ILAN RAMON JF-Expert Member Joined Sep 10, 2013 Posts 9,698 Reaction score 4,488 Feb 18, 2024 #21 Kitombile said: Si bora uwanja wa chato ni mzuri na umkamilika japo wanafiki kama nyie wanataka kuuhujumu. Click to expand... Hahahahaahah kwa hiyo wataxamaji wa mpira Chato wanajumuishwa na ng'ombe au mtaujazaje uwanja?? Mobutu alijenga sana infrastructure kama hizi ila sasa ni makazi ya popo na bundi.
Kitombile said: Si bora uwanja wa chato ni mzuri na umkamilika japo wanafiki kama nyie wanataka kuuhujumu. Click to expand... Hahahahaahah kwa hiyo wataxamaji wa mpira Chato wanajumuishwa na ng'ombe au mtaujazaje uwanja?? Mobutu alijenga sana infrastructure kama hizi ila sasa ni makazi ya popo na bundi.
I iikatseb JF-Expert Member Joined Sep 13, 2014 Posts 477 Reaction score 686 Apr 10, 2024 #22 Wale waliokua na mashaka bado mashaka yao yapo ??? Sent from my SM-M515F using JamiiForums mobile app
Wale waliokua na mashaka bado mashaka yao yapo ??? Sent from my SM-M515F using JamiiForums mobile app