Cancelo ame drop sana baada ya kutoka Qatar.Huenda jamaaa ana matatizo ya kitabia.
Hata timu ya taifa kwenye michuano ya kombe la dunia aliondolewa kikosi cha kwanza
Pep kashasema hawezi lazimisha mchezaji anayetaka kuondoka kubaki .....Mnamtoa Cancelo, mna akili kweli?
Kwa mwenendo wa cancelo nilikuwa najua lazima ataondoka tu japo sikutegemea iwe kwenye dirisha hili la January.Mnamtoa Cancelo, mna akili kweli?
Kwenye left back ndio huwa hatuna bahati kabisa.Kwenye left back kwa sasa tegemeo ni Ake..
Sergio Gomez hamna kitu pale.
Kwenye center back nategemea kuona patnership ya Dias na Laporte ikirudi maana stones ni injury.
Kwenye right back inabidi walker awe anaanza kwenye mechi tunazocheza na timu zenye mawinga wahuni.
Lewis ana potential kubwa sana ila bado hana experience ya kutosha. Siku ya arsenal alipwaya akawa anamu expose sana stones kwa trossard. Walker hizo ndio mechi zake.
Title race ndo imeisha ivyo ndugu zanguKwenye left back ndio huwa hatuna bahati kabisa.
Ukiangalia toka pep kaja ukiacha last season, amekuwa anatumia unnatural left backs au center backs.
Fabian delph-CB
Aymeric laporte-CB
Danilo-RB
Ake -CB
Akanji- CB
Sasa hivi zinchenko kauzwa na cancelo ndio hivyo, maana yake tunarudi kwenye zama zile za kutegemea center backs kwenye left back.
Nategemea kina Txiki wataupiga mwingi summer kwenye transfer window kama hao wataondoka.Ni wakati wa kufanya rebuild.
Hawa wachezaji kuna uwezekano mkubwa wasiwepo msimu ujao.
-Joao cancelo (huyu nahisi Bayern watamnunua mazima)
-Ilkay Gundogan ( mkataba unaisha)
-Bernado silva (anataka kuondoka)
-Kyle walker ( fenerbahce wanataka kuleta ofa)
-Aymeric laporte.
Mkuu, kuna mechi 18 zimebaki, gap ni point 5 mkiwa nyuma kwa mechi 1 dhidi yetu. Let's assume it's 8.Title race ndo imeisha ivyo ndugu zangu
Iyo 12+ win sio kwa msimu huu, hamna iyo timu acheni kukariri vituMkuu, kuna mechi 18 zimebaki, gap ni point 5 mkiwa nyuma kwa mechi 1 dhidi yetu. Let's assume it's 8.
Kilichotutofautisha ni ari ya upambanaji kwa wachezaji si kingine. Arsenal mko juu kwenye hilo.
Tunachokitafuta kwa sasa ni rythm yetu ya misimu yote.
With it, tunayo timu ya kwenda 12+ games win najua hata wewe unaelewa hilo.
Mechi ijayo tuna tottenham, inaweza kutupa mwanga zaidi kuhusu future yetu.
Timu ya kwenda 12 + win ni ile ya kina aguero ,sane , sterling wa motooo.....Iyo 12+ win sio kwa msimu huu, hamna iyo timu acheni kukariri vitu
We ndo kiaziPep no kiazi sana
Pep ni jeuri Toka Yuko Barcelona...Pep no kiazi sana