Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Liverpool mwaka Jana walikuwa wameshachukua fa ,crabao ,CL wako final ,epl tunakimbizana point Moja lakin waliishia hayo hayo ...Huu mwaka tusipopiga threesome ya makombe ntajua kweli na ulaya kuna uchawi.
Treble on the way.
wewe kule ni kijana kwenye kundi la wanaume[emoji16]Kwani huwa hatolewi?
Acheni kukariri.
Nnayemuhofia ni real madrid, huku kwingine tunatoboa.Liverpool mwaka Jana walikuwa wameshachukua fa ,crabao ,CL wako final ,epl tunakimbizana point Moja lakin waliishia hayo hayo ...
Bado safari ni ndefu sanaaa ....
Tena sanaaa
Home and away ya Madrid sio mchezo ....
Game zetu 8 zilizobaki sio mchezo ....
Kila timu ilianza hivihivi, ndio ukuaji wenyewe, hata mbuyu ulianza kama mchicha.wewe kule ni kijana kwenye kundi la wanaume[emoji16]
Hata mimi naona kuna rotation itafanyika tena kubwa tu, maana game ya arsenal ni kufa na kupona japo bado tuna advantage ya mechi 2 mkononi ila kuachia hata point moja litakua kosa.Leo pep lazima atarotate kikosi kauli, sioni akiingia na full stregth ukizingatia epl kule imeshaanza kubaki wazi.
Hakuna haja ya kukata nyasi kwa shoka.
Imagine tukadraw na arsenal harafu game mbili zilizobaki tukashinda Bado tutakuwa tunamzidi arsenal ....Hata mimi naona kuna rotation itafanyika tena kubwa tu, maana game ya arsenal ni kufa na kupona japo bado tuna advantage ya mechi 2 mkononi ila kuachia hata point moja litakua kosa.
mbona mchicha aui mbuyu acha kujidanganya ww tulia madrid akunyofoe vinyango urud kupambana na asenyaniKila timu ilianza hivihivi, ndio ukuaji wenyewe, hata mbuyu ulianza kama mchicha.
Madrid tunamtoa hamtaamini.
Hivi wewe kwanza si ni shabiki wa chelkenge au?mbona mchicha aui mbuyu acha kujidanganya ww tulia madrid akunyofoe vinyango urud kupambana na asenyani
Kalvin,rico,walker,mahrez,ortega might start.Leo pep lazima atarotate kikosi kauli, sioni akiingia na full stregth ukizingatia epl kule imeshaanza kubaki wazi.
Hakuna haja ya kukata nyasi kwa shoka.
Liva walikula ng'ombe mzima wakashindwa kumalizia mkia, wakakosa EPL na UEFA kwenye hatua za mwisho.Liverpool mwaka Jana walikuwa wameshachukua fa ,crabao ,CL wako final ,epl tunakimbizana point Moja lakin waliishia hayo hayo ...
Bado safari ni ndefu sanaaa ....
Tena sanaaa
Home and away ya Madrid sio mchezo ....
Game zetu 8 zilizobaki sio mchezo ....
Kalvin sidhani, kipara amesema kalvin bado haja-adapt playing style ya city.Kalvin,rico,walker,mahrez,ortega might start.
Nilitegemea pia Rico lewis aanze.Leo Gomez kaanza huyu dogo huwa ni kichomi angeanza Rico lewis.
Huwa hajiamini kabisa, acha Leo tumuoneLeo Gomez kaanza huyu dogo huwa ni kichomi angeanza Rico lewis.