The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

City mna bahati sana bayern walimbadili kocha nagelsman siku chache kabla ya mechi ,, lasivyo mlikuwa hamtoboi .

Anyway , all the best mkapate kikombe cha kwanza cha UEFA
Ayo sisi hatujui wao hawakujua walichokifanya?
 
Saiv bora tunaanza kwao.. Tumalize kwe2

Hawa wapuuz saiv tunabid tuwatoe dharau zimezid.
Mi hata siwazi kabisa hii game nachowaza analetwa nani fainal Inter ama Ac hawa madrid hata wao wanajua walitutolea bahati ya mtende tu ila mziki mzima wanaufahamu vizuri.hii ilitokea bahati mbaya tu kama kuangukiwa na mti wa mpapai.
 
Acha kujitoa ufahamu Mwacity hakuna timu ninayopenda kukutana nayo kama Mwacity maana nyie mabwege mtozeni kwa Real Madrid the GIANT OF THE WORLD
Hahahah
Madrid umewafunga wabovu chelsea na liverpool, ngoja iyo siku ukakutane na wanaume wa kazi ndio utajua huna chako msimu huu
 
Sasa ni wakati wa Laporte kurudisha imani ya pep juu yake, anatakiwa amuonyeshe kwamba anauwezo wa kutoa huduma kama anayotoa Ake au hata zaidi ya hapo, anatakiwa atufanye tusimmiss Ake.

Game ya kesho dhidi ya sheffield na ya jumatano dhidi ya arsenal ni test tosha kwa laporte kutuondolea ama kutuongezea hofu mashabiki na kocha, hofu ya kumkosa Ake.
 
Madrid walikua wameomba mechi ya semi final first leg ichezwe tarehe 10 mwezi May badala ya tarehe 9 sababu wana fainali ya Copa del Rey tarehe 6 May.

UEFA wamekataa ombi lao.

Carrasco acheni kulialia, mnaanza kuomba siku ya kiama chenu isogezwe mbele.
 
Mi hata siwazi kabisa hii game nachowaza analetwa nani fainal Inter ama Ac hawa madrid hata wao wanajua walitutolea bahati ya mtende tu ila mziki mzima wanaufahamu vizuri.hii ilitokea bahati mbaya tu kama kuangukiwa na mti wa mpapai.
Real madrid are the real and only obstacle for us.

Wale jamaa ndio wenye mashindano yao sio wakuwachukulia poa hata kidogo. Hii tunakutana nusu fainali ya 3, mbili zote wametutoa.

In my opinion, tukimtoa real madrid ni kutangaza ubingwa wa UEFA, tunasubiri kukabidhiwa mwali tu pale Istanbul.

NB: Zijazidharau klabu za Milan.
 
Sasa ni wakati wa Laporte kurudisha imani ya pep juu yake, anatakiwa amuonyeshe kwamba anauwezo wa kutoa huduma kama anayotoa Ake au hata zaidi ya hapo, anatakiwa atufanye tusimmiss Ake.

Game ya kesho dhidi ya sheffield na ya jumatano dhidi ya arsenal ni test tosha kwa laporte kutuondolea ama kutuongezea hofu mashabiki na kocha, hofu ya kumkosa Ake.
Sina imani na laporte kama full back maybe aniprove wrong kwa fixture zinazofata.
Kumkosa Ake katika kipindi kama hiki ni zaidi ya pigo.
 
According to Doctor Rajpal Brar, an injury expert, harmstring injury ipo katika classes.

Class 1 healing period ni 1-2 weeks

Class 2 ni 3-6 weeks

Class 3 (worst) ni 10+ weeks.

I'm crossing my fingers.
 
Sina imani na laporte kama full back maybe aniprove wrong kwa fixture zinazofata.
Kumkosa Ake katika kipindi kama hiki ni zaidi ya pigo.
Ngoja tusubiri press conference baadae labda pep atatoa info zozote kuhusu Ake.
 
Pep kathibitisha kwamba Nathan Ake hatakuwepo kwenye mechi ya kesho.

Pep " he is not ready for tommorow but I don't know the damage, they (medical staff) will do the final tests tommorow"
 
Pep kathibitisha kwamba Nathan Ake hatakuwepo kwenye mechi ya kesho.

Pep " he is not ready for tommorow but I don't know the damage, they (medical staff) will do the final tests tommorow"
Hata game ya arsenal naona ataikosa.
 
Sasa ni wakati wa Laporte kurudisha imani ya pep juu yake, anatakiwa amuonyeshe kwamba anauwezo wa kutoa huduma kama anayotoa Ake au hata zaidi ya hapo, anatakiwa atufanye tusimmiss Ake.

Game ya kesho dhidi ya sheffield na ya jumatano dhidi ya arsenal ni test tosha kwa laporte kutuondolea ama kutuongezea hofu mashabiki na kocha, hofu ya kumkosa Ake.
Laporte alishacheza hilo eneo sana tu na ana experience nalo.
Kwa msimu huu hajaonesha kama analimudu vizuri, kwenye ile mechi ya wolves nadhan alianzishwa tukawa hatuna stability huo upande, ngoja tuone kama anaweza kutusaidia.
 
Sina imani na laporte kama full back maybe aniprove wrong kwa fixture zinazofata.
Kumkosa Ake katika kipindi kama hiki ni zaidi ya pigo.
Laporte hayupo kwenye form ila ni beki mzuri na hiyo role sio mara yake ya kwanza kucheza japo kwa msimu huu katetereka kidogo.
 
Laporte hayupo kwenye form ila ni beki mzuri na hiyo role sio mara yake ya kwanza kucheza japo kwa msimu huu katetereka kidogo.
Najua kwamba alishacheza hapo mara kadhaa lakini hajawahi kudeliver na kuonyesha composure kwa kiwango alichoonyesha Ake.

Ake's injury is a huge and serious blow.
 
Back
Top Bottom