The king of East African music is coming to Thika

Yes and I don't why?
Muziki wa huyo kwishney asiwasumbue akili
Anakuja kwa vacation
He is no longer a king of music East Africa hata bongo yenyewe
He is done!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]subiri siku ya show,halafu ajaribu msanii yeyote hapo kenya uone kama atafanya kitu platnumz amefanya.

Kwenye ukweli muwe mnaacha uonekane.
 
Diamond anapenda Kenya sana. anajua huku ndio kuna pesa. hata mwaka mpya pia ataufungua Kenya.
Kenya ndio entertainment hub ya E&C Africa.
Hivi unadhani anakuja kwa kupenda?, yeye anaitwa na promoters wa Kenya, wao wanatafuta musicians ambao wanakubalika hapo Kenya ili watengeneze pesa, Diamond akichuja mtaona kama kuna promoter atakayemwita, hapendwi mtu bure bure dunia hii.
 
kazi ya Babu Tale ni gani? Diamond hana PR Manager au Promoter au Agent mwenye anastruck deals??? wabongolala,,, muache kuniquote upuzi. it's a win-win situation
 
ur immigration haipei hao investors hata nafasi ya kupumua
 
ur immigration haipei hao investors hata nafasi ya kupumua
Kwani hawatoki badala yake wanazidi kuongezeka?, acheni tabia ya "cry baby syndrome". Hilo ndio tatizo kubwa linalosababisha Kenya na Tanzania tusiekewane, ninyi hamna shukurani kabisa, kila kitu mnataka kutengeneza picha kuonyesha Kenya ipo sawa tatizo ni TZ.
 
kazi ya Babu Tale ni gani? Diamond hana PR Manager au Promoter au Agent mwenye anastruck deals??? wabongolala,,, muache kuniquote upuzi. it's a win-win situation
Lol. Halafu wanashindwa kulipa bili ya hoteli na wakianguka kama wanaperform inasemekana ni sabotage.
 
Haujamwelewa nafikiri.

Alichomaanisha ni kwamba ili msanii wa Tz ajione kafanikiwa kimuziki ni lazima apafom Kenya.
Hamna kiti kama hicho
 
boss not all tanzanians hate us ,but a huge percentage like to discriminate against kenyans. mnajifanyanga maracists sana
Not even a huge percentage, hizi kelele za mitandaoni ni 0.000...1% ya watz. We're a peacefull loving people but hatupendi dharau na kupandiwa kichwani, sasa wakenya mnawadharau sana Tz tokea kitambo, a small section that is aware of these dharau zenu towards Tz ndio wanawahate mbaya.
Mna vidharau vya kijinga kwenye lugha, lifestyle yetu etc, repercusion lazima iwepo
 
Write your reply...Mtoto wa dandu [sp] pindi unjio wake ndivyo alipokubalika KENYA HOYEE!
 
Tanzania kashazunguka nchi nzima na wasafi festival ww unaongea nn πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Huko Tanzania hamna kitu zaidi ya kumuibia chain na mengine, mlivyo majizi nyie. Wacha aje Kenya ambapo huwa tunawalea wasanii wenu.
 
Huko Tanzania hamna kitu zaidi ya kumuibia chain na mengine, mlivyo majizi nyie. Wacha aje Kenya ambapo huwa tunawalea wasanii wenu.
Ahahhahah huyo ni wakimataifa na kashachukua pesa nyingi sana nchi nyingi so usijipe moyo subiri uone balaa la wasafi festival funga dimba dar ndio utajuaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huko Tanzania hamna kitu zaidi ya kumuibia chain na mengine, mlivyo majizi nyie. Wacha aje Kenya ambapo huwa tunawalea wasanii wenu.

Ahaaa haaa haaa
huwezi kumlea diamond. he is a real millionaire. yeye hana longolongo, he is in seRious busiNess.
 
kazi ya Babu Tale ni gani? Diamond hana PR Manager au Promoter au Agent mwenye anastruck deals??? wabongolala,,, muache kuniquote upuzi. it's a win-win situation

Diamond ane manager na ndio anaefanya kazi zote hzo unataka kumjua???πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yes and I don't why?
Muziki wa huyo kwishney asiwasumbue akili
Anakuja kwa vacation
He is no longer a king of music East Africa hata bongo yenyewe
He is done!

Then who is a king of eat african music au waimba kwaya wa kenyaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ahahhahah huyo ni wakimataifa na kashachukua pesa nyingi sana nchi nyingi so usijipe moyo subiri uone balaa la wasafi festival funga dimba dar ndio utajuaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sasa tatizo kwenu akipiga tour mnamuibia.....
 
Sasa tatizo kwenu akipiga tour mnamuibia.....
No way budaa kwa hilo umekosea πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwanza sikiliza king kaachiw mkwaju hatariiiπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

 
No way budaa kwa hilo umekosea πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwanza sikiliza king kaachiw mkwaju hatariiiπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


Diamond amepambana hadi amefika hapo alipo, na nyie mpambane sio kumsubiri na kumuibia ibia
Hebu ona alikoanzia kipindi anaimba 'Nitarejea'

 
Hawa jamaa nashangaa hapa nyumbani hakuna watu wanawajali na wala sijui huwa wanaimba nini ila nashangaa kwa wakenya wanapagawa nao kabisa, hata wale waliofulia kama akina nice, mhando kwao bado keki kabisa. Wamefikia kiwango mpaka wanawake matajiri wa kenya wanawaoa. Hivi hii wasafi festival wakiipeleka Kenya si patachimbika na kazi haitofanyika siku hiyo?
 
Diamond amepambana hadi amefika hapo alipo, na nyie mpambane sio kumsubiri na kumuibia ibia
Hebu ona alikoanzia kipindi anaimba 'Nitarejea'

Mkuu MK punguza siasa,

Umesahau kua kijana wetu ameshachukua jiko huko kwenu, nyie semeni tu mnataka ng'ombe wangapiπŸ™‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…