The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Madrid kakuinamsha final mbili zote anakugonga ,[emoji23][emoji23][emoji23]naona Leo unamshabikia ....

Wewe kigagula wa huko sumbawanga unazid var ,referee na camera zaidi ya ishirini zilizokuwa uwanjan kujua kma mpira haijatoka au laaah

Heri mm nilicheza finals 2
Wewe hata final kucheza toka team iumbwe ni moja na sioni kucheza final hivi karibuni sababu akina KDB tayari maji kupwa maji kujaa
 
Madrid anaenda kuweka record ya kuwanyoosha vigogo wa Epl ndan ya msimu mmoja--- Alianza Liverpool akaja Chelsea na sasa wananchi.
Inatakiwa mtuombee hilo lisitokee maana itakuwa ni dharau kwa ligi nzima ya uingereza.
 
Cant wait kuona mutu murefu Calvin akiwa anapiga bao zake mbili huku Dacoure akiwa amechukua dimba lake.
Sababu mtachezesha kikosi kamili tegemea majeruhi wawili au watatu kujiondoa kucheza na Madrid
Everton 2-Watoto wa refa 1
Arsenal bingwa.
City inakutesa sana.
Kila wiki utakuwa unahama timu tu na kila unakohamia tunaleta kichapo.
 
Inatakiwa mtuombee hilo lisitokee maana itakuwa ni dharau kwa ligi nzima ya uingereza.
Muda hautoshi kuombeana mkuu Kila mtu apambane na hali yake na sie wengine tuna mechi zetu zinazohitaji kuombewa. pia.
 
I wanted to hustle and work hard but when I remembered how Arsenal worked hard and failed i decided to eat Rice drink Water and Chilwell.[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Walker jana ndiye mchezaji wa city aliyewin tackes na duels nyingi zaidi.

Kama Ake akirudi second leg, Akanji atasugua benchi.
 
Cant wait kuona mutu murefu Calvin akiwa anapiga bao zake mbili huku Dacoure akiwa amechukua dimba lake.
Sababu mtachezesha kikosi kamili tegemea majeruhi wawili au watatu kujiondoa kucheza na Madrid
Everton 2-Watoto wa refa 1
Arsenal bingwa.
Ona huyu nae.
 
Walker jana ndiye mchezaji wa city aliyewin tackes na duels nyingi zaidi.

Kama Ake akirudi second leg, Akanji atasugua benchi.
Walker alijitahidi, lakini bado mashambulizi hatari yalikuwa yanatokea hukohuko, hata goli lao movement ilianzia huko.

Madrid kuwazuia upande wao wa kushoto imekua kazi ngumu kwa timu nyingi sana.
 
Wana jidanganya sana Man City eti Madrid atashindwa cheza vyema Itihad
Huwa nacheka sana aisee
Madrid anakupiga Itihad
Ilikua apigwe home and away refa kawapa bao la mchongo
Lini uyo Madrid alishawahi kushinda Etihad?
 
Unakumba zile sub alizofanya last year pale bernabeu ...dakika ya 86 anatoa Mahrez ,kdb ,gundo ....anawaweka kina grealish ambao hawakuwa na form kila mtu anajua ....

Tukapigwa goli 2 za chap chap .....badae mkaanza kusema kakosea sub ?...
Mechi ya jana alvarez asingefanya chochote maana ilikuwa ni either atoke haaland au kiungo mmoja kati ya kdb na gundo.

Kutoa kiungo kuweka striker ingekuwa kamari, mechi ilikua na pressure.

Kutoa haaland kuweka alvarez bado kina rudiger wangemficha vilevile.
 
Sasa ww unamtoa Madrid?
Au ndiyo hizi porojo kama Benzema na Vin watashindwa ku deliver Itihad?
Unapigwa Itihad unatoka
Itihad hautapewa tena mpira ulio toka nje ufunge
Kashindwa kwake kwetu ataweza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…