The making of march 10: JF newest couple! Demiss n Jr

Siku zote nimekuwa najiuliza inakuwaje mwanaume unatumia 'viemojiemoji' vya udaku kama kina mwanahamisi..ila leo uzi huu umenasibisha jinsi akili yako ilivyo cheketuliwa..empty set kabisa
Babu kila kitu empt set unazingua
 
Alaaaa zamani tu na lishadondoka nchini hapa raha mwili mzima
Huoni nimepotea poteaa humu
Kweli maana nilikua sikuoni mda mrefu ...nilikua nakunyapia nyapia, ila siku hizi nataka niwekeze kwa Mzigua maana hip mguu wa bia yaani nahisi kudata tena mara hii namtoa out full mavyakula na masoda kama anatumia.
 
Kweli maana nilikua sikuoni mda mrefu ...nilikua nakunyapia nyapia, ila siku hizi nataka niwekeze kwa Mzigua maana hip mguu wa bia yaani nahisi kudata tena mara hii namtoa out full mavyakula na masoda kama anatumia.
Yep nipo nafyatuliwa tu ndio maana hata simu nasahau
Ulikuwa unanyapia mwenzio akawah mazima ,kuna watu hawataki mchezo aisee safari hii nimepatikana haswa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…