Klopp mzee wa kufa na tai shingoni.Jana Trent alikua anacheza kama inverted full back, for the first time this season nimemuona Trent halisi jana.
Alikuwa kwenye kiwango bora sana, nilikuwa sielewi klopp alikua wapi kuchukua hatua kama hii mapema na wakati anajua mid yake inahitaji damu changa.
Alikua anaijua vizuri tu potential ya anold kwenye midfield ila ndio hivyo tu huyo mzee ni mgumu kuadmitt mbinu zake zinapofeli.Jana Trent alikua anacheza kama inverted full back, for the first time this season nimemuona Trent halisi jana.
Alikuwa kwenye kiwango bora sana, nilikuwa sielewi klopp alikua wapi kuchukua hatua kama hii mapema na wakati anajua mid yake inahitaji damu changa.
Hiii ndio itakuwa view ya uwanja ...Man city imeandaa mpango wa kupanua uwanja wa etihad na kuongeza uwezo wake wa kuchukua watu kutoka watu 54,500 kwa sasa mpaka watu 60,000.
Mpango huo ambao utagharimu £ 300 million utahusisha pia ujenzi wa sehemu mbalimbali ambazo zitaungana na uwanja kwa ajili ya shughuli za kiburudani, maduka, hoteli, makumbusho pamoja na Fan zone (sehemu ya mashabiki waliokosa nafasi ya kuingia uwanjani) yenye kuchukua watu 3000 ambayo itakuwa imefunikwa ambayo kutakuwa na huduma ya vyakula na vinywaji. Pia kutakua na baa ya juu ya uwanja "sky bar" ambayo watu watakua na uwezo wa kuona kinachoendelea uwanjani "aerial view".
Kwa sasa mpango huo unasubiri kuidhinishwa na baraza la klabu ya Manchester city na phase ya kwanza inategemea kuanza mwezi september mwaka huu na kukamilika mwezi August mwaka 2025 huku maboresho kamili yakitarajiwa kukamilika mwaka 2026.
Etihad inakwenda kuwa moja kati ya viwanja vya kisasa zaidi duniani.
NiceMan city imeandaa mpango wa kupanua uwanja wa etihad na kuongeza uwezo wake wa kuchukua watu kutoka watu 54,500 kwa sasa mpaka watu 60,000.
Mpango huo ambao utagharimu £ 300 million utahusisha pia ujenzi wa sehemu mbalimbali ambazo zitaungana na uwanja kwa ajili ya shughuli za kiburudani, maduka, hoteli, makumbusho pamoja na Fan zone (sehemu ya mashabiki waliokosa nafasi ya kuingia uwanjani) yenye kuchukua watu 3000 ambayo itakuwa imefunikwa ambayo kutakuwa na huduma ya vyakula na vinywaji. Pia kutakua na baa ya juu ya uwanja "sky bar" ambayo watu watakua na uwezo wa kuona kinachoendelea uwanjani "aerial view".
Kwa sasa mpango huo unasubiri kuidhinishwa na baraza la klabu ya Manchester city na phase ya kwanza inategemea kuanza mwezi september mwaka huu na kukamilika mwezi August mwaka 2025 huku maboresho kamili yakitarajiwa kukamilika mwaka 2026.
Etihad inakwenda kuwa moja kati ya viwanja vya kisasa zaidi duniani.
Mzigo umetulia huu, the pride of Manchester.Hiii ndio itakuwa view ya uwanja ...View attachment 2592131
Huyu napoli kuna watu walikua wanampa kombe!! timu ndio robo fainali yake ya kwanza ya UEFA watu wanaipa kombe kwenye makaratasi.Nawaangalia hapa Napoli ,....
inanikumbusha tu kipind tunastruggle kumfunga Liverpool UEFA ,wakati kwenye league tulikuwa tunajipigia ....
Uzoefu unambeba ac Milan UEFA ...
Madrid wameonesha wanatoboka vizuri tu ila chelsea ndio wamekuwa wavivu kutumia nafasi.Madrid akikutana na timu yenye firepower pale mbele, atarudishwa la liga mapema sana.
Chelsea hii game wangekuwa clinical & aggressive, madrid angekua na hali ngumu sana.