The history of Malecela v. Kolimba tug of wars now repeats itself in Lowassa v. Membe!

The history of Malecela v. Kolimba tug of wars now repeats itself in Lowassa v. Membe!

sasa kutumwa kwa babako kuenda kuongea na Mandela na makaburu inahusiana vp na ndoa yake yeye na Tatu Ntimizi (suala binafsi) wakati tunajua mzee wako amekua mjane kwa muda (mpaka alipomuoa mama Kilango) na dini za Kikristu zinaruhusu kuoa tena ukipotelewa na mke na kipindi hicho alikuwa katika status hiyo? Au kigezo kilikuwa lazima usiwe umeoa mke wa Kiislam? Sikuelewi Le Mutuz naona unajikanganya hapa! Tukivipa viapo haki yake Le Mutuz wewe jina lako kamili ni William Jumanne John Malecela.

BTW kuna kitu ningependa kufahamu ile scandal ya picha chafu za Kikwete ulikuwa wewe mhusika au una kaka/mdogo aliyekamatwa au kuhusishwa na tukio lile? Maana niliskia tetesi mtoto wa Malecela kwa vile upo hapa na hili ni jukwaa la ukweli na uwazi hebu tumegee ukweli wa mambo ulikuwaje? Tupatie ufafanuzi kidogo...
 
Mkuu Malecela Baba yako akiandika kitabu itakuwa vizuri sana, tatizo ni kuwa akikaa kimya na siku akifa na aliyonayo basi hakuna tutakalojua. Akikwambia wewe na ukasema hadharani hakuna atakayekuamini.

By the way waliwekwa kizuini kutokana na kutaka Muungano ufe, walistahili kwa kuwa kishera walifanya kosa. G55 walikuwa wanaoperate ndani ya sheria na kufuata channels halali. Hawakutaka kuvunja muungano, walitaka serikali ya Tanganyika irudi kwenye Muungano. Yaani walitaka kuwa na federal government na ya Tanganyika na ya Zanzibar. Walifanya hivyo kupitia njia za chama na bunge, ambazo zote zinakubalika. Walitaka katiba ya chama na ya jamhuri zibadilike ili Tanganyika irudi.

Tofauti na Seif Hamad, Seif Bakari na Jumbe walikuwa wanafanya hivyo kihuni.

I stand to be corrected

Bongolander uko sahihi hapakuwepo uhusiano wa moja kwa mojakati ya G-55 na akina Aboud Jumbe............................Jumbe na wenzie walitaka kujitoa kwenye Muunganio na hawakutumia vikao vya chama katika kufikisha azma yao wakati g-55 walitumia ngao ya bunge.......
 
Last edited by a moderator:
sasa kutumwa kwa babako kuenda kuongea na Mandela na makaburu inahusiana vp na ndoa yake yeye na Tatu Ntimizi (suala binafsi) wakati tunajua mzee wako amekua mjane kwa muda (mpaka alipomuoa mama Kilango) na dini za Kikristu zinaruhusu kuoa tena ukipotelewa na mke na kipindi hicho alikuwa katika status hiyo? Au kigezo kilikuwa lazima usiwe umeoa mke wa Kiislam? Sikuelewi Le Mutuz naona unajikanganya hapa! Tukivipa viapo haki yake Le Mutuz wewe jina lako kamili ni William Jumanne John Malecela.

Geza Ulole anachofanya W. J. Malecela ni kuupooza ukweli..........
BTW kuna kitu ningependa kufahamu ile scandal ya picha chafu za Kikwete ulikuwa wewe mhusika au una kaka/mdogo aliyekamatwa au kuhusishwa na tukio lile? Maana niliskia tetesi mtoto wa Malecela kwa vile upo hapa na hili ni jukwaa la ukweli na uwazi hebu tumegee ukweli wa mabo ulikuwaje. Tupatie ufafanuzi kidogo...
 
Mi sioni ni wapi issue ya Malecela na Kolimba inapofanana na Membe na Lowassa,

Lakini pia, Mkuu le Mutuz, pia huwezi kuifananisha issue yaG55 na issue ya akina Seif au Jumbe, G55 walikuwa wapo sehemu sahihi ya kusema hayo mmbo na walikuwa wakilindwa na sheria na hata Nyerere alikuwa hana uwezo wa kumuukumu mtu yoyote zaidi ya kuandika kile kitabu kinachoonesha udhaifu wa Malecela na Kolimba,
Mkuu usitake kututungia storyy za uongo kuwa ile ilikuwa ni mipango ya kumweka Mkapa madarakani

Kituko cha kufanana ni mbinu za kupata madaraka ndani ya ccm.........kuwa kuna mambo huwa hayabadiriki ingawaje wachezaji ni wengineo.........
 
Last edited by a moderator:
- Baba yangu ni Kiongozi aliyewahi kuwa Eminent Person, kati ya watu 7 waliochaguliwa na Commonwealth kama wenye busara sana Duniani kwenda kuongea na Makaburu na Mandela akiwa jela, so anajua wazi watu wawili hamuwezi kubishana mbele ya public maana wenye akili watapata taabu sana kujua mwerevu kati yenu,

- Ila it does not make any sense kwamba Malecela alioa kwa kwa kubadili dini ya Islam, halafu miaka mitatu later akaoa tena halafu katika Makanisa yote akaolea kwenye kanisa la Anglicana, lililomfukuza Rose Muhando kwa sababu ya kuimba kwa kulipwa kidogo, ndio maana baba yangu anasema hataki kuandika kitabu maana ataawaabisha wengi sana walio hai na wafu na I agree!

- Swali dogo sana nawauliza mnashindwa kujibu ambalo ni la msingi zana kwa vizazi vijavyo badala yake unalili udaku, jibu swali kwa nini Seif Hamadi, Seif Bakari na Abdu Jumbe walitolewa madaraka yao na kuwekwa under house arrest kwa kudai Muungano ufe, lakini Kasaka na wenziwe hawakufanyiwa hivyo? Nani alikuwa behind yao?

le mutuz

W. J. Malecela hii sasa umetulamba chenga ya mwili
 
Mkuu Malecela Baba yako akiandika kitabu itakuwa vizuri sana, tatizo ni kuwa akikaa kimya na siku akifa na aliyonayo basi hakuna tutakalojua. Akikwambia wewe na ukasema hadharani hakuna atakayekuamini.

By the way waliwekwa kizuini kutokana na kutaka Muungano ufe, walistahili kwa kuwa kishera walifanya kosa. G55 walikuwa wanaoperate ndani ya sheria na kufuata channels halali. Hawakutaka kuvunja muungano, walitaka serikali ya Tanganyika irudi kwenye Muungano. Yaani walitaka kuwa na federal government na ya Tanganyika na ya Zanzibar. Walifanya hivyo kupitia njia za chama na bunge, ambazo zote zinakubalika. Walitaka katiba ya chama na ya jamhuri zibadilike ili Tanganyika irudi.

Tofauti na Seif Hamad, Seif Bakari na Jumbe walikuwa wanafanya hivyo kihuni.

I stand to be corrected

- Seif Hamad, Seif Bakari, Abdu Jumbe, G55 wote walikuwa na tatizo moja tu hawakutaka Muungano uwepo, wengine walilalamikia kwenye Chama CCM wengine bungeni, lakini wengine wakafukuzwa kazi na kuweka chini ya ulinzi na wengine kuongezewa mlo, watu wazima na akili timamu mnajaribu kuikwepa hoja kwa kutumia maneno mengi ya kitoto sana ili kuhakikisha mnakwepa ukweli kwamba g55 walikuwa wanatumwa na Kiongozi mmoja ambaye mmnamjua ni nani, ndio maana hili taifa tutaendeela kkudanganyana mpaka mwisho wa Dunia,

- Kuhusu Malecela kuandika kitabu it does not matter wewe amini what you want wala sio tatizo ila si unajua sheria ya bongo wewe sikuamini na mimi sikuamini, ndio tunavyoiishi na it is ok!!

le mutuz
 
sasa kutumwa kwa babako kuenda kuongea na Mandela na makaburu inahusiana vp na ndoa yake yeye na Tatu Ntimizi (suala binafsi) wakati tunajua mzee wako amekua mjane kwa muda (mpaka alipomuoa mama Kilango) na dini za Kikristu zinaruhusu kuoa tena ukipotelewa na mke na kipindi hicho alikuwa katika status hiyo? Au kigezo kilikuwa lazima usiwe umeoa mke wa Kiislam? Sikuelewi Le Mutuz naona unajikanganya hapa! Tukivipa viapo haki yake Le Mutuz wewe jina lako kamili ni William Jumanne John Malecela.

BTW kuna kitu ningependa kufahamu ile scandal ya picha chafu za Kikwete ulikuwa wewe mhusika au una kaka/mdogo aliyekamatwa au kuhusishwa na tukio lile? Maana niliskia tetesi mtoto wa Malecela kwa vile upo hapa na hili ni jukwaa la ukweli na uwazi hebu tumegee ukweli wa mabo ulikuwaje. Tupatie ufafanuzi kidogo...

- Well, tatizo lako ni dogo sana unataka dataz kutoka kwangu ila nji aunayoitumia ni childish unafikiri ukiniita Jumanne which I know I am not labda nitafunguka sana umepota njia naona wewe ni mgeni humu JF mambo kama haya tumeyaongea sana humu JF for years, lanbda nenda kwenye archives zipo zitakusaidia kuhusu this subject!1

le mutuz
 
- Seif Hamad, Seif Bakari, Abdu Jumbe, G55 wote walikuwa na tatizo moja tu hawakutaka Muungano uwepo, wengine walilalamikia kwenye Chama CCM wengine bungeni, lakini wengine wakafukuzwa kazi na kuweka chini ya ulinzi na wengine kuongezewa mlo, watu wazima na akili timamu mnajaribu kuikwepa hoja kwa kutumia maneno mengi ya kitoto sana ili kuhakikisha mnakwepa ukweli kwamba g55 walikuwa wanatumwa na Kiongozi mmoja ambaye mmnamjua ni nani, ndio maana hili taifa tutaendeela kkudanganyana mpaka mwisho wa Dunia,

- Kuhusu Malecela kuandika kitabu it does not matter wewe amini what you want wala sio tatizo ila si unajua sheria ya bongo wewe sikuamini na mimi sikuamini, ndio tunavyoiishi na it is ok!!

le mutuz

Yaani wewe ulikuwa unagombea ubunge na hujui haki za ubunge? Kwa hiyo uiltaka G55 watiwe kizuizini kwa kuongea Bungeni? Chini ya sheria gani?

Ati "G55 walikuwa wanatumwa na Kiongozi mmoja ambaye mnamjua ni nani?"......kha ndio ndio "Baba" alivyokwambia?
 
You think so?.
Just wait and see ..
He is like wine "the older it gets, the better it becomes!" and as 2015 approaches, "the nearly the bone, the sweeter the meat!" just sit and enjoy the show!.
Pasco.

What really has changed Pasco? National interest comes before anything people say.
 
Last edited by a moderator:
- Well, Malecela liabadili Dini akamuoa Tatu Ntimizi sasa ikawaje tena Kanisa la Anglican likamruhusu kuoa Kanisani? Unajua yote yanafahamika yalikuwa yanatokea wapi, ila kama anavyosema baba yangu kwamba akiamua kuandika kitabu atawaaibisha wengi wanaoehshimika baada ya kufa.

le mutuz

Sikubaliani kabisa na hilo...bora aandike tujue moja maana kwani yaliyokuwa yanafanyika ni siri kiasi hicho?By the way we need to balance the story. It would be wise if he writes...
 
- Seif Hamad, Seif Bakari, Abdu Jumbe, G55 wote walikuwa na tatizo moja tu hawakutaka Muungano uwepo, wengine walilalamikia kwenye Chama CCM wengine bungeni, lakini wengine wakafukuzwa kazi na kuweka chini ya ulinzi na wengine kuongezewa mlo, watu wazima na akili timamu mnajaribu kuikwepa hoja kwa kutumia maneno mengi ya kitoto sana ili kuhakikisha mnakwepa ukweli kwamba g55 walikuwa wanatumwa na Kiongozi mmoja ambaye mmnamjua ni nani, ndio maana hili taifa tutaendeela kkudanganyana mpaka mwisho wa Dunia,

- Kuhusu Malecela kuandika kitabu it does not matter wewe amini what you want wala sio tatizo ila si unajua sheria ya bongo wewe sikuamini na mimi sikuamini, ndio tunavyoiishi na it is ok!!

le mutuz

Mkuu Le Mutuz

Sijui kama unamtaja AHM au ni nani, lakini the issue is not who was behind the move, the issue here is the would be outcome. Wengine kutochukuliwa hatua na wengine kuchukuliwa hatua kunatokana na jinsi walivyokuwa wanacheza.


G55 walikuwa na akili kidogo, walipita kwenye mkondo wa usio kinyume na sheria, lakini kina Seif walifanya kihuni. Labda Lengo kuu lilikuwa moja, lakini G55 walicheza American Footbal wakiwa na Helmet, lakini kina Seif na Jumbe waliingia kichwakichwa.
 
Yaani wewe ulikuwa unagombea ubunge na hujui haki za ubunge? Kwa hiyo uiltaka G55 watiwe kizuizini kwa kuongea Bungeni? Chini ya sheria gani?

Ati "G55 walikuwa wanatumwa na Kiongozi mmoja ambaye mnamjua ni nani?"......kha ndio ndio "Baba" alivyokwambia?

- Wote walikuwa hawataki Muungano, wengine walisemea kwenye CCM na wengine walisemea kwenye Bunge la CCM, kwa nini adhabu zao zikawa tofauti? ha! ha! ha! ha! I hope wewe unayoandika hujaambiwa na baba yako au? ha! ha!

le mutuz
 
Mkuu Le Mutuz

Sijui kama unamtaja AHM au ni nani, lakini the issue is not who was behind the move, the issue here is the would be outcome. Wengine kutochukuliwa hatua na wengine kuchukuliwa hatua kunatokana na jinsi walivyokuwa wanacheza.


G55 walikuwa na akili kidogo, walipita kwenye mkondo wa usio kinyume na sheria, lakini kina Seif walifanya kihuni. Labda Lengo kuu lilikuwa moja, lakini G55 walicheza American Footbal wakiwa na Helmet, lakini kina Seif na Jumbe waliingia kichwakichwa.

- Sio kweli wote walikuwa na tatizo moja hawakutaka Muungano, na wote walisemea kwenye vyombo vya CCM, hakuna aliyeingia kwa kichwa wala miguu wote walikuwa na tatizo moja tu hawakutaka Muungano!1

le mutuz
 
- Wote walikuwa hawataki Muungano, wengine walisemea kwenye CCM na wengine walisemea kwenye Bunge la CCM, kwa nini adhabu zao zikawa tofauti? ha! ha! ha! ha! I hope wewe unayoandika hujaambiwa na baba yako au? ha! ha!

le mutuz

Nikuulize kama unazijua haki za mbunge anapokuwa ndani ya bunge au hujui? BTW Baba yangu yu marehemu kitambo tu
 
Yaani wewe ulikuwa unagombea ubunge na hujui haki za ubunge? Kwa hiyo uiltaka G55 watiwe kizuizini kwa kuongea Bungeni? Chini ya sheria gani?

Ati "G55 walikuwa wanatumwa na Kiongozi mmoja ambaye mnamjua ni nani?"......kha ndio ndio "Baba" alivyokwambia?

Safari_ni_Safari ni vizuri umempasha...........
 
- Sio kweli wote walikuwa na tatizo moja hawakutaka Muungano, na wote walisemea kwenye vyombo vya CCM, hakuna aliyeingia kwa kichwa wala miguu wote walikuwa na tatizo moja tu hawakutaka Muungano!1

le mutuz

W. J. Malecela acha kubadili historia ya nchi hii....G-55 walitaka serikali tatu ndani ya Muungano na akina Jumbe na wenzie walitka kujitoa kabisa............ipo tofauti kubwa na hawakuwa wakishirikiana katika madai yao.........
 
Sikubaliani kabisa na hilo...bora aandike tujue moja maana kwani yaliyokuwa yanafanyika ni siri kiasi hicho?By the way we need to balance the story. It would be wise if he writes...
Ndahani Mzee Malecela aliahidi kuandika lakini sijui aliishia wapi?
 
Mkuu Le Mutuz

Sijui kama unamtaja AHM au ni nani, lakini the issue is not who was behind the move, the issue here is the would be outcome. Wengine kutochukuliwa hatua na wengine kuchukuliwa hatua kunatokana na jinsi walivyokuwa wanacheza.


G55 walikuwa na akili kidogo, walipita kwenye mkondo wa usio kinyume na sheria, lakini kina Seif walifanya kihuni. Labda Lengo kuu lilikuwa moja, lakini G55 walicheza American Footbal wakiwa na Helmet, lakini kina Seif na Jumbe waliingia kichwakichwa.

Bongolander Tuko pamoja hapo.........
 
Last edited by a moderator:
W. J. Malecela acha kubadili historia ya nchi hii....G-55 walitaka serikali tatu ndani ya Muungano na akina Jumbe na wenzie walitka kujitoa kabisa............ipo tofauti kubwa na hawakuwa wakishirikiana katika madai yao.........

- Wote hawakutaka Muungano huwezi kuwa na Tanganyika halafu ukawa na Muungano, ndio maana huwa siyapi heshima sana maandishi yako maana huwa hayako sawa una kaagenda flani hivi ambako huna uhakika namna ya kukcheza njoo nikupe darasa maana hayo ndio mambo yangu sana ya namana ya kucheza na agenda kwenye public!!

le mutuz
 
- Wote hawakutaka Muungano huwezi kuwa na Tanganyika halafu ukawa na Muungano, ndio maana huwa siyapi heshima sana maandishi yako maana huwa hayako sawa una kaagenda flani hivi ambako huna uhakika namna ya kukcheza njoo nikupe darasa maana hayo ndio mambo yangu sana ya namana ya kucheza na agenda kwenye public!!

le mutuz

W. J. Malecela ninajitahidi kutokuongelea wewe maana nitakuwa nje ya topic.....................kwa hiyo wataka kutudanganya ya kuwa haiwezekani kuwa na muungano wa serikali tatu?
 
Back
Top Bottom