The Inner voice: Sauti ndogo iliyo ndani mwetu ikitueleza kusudi la maisha yetu

The Inner voice: Sauti ndogo iliyo ndani mwetu ikitueleza kusudi la maisha yetu

Huu uzi waliupeleka jukwaa la dini......unaweza kukupa mwanga kiongozi
Salute comrades
NB: bandiko hili nimetumia maandiko ya biblia hata kama unaona haikuhusu nakusihi endelea kusoma unaweza pata kitu.

Katika dunia yetu hii tumeona ni sentensi ya maneno kadhaa tu ndio imeubadirisha huu ulimwengu wetu na kuufanya uendelee. Unaweza kuona sentensi kama vile Newton’s laws of motion zilivyochangia maandeleo ya dunia yetu karibia asilimmia 50 ya maendeleo ya ulimwengu yanaweza kuwa yameletwa na hizo sentesi (laws) tatu za mwanasayansi Issac Neawton kiteknolojia, kiuchumi, pia katika mafunzo ya kiroho hizo laws tatu zinafanya kazi. Au unaweza kuona formula ya E= mc2 ya mwanasayansi Albert Einstein ilivyopelekea mauaji ya mamilioni ya watu huko Hiroshima na Nagasaki Japan, aidha mwanasayansi toka ugiriki Archimedes sentsnsi yake kuhusu kuzama na kuelea kwa kitu ilivyoleta maendeleo makubwa kwenye usafiri wa maji nk. Hivyo unaweza kuona kua hua ni sentensi au maneno ya mtu ndio yameleta makubwa hapa duniani baada ya kuchambuliwa na kufanyiwa kazi.

Swali alilouzaYesu wanafunzi wake linavyowasha taa ya kujitambua kichwani mwa binaadamu.

Luka 9:18-21 "Yesu aliwauliza wanafunzi wake kua je makutano hao wanasema ya kua mimi ni nani? Wanafunzi wake wakajibu yohana mbatizaji wengine wanasema wewe ni Eliya lakini petro akamjibu kua Ndiwe Kristo wa Mungu".

lengo la mada yangu ni kufundisha juu ya mtu kujitambua yeye ni nani (to know your identity), katika swali hilo alilouuliza yesu unaweza kuona ni swali rahisi tu lakini likichambuliwa limebeba ufunguo wa kufungua akili ya mtu kujitambua.
Maneno ya muhimu kwenye swali hiyo ni watu wanasema mimi kua ni nani? Yesu alipouliza swali hilo sio kwamba alikua anataka wamwambie jina lake hasha alitaka afahamu je watu wanamjua yeye ni nani, ndipo petro anamjibu kua ni Kristo wa Mungu. Je nawe ushajiuliza wewe ni nani na watu wanasema wewe ni nani? Twende nikupatie majibu.

Mimi ni nani?
Hapo ulipo anza kujiuliza maswali haya na ujijibu mwenyewe,
Je hivi nilivyo ndivyo natakiwa niwe? Yaani ukijiangalia tabia zako, matendo yako ndivyo unatakiwa uwe? Jibu unalo.

Watu wanasema mimi ni nani?
Ulishwahi kuona mtu Fulani akitaka kumchumbia binti Fulani anaanza kwanza kuulizia kwa watu wanaomfahamu kama vile majirani, mrafiki ni kwasababu watu wa pembeni wanakufahamu zaidi, je leo hii wewe memba mwenzangu wa jf mtu akiuyliza jirani zako kua wewe ni nani atajibu vipi? Je unatabia nzuri, unatabia mbaya, mpole, una hekima, mwizi n.k. jibu unalo mwenyewe.

Rafiki na ndugu/ wazazi wangu wanasema mimi ni nani?
Je mtu akija leo hii kwenu akauliza wazaizi wako nao wakasema ukweli kuhusu wewe bila kuficha kitu watasema wewe uko vipi, kuna watu wakiwa mbele za watu wanaficha tabia zao mbaya wakiwa mbali na kwao lakini wakiwa kwao wanatabia chafu. Mfano unaweza kuona msichana akiwa mbele za watu anakula chakula kidogo mno lakini akiwa kwao hadi anagombania chakula na wadogo zake.

Mungu anasema mimi ni nani?
Hivi ulishawahi jiuliza unahisi Mungu wako anafahamu wewe ni nani, je wewe ni mpole, mwenye dhambi, mchaji, mwenye hekima n.k. kumbuka kabla ya kutungwa kwenye mamba ya mama yako ulianza kutungwa kwenye fikra za Mungu kwahiyo anakufahamu zaidi unavyojifahamu. jibu unalo mwenyewe.

Kwanini nipo hapa duniani?
Ushajiuliza kwanini upo duniani nab ado upo hai na mzima wa afya wakati kila siku watu wanafariki na wengine ni wagonjwa hawajiwezi. Upo hapa duniani tumtumikie mungu na kumuabudu. Utafahamu kusudi lako (purpose) mungu kukuumba na kukuweka hapa duniani kwa kumcha na kumuomba Mungu. Zaburi 13.9, muhubiri 7:13

Nilitoka wapi?
Jiullize mimi nilitoka wapi? binnadam origin yake imegawanyika sehemu mbili. Kwanza mwanadamu anatoka kwa Mungu yaani kuumbwa toka kwenye fikra za Mungu hadi kuwekwa kwenye tumbo la mama yake. Pili familia anayotokea ndio chimbuko lake la pili hata akijitambulisha atasema anatoka familia Fulani lakini kiuhalisia anatoka kwa MUNGU. Mwanzo 1-1, Yohana 1:1-5

Je nifanye nini?
Baada ya kujiuliza maswali hayo hapo juu na kuona udhaifu wako ulipo juu ya kujitambua basi fanya haya ili kuwasha taa ya ufahamu ndani ya ubongo wako. Mwalimu wangu alikua ananiambia batani ya kuwasha taa ya kujitambua ndani ya ubongo unayo mikononi mwako uamuzi ni wako kuwasha upate mwanga au uendelee kukaa giza.
Fanya haya :-
Mche na kumuomba mungu
Jiongezee maarifa kwa kusoma vitu mbalimbali kila siku
Kusudia mwenyewe kutaka kujitambua
Tengeneza utofauti wako na watu wengine
Ongeza thamani ya kile unachokifanya
REFERENCE
Katika kuandika bandiko hili nimetumia rejea mbalimbali kama vuile.
Biblia ya Gideon Version
Katekisimu katoliki jimbo la iringa toleo la kumi na mbili 2013
Kitabu cha The purpose driven to life by Rick waren
Google

Written by
Da’Vinci
Jf expert member
Very helpful asante mkuu ntajitahd kwenda kupractice
 
Hawa manabil na wachungaji wanatuchukuliaje?? Watu wanauziwa chumvi ya 5 kwa elfu tano ili wakajitakase. Tena chumvi ya kiwandani[emoji38]
Hatari [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
wengine wanauziwa Leso nyeupe kwa sh. elfu 5, unamkuta mtu anamatatizo na ameaminishwa na kuambiwa kuwa vitamuondolea shida na umasikini alionao. Shida haina adabu kwakweli
 
Huu uzi waliupeleka jukwaa la dini......unaweza kukupa mwanga kiongozi
Salute comrades
NB: bandiko hili nimetumia maandiko ya biblia hata kama unaona haikuhusu nakusihi endelea kusoma unaweza pata kitu.

Katika dunia yetu hii tumeona ni sentensi ya maneno kadhaa tu ndio imeubadirisha huu ulimwengu wetu na kuufanya uendelee. Unaweza kuona sentensi kama vile Newton’s laws of motion zilivyochangia maandeleo ya dunia yetu karibia asilimmia 50 ya maendeleo ya ulimwengu yanaweza kuwa yameletwa na hizo sentesi (laws) tatu za mwanasayansi Issac Neawton kiteknolojia, kiuchumi, pia katika mafunzo ya kiroho hizo laws tatu zinafanya kazi. Au unaweza kuona formula ya E= mc2 ya mwanasayansi Albert Einstein ilivyopelekea mauaji ya mamilioni ya watu huko Hiroshima na Nagasaki Japan, aidha mwanasayansi toka ugiriki Archimedes sentsnsi yake kuhusu kuzama na kuelea kwa kitu ilivyoleta maendeleo makubwa kwenye usafiri wa maji nk. Hivyo unaweza kuona kua hua ni sentensi au maneno ya mtu ndio yameleta makubwa hapa duniani baada ya kuchambuliwa na kufanyiwa kazi.

Swali alilouzaYesu wanafunzi wake linavyowasha taa ya kujitambua kichwani mwa binaadamu.

Luka 9:18-21 "Yesu aliwauliza wanafunzi wake kua je makutano hao wanasema ya kua mimi ni nani? Wanafunzi wake wakajibu yohana mbatizaji wengine wanasema wewe ni Eliya lakini petro akamjibu kua Ndiwe Kristo wa Mungu".

lengo la mada yangu ni kufundisha juu ya mtu kujitambua yeye ni nani (to know your identity), katika swali hilo alilouuliza yesu unaweza kuona ni swali rahisi tu lakini likichambuliwa limebeba ufunguo wa kufungua akili ya mtu kujitambua.
Maneno ya muhimu kwenye swali hiyo ni watu wanasema mimi kua ni nani? Yesu alipouliza swali hilo sio kwamba alikua anataka wamwambie jina lake hasha alitaka afahamu je watu wanamjua yeye ni nani, ndipo petro anamjibu kua ni Kristo wa Mungu. Je nawe ushajiuliza wewe ni nani na watu wanasema wewe ni nani? Twende nikupatie majibu.

Mimi ni nani?
Hapo ulipo anza kujiuliza maswali haya na ujijibu mwenyewe,
Je hivi nilivyo ndivyo natakiwa niwe? Yaani ukijiangalia tabia zako, matendo yako ndivyo unatakiwa uwe? Jibu unalo.

Watu wanasema mimi ni nani?
Ulishwahi kuona mtu Fulani akitaka kumchumbia binti Fulani anaanza kwanza kuulizia kwa watu wanaomfahamu kama vile majirani, mrafiki ni kwasababu watu wa pembeni wanakufahamu zaidi, je leo hii wewe memba mwenzangu wa jf mtu akiuyliza jirani zako kua wewe ni nani atajibu vipi? Je unatabia nzuri, unatabia mbaya, mpole, una hekima, mwizi n.k. jibu unalo mwenyewe.

Rafiki na ndugu/ wazazi wangu wanasema mimi ni nani?
Je mtu akija leo hii kwenu akauliza wazaizi wako nao wakasema ukweli kuhusu wewe bila kuficha kitu watasema wewe uko vipi, kuna watu wakiwa mbele za watu wanaficha tabia zao mbaya wakiwa mbali na kwao lakini wakiwa kwao wanatabia chafu. Mfano unaweza kuona msichana akiwa mbele za watu anakula chakula kidogo mno lakini akiwa kwao hadi anagombania chakula na wadogo zake.

Mungu anasema mimi ni nani?
Hivi ulishawahi jiuliza unahisi Mungu wako anafahamu wewe ni nani, je wewe ni mpole, mwenye dhambi, mchaji, mwenye hekima n.k. kumbuka kabla ya kutungwa kwenye mamba ya mama yako ulianza kutungwa kwenye fikra za Mungu kwahiyo anakufahamu zaidi unavyojifahamu. jibu unalo mwenyewe.

Kwanini nipo hapa duniani?
Ushajiuliza kwanini upo duniani nab ado upo hai na mzima wa afya wakati kila siku watu wanafariki na wengine ni wagonjwa hawajiwezi. Upo hapa duniani tumtumikie mungu na kumuabudu. Utafahamu kusudi lako (purpose) mungu kukuumba na kukuweka hapa duniani kwa kumcha na kumuomba Mungu. Zaburi 13.9, muhubiri 7:13

Nilitoka wapi?
Jiullize mimi nilitoka wapi? binnadam origin yake imegawanyika sehemu mbili. Kwanza mwanadamu anatoka kwa Mungu yaani kuumbwa toka kwenye fikra za Mungu hadi kuwekwa kwenye tumbo la mama yake. Pili familia anayotokea ndio chimbuko lake la pili hata akijitambulisha atasema anatoka familia Fulani lakini kiuhalisia anatoka kwa MUNGU. Mwanzo 1-1, Yohana 1:1-5

Je nifanye nini?
Baada ya kujiuliza maswali hayo hapo juu na kuona udhaifu wako ulipo juu ya kujitambua basi fanya haya ili kuwasha taa ya ufahamu ndani ya ubongo wako. Mwalimu wangu alikua ananiambia batani ya kuwasha taa ya kujitambua ndani ya ubongo unayo mikononi mwako uamuzi ni wako kuwasha upate mwanga au uendelee kukaa giza.
Fanya haya :-
Mche na kumuomba mungu
Jiongezee maarifa kwa kusoma vitu mbalimbali kila siku
Kusudia mwenyewe kutaka kujitambua
Tengeneza utofauti wako na watu wengine
Ongeza thamani ya kile unachokifanya
REFERENCE
Katika kuandika bandiko hili nimetumia rejea mbalimbali kama vuile.
Biblia ya Gideon Version
Katekisimu katoliki jimbo la iringa toleo la kumi na mbili 2013
Kitabu cha The purpose driven to life by Rick waren
Google

Written by
Da’Vinci
Jf expert member

Interesting.
 
ufahamu mkubwa na wa kiwango cha juu kwa mwanadamu ni pale atakapogundua kuwa hapa duniani anaishi peke yake..

Unaishi wewe mwenyewe...hapa duniani ninaishi mimi mwenyewe na sio wengine hao ninaowaona(unaowaona).

Sikuja duniani kwa bahati mbaya na ndo mana mpaka sasa hivi hujafa au sijafa mpaka utimize( nitimize) kile ulichopangwa (nilichopangiwa)kukifanya katika quanta times( muda uliogawanyika ili kila kitu kifanyike kwa wakati maalumu kulingana na kukomaa kwa ufahamu wa mind yako)

Ni Saikolojia pana sana kuelewa hii dhana.. ila ukweli ni kwamba upo peke yako katika ulimwengu huu.. the other (people) and suroundings are just your personal aspects of personality(ideological view of manifestation)..

Ngumu kuelewa hapa...

but you are just alone in this universe ndo mana life pathy yako ni tofauti na ya mwingine (ulimwenguni kote)..

This is the matrix of your life... you are living alone and the manifestation of your ideas is that created following your idea of perception.

Your body(avotor) is just interacting with your own manifestation za kile mind yako iliwaza kipindi cha nyuma..

Tafuta muda kaaa peke yako halafu utafakari juu ya interactiom yote unayoipata ,utagundua kuwa ni product ya your own perception ambayo imezaa manifestation katika creation form ..

Kaa alone ufikirie kuwa kwanini hapa duniani pattern yote ya manifestation inaihusisha mind yako kwa asilimia 100!!! namanisha kwanini huwezi ishi kwa mbinu anazotumia mwingine?!! lazima mtatofautiana mtizamo na jinsi ya kumanifest mambo..



Kila unachokiona ni matokeo ya your own perception of ideas that turns into physical manifestation..

Ulimwengu ni wewe mwenyewe and nothing else...

The entire population of different things you interact is just a product of your every idea you had before today..

Kila wazo unalolipata sasa hivi linajenga manifestation badae na hii inategemeana na frequency ya vibration ya wazo lako katika kusynchronize na universal pattern of true nature on reality.

........... ndo mana time manifestation inatofationa na frequency inayopresent idea yako...

Hutakuja kuishi out of your own imagination..

And this is the game life-trick ambayo watu mabilioni bado hawajaijua...

If you change your idea from today hakika hata manifestation ya kitu chochote utakachointeract nacho kitabadirika na matokeo ni jinsi mind yako ilikichukulia kwa vibration frequency flani.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji101][emoji101]

""(vibration frequency ikiwa kubwa ndipo time manifestaion inakuwa short hence kinawahi kuonekana katika physical reality na kama vibration frequency ni ndogo hata time manifestation inakuwa ndefu hence kitachukua muda kuja kuonekana katika physical reality.. but kila wazo kichwani mwako one day menifestation into physical reality itakuja kuonekana)"""

Hapo ndo tunapata tafsiri sahihi ya usemi wa yule paka wa Schrödinger kuwa kuna option mbili au nne za kumwelezea paka akiwa ndani ya box..

Paka aliyeko ndani ya box anaweza kuwa hai au kafa kama utachukua maamuzi ya kumwangalia....usipomwangalia hakuna jibu sahihi hapo ila mpaka utakapochungulia ndo yes au no ila probability ni 0.5 kuwa paka yule kafa ndani ya box au yu mzima[emoji4]

Mpaka leo ni magwiji wachache sana wameelewa juu ya tafsiri halisi ya ile paradoxy katika quantum level... ukiwa na brain ya sisimizi hutaelewa jamaa alikuwa ana maana gani..( maybe somedays i wana make this clear juu ya paradoxy ya yule paka anapresent nini katika quantum level of awareness..

Katika maisha haya ,manifestation ya kitu chochote katika macho ya kuonekana inategemea na kama idea yake umeipresent kwenye subconscious mind yako au laaa...

kitu chochote kitaonekana katika mazingira ya kawaida kama tayari kilikuwa kishaongelewa kichwani( fikirika)

Hakitaonekana kamwe kama utakuwa hujakifikiria kwenye mind yako..[emoji3447]

Manake nini chochote kile unachointeract nacho iwe ni watu, miti wanyama au kitu chochote jua ni product ya mind creation uliyonayo...

Kama kila kinachoonekana duniani hapa ni matokeo ya perception zako basi amini upo alone katika ulimwengu huu na hapo ndo tunasema you are the creator of your own destiny...

Sory naweza kuwa nimepresent kitu tofauti na lengo lako ..sory mkuu [emoji122][emoji122]
Your extremely blessed [emoji120]
I salute you
 
1633367317516.png
 
Kuna uwezekano wa kutokuisikia sauti hii?
If yes sababu ni ipi/zipi?

Sijawahi kuisikia even a single second toka nimejitambua.
My Soul has sentenced with evils probably.
 
Kuna uwezekano wa kutokuisikia sauti hii?
If yes sababu ni ipi/zipi?

Sijawahi kuisikia even a single second toka nimejitambua.
My Soul has sentenced with evils probably.
Kwanza kabisa sauti yako ya ndani inayokutakia mema siku zote ipo ndani nwako na siku zote haichi kukupa mwongozo pindi inapohitaji kukupa mwongozo. Shida inakua Kwamba unakua huisikii sio kwasababu haipo bali kwa sababu ile nafsi isiyokutakia mema inakua inakua ime-manifiest/imeidhibiti hiyo sauti yako ya ndani inayotoka kwa roho wa Mungu

Je roho ya giza inawezaje kudhibiti usisikie sauti ya ndani??

Conscious mind ni sehemu ya Mind ambayo inahusika na kushughulikia yale mambo yote ambayo tunayafahamu either kwa kuona,kusikia au kuhisia, kiufupi Conscious mind inashughulikia yale ambayo yapo katika utambuzi/ufahamu wetu. Ndio maana wewe mwanadamu wa kawaida huwezi kuwaza nje ya vile vitu unavyofahamu kama unabisha jaribu kuwaza kitu ambacho hakipo au hakina ufanano na kitu ulichowahi kuona au kusikia… Conscious mind inajihusisha na memories,perception,feeling, sensation na fantasies zilizomo ndani ya utambuzi wetu, Conscious mind hua inashirikiana na Subconcious mind hivyo basi hua zinataka kufanana maana au ufanyaji wa kazi so chunga zisikuchanganye.

Conscious mind ndio sehemu ambayo mwanadamu hufikiria au ni sehemu ambayo mwandamu anaitumia kuwaza mambo mbalimbali
Shetani/Roho ya giza hudhibiti Conscious mind yako ili isiweze kutambua yako ya ndani na kuipuuza hua anafanya usikilize sauti yake tu na kuitekeleza.

Sio hivyo tu roho ya giza inaweza kuifosi conscious mind yako kuona vitu visivyo halisi..ila kwakua sali lako halipo huku ngoja niishie hapo.


Je ufanyeje kuiskiliza??

Kwanza kabisa mpaka hapo ulipo ushafanikiwa kwa 60% maana umehofu kwamba huisikilizi sauti ya Mungu katika kufanya maamuzi yako. Maana kuna binaadamu wengine yaani hawana hofu kabisa wala hawajali Chochote katika kufanya maamuzi...ndio maana mtu yupo tayari kuiba fedha zilizotengwa na serikali kuboresha zahanati ya kijiji ili wazazi wajifungue salama na wala hawazi wala kujutia jambo hilo.

Nakupongeza hatua muhimu kabisa maana katika hatua za mtu kutubu dhambi kigezo cha kwqnza ni Kujuta na kuhofia dhambi zake alizofanya.
So cha Kwanza kabisa amaua kutoka moyoni mwako Kwamba unataka uisikilize sauti yako ya ndani katika kufanya maamuzi. Lakini pia omba usimamizi na msaada wa Mungu katika kutambua hilo....Hiyo stuck unayoisikia ni vile tu shetani anakuwekea ili usipige hatua na kuendelea kumsikiliza yeye
 
Kwanza kabisa sauti yako ya ndani inayokutakia mema siku zote ipo ndani nwako na siku zote haichi kukupa mwongozo pindi inapohitaji kukupa mwongozo. Shida inakua Kwamba unakua huisikii sio kwasababu haipo bali kwa sababu ile nafsi isiyokutakia mema inakua inakua ime-manifiest/imeidhibiti hiyo sauti yako ya ndani inayotoka kwa roho wa Mungu

Je roho ya giza inawezaje kudhibiti usisikie sauti ya ndani??

Conscious mind ni sehemu ya Mind ambayo inahusika na kushughulikia yale mambo yote ambayo tunayafahamu either kwa kuona,kusikia au kuhisia, kiufupi Conscious mind inashughulikia yale ambayo yapo katika utambuzi/ufahamu wetu. Ndio maana wewe mwanadamu wa kawaida huwezi kuwaza nje ya vile vitu unavyofahamu kama unabisha jaribu kuwaza kitu ambacho hakipo au hakina ufanano na kitu ulichowahi kuona au kusikia… Conscious mind inajihusisha na memories,perception,feeling, sensation na fantasies zilizomo ndani ya utambuzi wetu, Conscious mind hua inashirikiana na Subconcious mind hivyo basi hua zinataka kufanana maana au ufanyaji wa kazi so chunga zisikuchanganye.

Conscious mind ndio sehemu ambayo mwanadamu hufikiria au ni sehemu ambayo mwandamu anaitumia kuwaza mambo mbalimbali
Shetani/Roho ya giza hudhibiti Conscious mind yako ili isiweze kutambua yako ya ndani na kuipuuza hua anafanya usikilize sauti yake tu na kuitekeleza.

Sio hivyo tu roho ya giza inaweza kuifosi conscious mind yako kuona vitu visivyo halisi..ila kwakua sali lako halipo huku ngoja niishie hapo.


Je ufanyeje kuiskiliza??

Kwanza kabisa mpaka hapo ulipo ushafanikiwa kwa 60% maana umehofu kwamba huisikilizi sauti ya Mungu katika kufanya maamuzi yako. Maana kuna binaadamu wengine yaani hawana hofu kabisa wala hawajali Chochote katika kufanya maamuzi...ndio maana mtu yupo tayari kuiba fedha zilizotengwa na serikali kuboresha zahanati ya kijiji ili wazazi wajifungue salama na wala hawazi wala kujutia jambo hilo.

Nakupongeza hatua muhimu kabisa maana katika hatua za mtu kutubu dhambi kigezo cha kwqnza ni Kujuta na kuhofia dhambi zake alizofanya.
So cha Kwanza kabisa amaua kutoka moyoni mwako Kwamba unataka uisikilize sauti yako ya ndani katika kufanya maamuzi. Lakini pia omba usimamizi na msaada wa Mungu katika kutambua hilo....Hiyo stuck unayoisikia ni vile tu shetani anakuwekea ili usipige hatua na kuendelea kumsikiliza yeye
Ahsante sana mkuu.

Nitafanyia kazi japo najua ni kazi ngumu sana sana kuifanya ila nitajitidi niwe huru kuisikia.
 
Kwanza kabisa sauti yako ya ndani inayokutakia mema siku zote ipo ndani nwako na siku zote haichi kukupa mwongozo pindi inapohitaji kukupa mwongozo. Shida inakua Kwamba unakua huisikii sio kwasababu haipo bali kwa sababu ile nafsi isiyokutakia mema inakua inakua ime-manifiest/imeidhibiti hiyo sauti yako ya ndani inayotoka kwa roho wa Mungu

Je roho ya giza inawezaje kudhibiti usisikie sauti ya ndani??

Conscious mind ni sehemu ya Mind ambayo inahusika na kushughulikia yale mambo yote ambayo tunayafahamu either kwa kuona,kusikia au kuhisia, kiufupi Conscious mind inashughulikia yale ambayo yapo katika utambuzi/ufahamu wetu. Ndio maana wewe mwanadamu wa kawaida huwezi kuwaza nje ya vile vitu unavyofahamu kama unabisha jaribu kuwaza kitu ambacho hakipo au hakina ufanano na kitu ulichowahi kuona au kusikia… Conscious mind inajihusisha na memories,perception,feeling, sensation na fantasies zilizomo ndani ya utambuzi wetu, Conscious mind hua inashirikiana na Subconcious mind hivyo basi hua zinataka kufanana maana au ufanyaji wa kazi so chunga zisikuchanganye.

Conscious mind ndio sehemu ambayo mwanadamu hufikiria au ni sehemu ambayo mwandamu anaitumia kuwaza mambo mbalimbali
Shetani/Roho ya giza hudhibiti Conscious mind yako ili isiweze kutambua yako ya ndani na kuipuuza hua anafanya usikilize sauti yake tu na kuitekeleza.

Sio hivyo tu roho ya giza inaweza kuifosi conscious mind yako kuona vitu visivyo halisi..ila kwakua sali lako halipo huku ngoja niishie hapo.


Je ufanyeje kuiskiliza??

Kwanza kabisa mpaka hapo ulipo ushafanikiwa kwa 60% maana umehofu kwamba huisikilizi sauti ya Mungu katika kufanya maamuzi yako. Maana kuna binaadamu wengine yaani hawana hofu kabisa wala hawajali Chochote katika kufanya maamuzi...ndio maana mtu yupo tayari kuiba fedha zilizotengwa na serikali kuboresha zahanati ya kijiji ili wazazi wajifungue salama na wala hawazi wala kujutia jambo hilo.

Nakupongeza hatua muhimu kabisa maana katika hatua za mtu kutubu dhambi kigezo cha kwqnza ni Kujuta na kuhofia dhambi zake alizofanya.
So cha Kwanza kabisa amaua kutoka moyoni mwako Kwamba unataka uisikilize sauti yako ya ndani katika kufanya maamuzi. Lakini pia omba usimamizi na msaada wa Mungu katika kutambua hilo....Hiyo stuck unayoisikia ni vile tu shetani anakuwekea ili usipige hatua na kuendelea kumsikiliza yeye
Maelezo mazuri sana chief.

SWALI:
Je kuna uwezakani mtu kuishi bila ya nafsi ? Nikiwa na maana nafsi yake kua kidnapped spiritually? If yes je inawezekana kuokolewa?
 
Maelezo mazuri sana chief.

SWALI:
Je kuna uwezakani mtu kuishi bila ya nafsi ? Nikiwa na maana nafsi yake kua kidnapped spiritually? If yes je inawezekana kuokolewa?
Ndio kama umetekwa kiroho basi unaweza kurudishwa kiroho kabisa. Hakuna kinachoshindika kama ukiwa na nia thabita
 
Ok.

kwa njia ipi inawezekana?
Naomba uupitie huu uzi Natumaini utapata pa kuanzia. Halafu utauliza penye kuhitaji ufafanuzi
 
Back
Top Bottom