The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Naona Arsenal baada ya ushindi wa jana wamefufua matumaini. Ushindi leo unahitajika kuwarudisha mashimoni. Mechi ya leo itakua ngumu West ham wana shughuli si ya kitoto
West ham ni wabovu sana kwenye open play, ni kujitahidi tu kuifungua low block yao basi tunamaliza kazi.
 
Kuna ripoti zinasema Dortmund wanakaribia kufanya makubaliano na Real madrid kuhusu uhamisho wa Bellingham, deal ambalo litakua na thamani ya €100m.

Hapa sasa tukomae na Kova na Mac allister kama taarifa zitakua na ukweli.
 
Kuna ripoti zinasema bellingham/dortmund wanakaribia kufanya makubaliano na Real madrid deal ambalo litakua na thamani ya €100m.

Hapa sasa tukomae na Kova na Mac allister.
Huyu dogo dogo sionagi maajabu yako kulinganisha na thamani wanayoitaja.
 
Kuna ripoti zinasema Dortmund wanakaribia kufanya makubaliano na Real madrid kuhusu uhamisho wa Bellingham, deal ambalo litakua na thamani ya €100m.

Hapa sasa tukomae na Kova na Mac allister kama taarifa zitakua na ukweli.
Tumejitoa kwenye race, inabidi tumpate Mac alister.
 
Kuna ripoti zinasema Dortmund wanakaribia kufanya makubaliano na Real madrid kuhusu uhamisho wa Bellingham, deal ambalo litakua na thamani ya €100m.

Hapa sasa tukomae na Kova na Mac allister kama taarifa zitakua na ukweli.
Kumkosa jude binafsi haiwezi kuniuma hata kidogo.
Hapo kati ya kova na Mac allister hatuwezi kosa mmoja kama gundogan akiondoka.
Hasa kovacic, jamaa huwa ana work rate ya hali ya juu sana.
 
Kama tunataka kushinda hii game mapema chonde chonde haaland & Alvarez wasianze pamoja ...

Game ya fulham tulishinda ila kila mtu aliona ...

Hakuna game nyepesi epl ,energy ,passion ,vinahitajika kuanzia filimbi ya kwanza mpaka 90+min ....

Ederson

Walker -- dias --- akanji

Stone --- rodri

Grealish ---- kdb ---gundo ---bernado

Haaland



Kuchezesha haaland & Alvarez Kwa pamoja ni kujaribu mfumo mpya kwenye game ambayo tunahitaji point 3 mhimu ..... Mwisho wa siku tunakuja kushituka muda umeenda tunadrop point ...
 
KDB si hakuna uhakika juu ya fitness yake?
 
KDB hayupo kwenye squad.
 
Leo pep anatuingiza hivi.

Starting XI

Ortega
Walker
Dias
Ake
Stones
Rodri
Bernado
Alvarez
Grealish
Mahrez
Haaland
 
Leo kuna mabadiliko matatu.

Ake
Bernado
Ortega
Sikutegemea kama ake ataanzishwa, inaonekana yuko fit enough kuanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…