The Guardian: Kuhusu kushuka kwa idadi ya watu wa Nchi ya Korea Kusini

Mkuu kashasema "fyatueni tu" ameona mbali sana! Hayo kwa wakolea ni mazao ya uzazi wa mpango!
Lakini hakuwa na maana hiyo... strategic planning na sio ile planning nyingine. Wanatutesea mama zetu tu bure. Halafu ushawahi kujiuliza ni kwanin kwa wanawake na sio wanaume... most scientists are men.... haki sawa
 
Hao ni wapumbavu, kwani duniani ardhi imeisha hadi wahangaike kote huko angani?
Hahhahahhahaha na ujue ya hapa yamewashinda. Ardhi zetu zenye rutuba zinazidi kuharibiwa tu in the name of science and technology.
 
Natamani mawaziri na Rais akusikie ushauri bora sana kwa uzalendo wako
 
Nilikuelewa vizuri tu ndugu. Labda nikuulise swali, kuna haja kweli kwa nchi kuacha kuboresha teknolojia zetu kwa minajili ya kuwa kuna watu watakosa ajira??? Tufikirie kwanza ndani ya box tukimaliza tuangalie na nje... majibu mbona yapo.

Mfano coaster moja inaweza kubeba abiria zaidi 20 kwa wakati mmoja (kama siko sahihi nirekebishe) lakini taksi inaweza beba abiria maaybe wa3 kwa wakati mmoja, sasa je ili tusiue soko la taksi basi na tupige marufuku uingizwaji wa coaster nchini, vipi kuhusu bajaji vs bodaboda... vipi kuhusu trakta vs jembe la mkono... kupoteza ajira kwa hao kutasababisha wengine wapate ajira pia (sisemi hivi kama mtu asiye na huruma ila competition katiak dunia yetu ni jambo lililo vizazi na vizazi).

Kuna wakati sisi kama vijana tuliosoma kwa kodi za watanzania wenzetu kuonesha mfano katika kukubali mabadiliko ya teknolojia iwe kwa hiari au lah. Tukiwa tunaangalia upande mmoja tu wa shilingi tutakuwa tunakosea. Let's weigh the pros and cons, kisha tuamue. Nauli na muda ambao ningeutumia kwenda kukata tiketi sasa naweza kuutumia kufanya shughuli nyingine za uzalishaji mali. Kama unaishi dar (mimi sipo huko) unaweza ukaelewa thamanj ya muda vs kwenda kukata tiketi.

Ahsante
 
Natamani mawaziri na Rais akusikie ushauri bora sana kwa uzalendo wako
Ahsante sana kwa kuliona hilo... natumai utawaelimisha vijana wengine pia nao waelewe kuwa duniani kuna opportunity nyingi ili tuendelee kuishauri serikali yetu kutunga sera zinazoendana na karne ya sasa hasa katika kuhakikisha vijana wanapata ajira za nje ya nchi hasa barani Ulaya na America lakini pia zifanyiwe kazi na sio kuwekwa kabatini.
 
Labda ngoja nikuambia kwanini idadi ya watu ni kitu muhimu sana. Kwa mfano ushawahi kujua kwanini mapato ya nchi hukusanywa zaidi dar es salaam kuliko mikoa mingine, vipi kuhusu population yao... na ndo sehemu inaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya watu... ni coincidence ama. Siku zote soko lazima liendane na idadi ya watu (supply and demand), kama unazalisha huna pa kuuza then what...? Soko la Afrika mashariki na SADC huoni watu huungana kwa sababu ya kuincrease number...
 
jibu
Swali ni moja tu, je kujua ndio kutenda???
Jibu mbona liko wazi... kupanga sio kutenda. Ila kutenda ni matokeo kupanga kutokupanga kupanga. 🙂

Samahani kama nimekuchanganya.
 
Na africa kizazi wanawake wasiotaka kuzaa kinaongeza pia wale wa kuzaa watoto watano wamepungua, na pia kushika mimba miaka ya karibuni imekuwa ngumu na pia gharama za kujifungua vipo juu
 

Ndio maana nimesema hukunielewa, hamna sehemu nimepinga wala kusema Afrika tuache teknolojia, nimekuambia mimi ni mtaalam wa masuala ya teknolojia hivyo huwa nipo mstaari wa mbele kwenye kupigia debe mifumo, japo na yenyewe huwa inaathiri pakubwa soko la ajira, lakini pia inaboresha ufanisi na pia kuongeza mapato, ni shilingi yenye sura mbili, inaboresha ila inaacha wengine wakiwa hoi, hata hivyo muhimu twende tu hivyo.

Issue yangu ilikua kwa hizo kauli za kusema watu wafyatue watoto ili kuongeza nguvu kazi, sio kwa ulimwengu wa leo.
 
Now we are good. Hata mimi siungi mkono, ila mtoto ni baraka kutoka kwa Mungu akija mpokee... mkumbuke Sara wa kwenye Biblia.
 
Na africa kizazi wanawake wasiotaka kuzaa kinaongeza pia wale wa kuzaa watoto watano wamepungua, na pia kushika mimba miaka ya karibuni imekuwa ngumu na pia gharama za kujifungua vipo juu
Ni kweli hata takwimu zao zinaonyesha hivo. Ila shida ni kuwa kwa wenzetu birth rate ni below 1 wakati kwetu ni above 1.5 unaona tofaut hapo.
 
jibu

Jibu mbona liko wazi... kupanga sio kutenda. Ila kutenda ni matokeo kupanga kutokupanga kupanga. 🙂

Samahani kama nimekuchanganya.


Kujua na kutenda ni sawa??
 


Swali mbona ni dogo tu lisilohitaji maneno mengi!!, je kujua na kutenda ni sawasawa??---
 
When we come into demand and supply idadi ya watu sio issue mkuu. Unaweza ukawa na watu wachache lakini wakawa na demand kubwa kuliko idadi kubwa ya watu. What if watu ni wengi but they don't afford the commodities' prices due to small number of people who are earning high income comparing to large number of people in the country.?
Kwahiyo population increment is not an important issue in this era of technology advancement.
Kama ingetokea miaka 200 au 100 nyuma kwasasa ingefaa sana
 
Ok, if that is the case then, Kujua jambo kwa Mungu hukuhusiani na utendaji wake kwa hilo jambo.
Labda nikurahisishie kazi ndugu yangu. Ni hivi Mungu ndiye muweza wa yote, Mungu ndiye mpangaji wa yote, Mungu ndiye hujua kesho yetu, Mungu kila kitu... na hata shetani alishaongeaga na Mungu aende kumjaribu Ayubu na akaruhusiwa ingawa kwa masharti.

Sasa mimi nawewe tuna haja gani ya kuzozana. Hebu kwa mfano ukija kiimani hata serikali iliyo madarakani sass unadhani Mungu hakujua yenyewe ndo itakuwepo, je asingeweza kuzuia isiwepo, kwanini kaacha iwepo, ana makusudi yake na ndo hapo mimi naww hatupaswi kuhoji... Mipango ya Mungu hatuwezi kupingana nayo...
 
Mamlaka ya kuteka na kuua wakina azory gwanda, na ben saanane, mamlaka ya kuiba kura, mamlaka ya kujenga uwanja wa ndege vijijini kwao ilhali hamna wateja na watoto wanakaa chini shuleni zote hizo. Zimetoka kwa mungu?
 
Mamlaka ya kuteka na kuua wakina azory gwanda, na ben saanane, mamlaka ya kuiba kura, mamlaka ya kujenga uwanja wa ndege vijijini kwao ilhali hamna wateja na watoto wanakaa chini shuleni zote hizo. Zimetoka kwa mungu?
Kama utaamini hivo, itakuwa vyema zaidi. Ila sidhani kama hiyo ndo mada hapo juu. Tafadhali rejea katika mada na utoe mchango wako kama hutojali. Kuhusu hayo mengine natumai kuna nyuzi ama waweza anzisha nyuzi yako kuongelea jambo hilo. Na hakika utapata wachangiaji wengi ikiwamo mimi mwenyewe. Ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…