The Guardian mnaniangusha. Kiingereza gani hiki?

The Guardian mnaniangusha. Kiingereza gani hiki?

Kwa radio ya DW Swahili huwa hawakosei?.. kimsingi si taarifa imefika lakini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Au unataka waanze kutumia grammarly??
Hata grammarly kuna muda hukosea ni AI ile
 
Mumsaidie kwa kweli, hizo s s zimemchanganya, ministry ni nafsi ya tatu umoja hiyo, yaani wizara.
 
Back
Top Bottom