Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,833
- 11,173
Madrid kakuinamsha final mbili zote anakugonga ,[emoji23][emoji23][emoji23]naona Leo unamshabikia ....
Wewe kigagula wa huko sumbawanga unazid var ,referee na camera zaidi ya ishirini zilizokuwa uwanjan kujua kma mpira haijatoka au laaah
Heri mm nilicheza finals 2
Wewe hata final kucheza toka team iumbwe ni moja na sioni kucheza final hivi karibuni sababu akina KDB tayari maji kupwa maji kujaa