Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Mkuu Nyani Ngabu Rais Hana walinzi Bali Ana wasaidizi wake 🙏🙏🙏🙏
Oh yeah....leakers wamo humo humo serikalini.
Hizi ni zama tofauti sana.
Kuficha ficha mambo ambayo yanajumuisha watu wengi ni vigumu sana.
Taarifa zitapenya tu.
Si ajabu ukakuta waliokuwa wanavujisha hizo taarifa ni hao walinzi wa rais....