Kwani kabla ya Diamond hakukuwa na muziki?Mimi Ninachokiona Muziki Uliokuwa Sio Wa Tanzania Bali Ni Muziki Wa Diamond
- Hata Muvi Tuliwahi Kusema, Filamu Zetu Zimekuwa Kumbe Movie Zilizokuwa Zimekuwa Ni Movie Za Kanumba, Leo Kanumba Hayupo Kila Mtu Anajua Kinachotokea
- Hata Leo Diamond Aseme Anaacha Kuimba, Muziki Unakosa Hamasa Kama Muvi
Asante mkuu,nashukuru kwa ushauri.Nimeipenda hii imepangika vyema kabisa(sina shaka udaku specially kashaikopi hii),ushauri wangu kwako kwa vile una kipaji cha kuandika basi jitahidi uanzishe blog/kijarida/kijitabu kinacho ongelea mambo mbalimbali ya celebrity wa bongo haki ya mungu utapiga pesa aisee Nifah
Mama unakumbuka kipindi Kanumba yuko hai namna ambavyo Ray alikuwa juu.. But unaona sasa alivyoporomoka mpaka tumemsahau kama anaexist??Kwani kabla ya Diamond hakukuwa na muziki?
Muziki wetu umekuwa sababu ya ushindani,tuache mambo ya kuendekeza ushabiki.
Japo Diamond nae ana mchango wake ktk hili ila sio kusema bila Diamond hakuna BongoFlavour
Thank you [emoji120] [emoji120] [emoji120]Interesting thread.....
Mange ana ujasiri very rare...
watu aina yake huwa wanaweza fika mbali sana
Babake si mwanamuziki? Ni tukio kubwa kwakeMhhhhhh huyu ni nani ktk tasnia ya burudani bongo hii?
Usinichukulie Kishabiki Maana Yangu Ni Nzuri Tu, Na Ninaposema Muziki Wa Tanzania Haujakua Namaanisha,Kwani kabla ya Diamond hakukuwa na muziki?
Muziki wetu umekuwa sababu ya ushindani,tuache mambo ya kuendekeza ushabiki.
Japo Diamond nae ana mchango wake ktk hili ila sio kusema bila Diamond hakuna BongoFlavour
Huu Ndio Ukweli Mchungu. Muziki Wa Tanzania Haujakua, Aliyefanikiwa Kukuza Kidogo Muziki Wake Ni DiamondMama unakumbuka kipindi Kanumba yuko hai namna ambavyo Ray alikuwa juu.. But unaona sasa alivyoporomoka mpaka tumemsahau kama anaexist??
The sama kwa Ali.! Siku Diamond asipokuwepo (Mungu aepushe) Ali tuna msahau..
Kama ilivyokuwa kwa Kanumba, sio yeye aliyeanzisha Movies, but mchango wake kwenye industry ulikuwa mkubwa kiasi kwamba kuondoka kwake kumefanya Bongo Movie ife..
The same kwa Chibu, yes hajaanzisha mziki but mchango wake ni mkubwa kiasi kwamba siku asipokuwepo, Bongo fleva wataisoma namba na kuelewa alikuwa anawabeba kiasi gani..
"on behalf of myself" na mrembo Nifah tunasema shukrani mkuu..sina neno zaidi ya kusema Akhsante Nifah na The bold nimekuwa shabiki wenu kwa muda mrefu sana ila naomba shukrani zangu zote nizikusanye na kuzitoa leo
"on behalf of myself" na mrembo Nifah tunasema shukrani mkuu..