ambao wana miaka 40-50 sasa hapo atashindwa kuwakimbiza?
Hahahaaa, kweli bana, hawa Wapenzi wa AC Millan ni sheedah.
Labda wewe ndo umewamiss Ac Milan, timu ishakuwa kama Simba SC ya Tanzania. Milan alimpiga Barca San Siro gori 2-0 akafurahi sana, na posho wakamwagiwa za kutosha. Wakaona haitoshi, wakanunua magazeti yooote waisifie Milan kwa ushindi huo.
Heeeeeee!!!!! Si wakaenda Camp Nou bhanaaaaaaaaaaaa.
italy hiyo