The last days of Prof. Kighoma Ali Malima, July/August 1995

The last days of Prof. Kighoma Ali Malima, July/August 1995

Hata kwenye Taaluma Malima hakufanya vizuri; inawezekana aliingizwa kwenye taaluma ya kufundisha bila kupenda kwa vile ndiyo iliyokuwa njia pekee kwake wakati huo. Malima alianza kazi chuo Kikuu cha Dar akiwa professor kamili kutokana na kuwa alihamishwa kutoka kuwa katibu mkuu wa Wizara ya mipango chini ya Waziri Abdulrahman Babu baada ya kushindwa kazi. Uprofesa alipewa kutokana na mshahara alioingia nao UDSM wa Katibu Mkuu wa Wizara akiwa anabebwa na Nyerere. Ilimchukua miaka mingi sana kutoa Professorial Inaugural Lecture kabla hajakaamka na pumba za "Political Economy of devaluation in Developing Countries" alizotoa akiwa Waziri katika serikali ya Mwinyi. Mwulizeni mwenzie Profesa Shivji kuhusu pumba alizotema jamaa huyo wakati huo.
Halafu eti watu wanataka kusema eti ooh Nyerere sijui alikua na chuki na Waislamu sijui mara nini, nimemfahamu vizuri prefesa Malima akiwa mipango pale; nijuavyo huyu bwana kila sehemu aliko pita aliharibu (hi ya kua mwalimu UD nilikua siijui, nafahamu tu kwamba amewahi kua principal IFM). Hata alipoachana na uwaziri (nafikiri alijiuzuru baada ya kelele kua nyingi) akaanzisha chama chake cha NRA/NAREA; alikua akitoa kanda/tapes Enzi hizo, hakua anaongea kama mchumi kabisa, maada zake nyingi kwenye hicho chama ilikua ni mambo ya dini tu, eti ooh nilichukiwa kwasababu ni mwislam. Rais wa nchi by that time alikua rafikiye kipenzi na wa mkoa mmoja nae yaani Ali HAssani Mwinyi.
Kama Yeriko ambaye nimechangia uzi wake hapo juu na hata mzee Mohamed Said naye nitakua nachukua muda kuzitafakari hoja zake, wengi humu wamekua wanaandika habari za siku za nyuma kwasabau wengi hatukwepo and then tunajikuta tunaamini tu, kumbe uongo mkubwa.
 
Halafu eti watu wanataka kusema eti ooh Nyerere sijui alikua na chuki na Waislamu sijui mara nini, nimemfahamu vizuri prefesa Malima akiwa mipango pale; nijuavyo huyu bwana kila sehemu aliko pita aliharibu (hi ya kua mwalimu UD nilikua siijui, nafahamu tu kwamba amewahi kua principal IFM). Hata alipoachana na uwaziri (nafikiri alijiuzuru baada ya kelele kua nyingi) akaanzisha chama chake cha NRA/NAREA; alikua akitoa kanda/tapes Enzi hizo, hakua anaongea kama mchumi kabisa, maada zake nyingi kwenye hicho chama ilikua ni mambo ya dini tu, eti ooh nilichukiwa kwasababu ni mwislam. Rais wa nchi by that time alikua rafikiye kipenzi na wa mkoa mmoja nae yaani Ali HAssani Mwinyi.
Kama Yeriko ambaye nimechangia uzi wake hapo juu na hata mzee Mohamed Said naye nitakua nachukua muda kuzitafakari hoja zake, wengi humu wamekua wanaandika habari za siku za nyuma kwasabau wengi hatukwepo and then tunajikuta tunaamini tu, kumbe uongo mkubwa.
Malima hakuwahi kuwa principal wa IFM; zamani hizo IFM ilikuwa inamilikiwa na NBC. Malima alihamishwa kutoka Wizara ya Mipango na kupelekwa UDSM baada ya kukataliwa na Abdulrahamani Babu ambaye alikuwa waziri wa Uchumi na Mipango nadhani ama mwaka 1970 au 1971 kabla Babu hajakumbwa na ile kashfa ya kifo cha Karume mwaka 1972. Katika baraza jipya la mwaka 1972 baada ya kifo cha Karume, bado Malima hakurudishwa serikalini hata baada ya Babu kuwa ametolewa. Malima alikaa UDSM kwa karibu miaka 10 hadi mwanzoni mwa 1980 baada ya vita ndipo aliporudishwa tena serikalini na Nyerere na kupewa Wizara hiyo hiyo ya Uchumi na Mipango. Nyerere alikuwa akimbeba sana kwa vile alikuwa msomi, unajua Nyerere alikuwa "mwalimu" kwa hiyo alikuwa na upendo wa tofauti sana kwa wasomi wanaokubaliana naye. malima alikuwa anakubaliana na Nyerere kwa kila kitu hadi pale Nyerere alipotoka madarakani.
 
Malima hakuwahi kuwa principal wa IFM; zamani hizo IFM ilikuwa inamilikiwa na NBC. Malima alihamishwa kutoka Wizara ya Mipango na kupelekwa UDSM baada ya kukataliwa na Abdulrahamani Babu ambaye alikuwa waziri wa Uchumi na Mipango nadhani ama mwaka 1970 au 1971 kabla Babu hajakumbwa na ile kashfa ya kifo cha Karume mwaka 1972. Katika baraza jipya la mwaka 1972 baada ya kifo cha Karume, bado Malima hakurudishwa serikalini hata baada ya Babu kuwa ametolewa. Malima alikaa UDSM kwa karibu miaka 10 hadi mwanzoni mwa 1980 baada ya vita ndipo aliporudishwa tena serikalini na Nyerere na kupewa Wizara hiyo hiyo ya Uchumi na Mipango. Nyerere alikuwa akimbeba sana kwa vile alikuwa msomi, unajua Nyerere alikuwa "mwalimu" kwa hiyo alikuwa na upendo wa tofauti sana kwa wasomi wanaokubaliana naye. malima alikuwa anakubaliana na Nyerere kwa kila kitu hadi pale Nyerere alipotoka madarakani.
Thanks brother kwa ufafanuzi zaidi; jukwaa hili kwasasa linatakiwa watu wazima kuigia na kupitia pitia ili kuweka mambo sawa, tukiwaacha hawa kina mzee Mohamend Said kueleza mambo ya zamani wanadanganya sana tu; unakuta mtu anaijua vizuri historia ya Profesa Kighoma Ali Malima lakini huyo huyo haijui historia ya Harace Kolimba!? Kolimba kafa mwanzo mwa Mkapa na Malima kafa mwishoni mwa utawala wa Mwinyi, sasa mtu huyu kama sio mdini ni kitu gani? How comes uijue historia ya mtu wa nyuma halafu huyu wa juzi kati usiijue!? Naanza kuhisi wengi humu hua wanachangia mambo yanayo hutubiwa kwenye nyumba za IBADA. Kuna siku nilikua Riverside pale kwa ndugu yangu mmoja hivi ambaye kwa maana ya dini huyu ndugu yangu ni Muislamu (ni ndugu yangu hasa, sio kidogo; akaja mtu mwingine ambaye kupitia yale mazungumzo alisema kwanza alikua Mkristo na sasa yeye ni Muislamu (hilo halikunisumbua cause watu wanabadiri DINI kila siku) kilicho nishangaza kwa yule mtu ni hiki; kwamba eti mji wa ROMA mwanzoni ulikua ni mji wa Kiislamu na Wakristo waliuteka NYARA tu, nilishangaa sana. Mtu kama huyu akipewa kipaaza sauti ahubiri msikitini atayasema hayo na watu watatoka na kuja humu jamvini na kuyaandika and then wenye akili kidogo wataamini na baada ya hapo kitakacho fuata ni chuki dhidi ya Wakristo na waislam cause itatafsirika kua Wakristo hunyang'anya mali za waislamu, Mungu atusaidie tu.
 
IMG-20150423-WA0019.jpg

Prof. Kighoma Ali Malima 1985



On Sunday 17 July, 1995, 37 years since TANU held its 1958 annual meeting in Tabora the meeting which paved the way to independence, Prof. Malima addressed a big rally at Uyui grounds. The Tabora meeting would be remembered for its achievement. It managed to put into Legislative Assembly Julius Nyerere, Chief Abdallah Said Fundikira, John Ketto, Nesmo Eliufoo, John Mwakangale, Lawi Sijaona and Paul Bomani. It was in Tabora that Nyerere shed tears because of oppression of which Tanganyikans were being subjected to by the British. Nyerere said if the British did not want to set Tanganyikans free he would direct his anguish to God. Before Prof. Malima spoke Bilal Waikela mounted the platform dressed in his prison uniform which he wore thirty years ago when he was detained by Nyerere for resisting Christian hegemony. He reminded the people of Tabora that he was detained by Nyerere for reminding him of the cherished ideals of TANU the party they had formed and built together in order for Africans of Tanganyika to be free from all forms of oppression. Waikela told his audience that and he was now returning to politics to seek for that equality and justice denied.

Z5jp4Wp8720I62k8y5kzvK7MTpHtRbGWWLC32FLmBe73jHxhA-FCARHDhL78gW4AkCgaA0aqYsW448mu237Ct9OgEp80Ksxd703dS2e26TzHRFrjEQNtZCswKd1yQpnXPRHFLhnl8zAfWrAvZ7WG8o31nWGq-Vs4K8g6uEsE30c3v5xL9URTloNxeWmeRjBUx_GzoKndkSBTEt0Kqp1bcINH__PMdD3ufhIcEgmCMK0uNl0jyoUPTRmNM6dbVt7Z57S1Agst03aonLTIcZyzEqwGt4u24A3ocZia1SmzgYHk2klvuzzyAIy02it8gjgQ0EYQ58NzsLOnGcUdNJctYTm-Pz2OivNRlLZuNyznbwa0LMN5yeM6y7PRTEaU7niEraipnrXLEGoTIHp5boafsSiE0XB6lbHicPowOLGHi7sUaoky4YeJ0m2jKvfWSW18p9VQVrz-JOIo8xsSh4ACifvlXdoobDtjbbovrn5qiDWWwQNqndxDswOgXrlyR3fS_XHqYxMgrn_AcMPJ3GynFy3mA_UtvAOMe9vBeytabj4GRM6xKrbIFkh46z7fZtj0KwLE=w367-h643-no

Bilal Rehani Waikela

Prof. Malima announced his resignation from the CCM at the Uyui meeting. Prof. Malima told his audience that that oppression which made Nyerere shed tears while giving a speech to members of TANU and the people cried with him at the Tabora Central Market was still prevalent 37 years after the tears had long dried. Prof. Malima told his audience that he was resigning from the CCM because, he said, the party has deviated from its cherished ideals of justice and equality and had established classes. He was resigning and joining the opposition in order to fight for equality among all the people in Tanzania.

That Sunday night NRA National Conference was held and Prof. Malima was elected Chairman and Abubakar Olotu secretary of NRA. What had taken place in Dar es Salaam Airport repeated itself in Tabora Railway Station. NRA had booked a wagon for its delegates travelling back to Dar es Salaam and had paid for it in advance. But when they arrived at the railway station, they were told that no wagon has been allocated to them. The press had the chance to correct their earlier story that Prof. Malima had planned to announce his resignation from the mosque but it did not do so. The propaganda machinery wanted people to believe that Prof. Malima was unable to do so because Muslims did not allow him to mix “religion and politics.”


Soon after returning from Tabora Prof. Malima travelled to Mecca and from there he went to London. Meanwhile NRA was preparing for a big welcome of Prof. Malima which would be followed by a meeting of Dar es Salaam Elders in which he would tell them why it was necessary for him to resign so that they charter a new course which would ensure justice and equality to all. This meeting would have been followed the next day with a meeting with foreign journalists at Kilimanjaro Hotel Prof. Malima died in London on Friday night the 4 August, three weeks after resigning from CCM and announcing he was standing as s presidential candidate under NRA. On 9th August, Prof. Malima’s body was flown back to Dar es Salaam for burial. The government took upon itself to take over the funeral on what it said was Prof. Malima’s “commitment in serving the country diligently and honestly.”
(Excerpts from ''Christian Hegemony and the Rise of Muslim Militancy in Tanzania'') unpublished.


***
In 1998 I published my book ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika.'' I dedicated the book to the memory of Prof. Malima:

20160131_132212%252520%2525281%252529.jpg

Tmpl36m9n4oyd6VExUIsL_W8fHWuKh422kcI3Dx3D-Eo=w1044-h383-no


IMG-20150420-WA0020.jpg

Julius Nyerere
Mzee Mohammed Said, umepotelea wapi
 
Utahangaika sana kumsafisha Kighoma Malima.

He was divisive just like you.
He was also corrupt.
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa waziri wa Fedha ndiye aliyeenda ku-freeze account zake za kifasadi huko UK na Malima akapatwa na shinikizo la damu lililomuua.

Na si kweli kuwa Malima ndiye aliye anzisha mfumo wa namba za mitihani (Najua baadaye utaleta hizo stories).
tuambie nani kaleta maana tusidanganywe pasi sababu
 
Mzee Mohammed Said, umepotelea wapi
Thanks brother kwa ufafanuzi zaidi; jukwaa hili kwasasa linatakiwa watu wazima kuigia na kupitia pitia ili kuweka mambo sawa, tukiwaacha hawa kina mzee Mohamend Said kueleza mambo ya zamani wanadanganya sana tu; unakuta mtu anaijua vizuri historia ya Profesa Kighoma
hukumuelewa tu mkuu wala usipate tabu, uislam ulianza b4 kristo kwa maana Adam, Mussa na Suleyma + Ibrahim were Muslims kimafundisho
Ali Malima lakini huyo huyo haijui historia ya Harace Kolimba!? Kolimba kafa mwanzo mwa Mkapa na Malima kafa mwishoni mwa utawala wa Mwinyi, sasa mtu huyu kama sio mdini ni kitu gani? How comes uijue historia ya mtu wa nyuma halafu huyu wa juzi kati usiijue!? Naanza kuhisi wengi humu hua wanachangia mambo yanayo hutubiwa kwenye nyumba za IBADA. Kuna siku nilikua Riverside pale kwa ndugu yangu mmoja hivi ambaye kwa maana ya dini huyu ndugu yangu ni Muislamu (ni ndugu yangu hasa, sio kidogo; akaja mtu mwingine ambaye kupitia yale mazungumzo alisema kwanza alikua Mkristo na sasa yeye ni Muislamu (hilo halikunisumbua cause watu wanabadiri DINI kila siku) kilicho nishangaza kwa yule mtu ni hiki; kwamba eti mji wa ROMA mwanzoni ulikua ni mji wa Kiislamu na Wakristo waliuteka NYARA tu, nilishangaa sana. Mtu kama huyu akipewa kipaaza sauti ahubiri msikitini atayasema hayo na watu watatoka na kuja humu jamvini na kuyaandika and then wenye akili kidogo wataamini na baada ya hapo kitakacho fuata ni chuki dhidi ya Wakristo na waislam cause itatafsirika kua Wakristo hunyang'anya mali za waislamu, Mungu atusaidie tu.
 
Swali la msingi
Hizi historia kila siku ni Nyerere tu na uislamu ,sawa alifanya makosa ,ila Mwinyi alipochukua kiti kama Rais alifanya nini kuondoa Makosa ya Nyerere na uislamu ??
 
IMG-20150423-WA0019.jpg

Prof. Kighoma Ali Malima 1985



On Sunday 17 July, 1995, 37 years since TANU held its 1958 annual meeting in Tabora the meeting which paved the way to independence, Prof. Malima addressed a big rally at Uyui grounds. The Tabora meeting would be remembered for its achievement. It managed to put into Legislative Assembly Julius Nyerere, Chief Abdallah Said Fundikira, John Ketto, Nesmo Eliufoo, John Mwakangale, Lawi Sijaona and Paul Bomani. It was in Tabora that Nyerere shed tears because of oppression of which Tanganyikans were being subjected to by the British. Nyerere said if the British did not want to set Tanganyikans free he would direct his anguish to God. Before Prof. Malima spoke Bilal Waikela mounted the platform dressed in his prison uniform which he wore thirty years ago when he was detained by Nyerere for resisting Christian hegemony. He reminded the people of Tabora that he was detained by Nyerere for reminding him of the cherished ideals of TANU the party they had formed and built together in order for Africans of Tanganyika to be free from all forms of oppression. Waikela told his audience that and he was now returning to politics to seek for that equality and justice denied.

Z5jp4Wp8720I62k8y5kzvK7MTpHtRbGWWLC32FLmBe73jHxhA-FCARHDhL78gW4AkCgaA0aqYsW448mu237Ct9OgEp80Ksxd703dS2e26TzHRFrjEQNtZCswKd1yQpnXPRHFLhnl8zAfWrAvZ7WG8o31nWGq-Vs4K8g6uEsE30c3v5xL9URTloNxeWmeRjBUx_GzoKndkSBTEt0Kqp1bcINH__PMdD3ufhIcEgmCMK0uNl0jyoUPTRmNM6dbVt7Z57S1Agst03aonLTIcZyzEqwGt4u24A3ocZia1SmzgYHk2klvuzzyAIy02it8gjgQ0EYQ58NzsLOnGcUdNJctYTm-Pz2OivNRlLZuNyznbwa0LMN5yeM6y7PRTEaU7niEraipnrXLEGoTIHp5boafsSiE0XB6lbHicPowOLGHi7sUaoky4YeJ0m2jKvfWSW18p9VQVrz-JOIo8xsSh4ACifvlXdoobDtjbbovrn5qiDWWwQNqndxDswOgXrlyR3fS_XHqYxMgrn_AcMPJ3GynFy3mA_UtvAOMe9vBeytabj4GRM6xKrbIFkh46z7fZtj0KwLE=w367-h643-no


Bilal Rehani Waikela

Prof. Malima announced his resignation from the CCM at the Uyui meeting. Prof. Malima told his audience that that oppression which made Nyerere shed tears while giving a speech to members of TANU and the people cried with him at the Tabora Central Market was still prevalent 37 years after the tears had long dried. Prof. Malima told his audience that he was resigning from the CCM because, he said, the party has deviated from its cherished ideals of justice and equality and had established classes. He was resigning and joining the opposition in order to fight for equality among all the people in Tanzania.

That Sunday night NRA National Conference was held and Prof. Malima was elected Chairman and Abubakar Olotu secretary of NRA. What had taken place in Dar es Salaam Airport repeated itself in Tabora Railway Station. NRA had booked a wagon for its delegates travelling back to Dar es Salaam and had paid for it in advance. But when they arrived at the railway station, they were told that no wagon has been allocated to them. The press had the chance to correct their earlier story that Prof. Malima had planned to announce his resignation from the mosque but it did not do so. The propaganda machinery wanted people to believe that Prof. Malima was unable to do so because Muslims did not allow him to mix “religion and politics.”


Soon after returning from Tabora Prof. Malima travelled to Mecca and from there he went to London. Meanwhile NRA was preparing for a big welcome of Prof. Malima which would be followed by a meeting of Dar es Salaam Elders in which he would tell them why it was necessary for him to resign so that they charter a new course which would ensure justice and equality to all. This meeting would have been followed the next day with a meeting with foreign journalists at Kilimanjaro Hotel Prof. Malima died in London on Friday night the 4 August, three weeks after resigning from CCM and announcing he was standing as s presidential candidate under NRA. On 9th August, Prof. Malima’s body was flown back to Dar es Salaam for burial. The government took upon itself to take over the funeral on what it said was Prof. Malima’s “commitment in serving the country diligently and honestly.”
(Excerpts from ''Christian Hegemony and the Rise of Muslim Militancy in Tanzania'') unpublished.


***
In 1998 I published my book ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika.'' I dedicated the book to the memory of Prof. Malima:

20160131_132212%252520%2525281%252529.jpg


Tmpl36m9n4oyd6VExUIsL_W8fHWuKh422kcI3Dx3D-Eo=w1044-h383-no



IMG-20150420-WA0020.jpg


Julius Nyerere

Q
👆👆Hii picha ya tarehe 22 Oktoba 1987 katika mkutano mkuu wa CCM uliofanyika KIZOTA
 
Back
Top Bottom