Mr Ubwabwa
JF-Expert Member
- Mar 23, 2023
- 375
- 283
Ake ni pigo ndio lakin point yangu ni kwamba, atleast tuna laporte ambae tayari ana experience ya kucheza hilo eneo tofauti na tungekuwa hatuna kabisa.Najua kwamba alishacheza hapo mara kadhaa lakini hajawahi kudeliver na kuonyesha composure kwa kiwango alichoonyesha Ake.
Ake's injury is a huge and serious blow.
Rico lewis na sergio gomez ni wingbacks lakin hawana maturity ya kutosha kwaiyo CB pekee mwenye experience ya kucheza kama left fullback ni laporte na hiyo ni bora kuliko tungekuwa tunamtegemea inexperienced lewis au gomez kama replacement.