Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Ndo wanacho tegemea na wajue kbs watapasuka.Leo inter itakua ni low block tu, wana watu wenye uwezo mkubwa kufanya hiyo kazi, unfortunately kwao, tumekutana na timu nyingi tu zinazocheza low block na wamepasuka, nothing new.
Yan leo wajichanganye tu final itakua ya ovyo maana watakula nyng na sisi hatuna huruma.Inter anakufa goli 2 saafi kabisa.
Wakipiga low block tunawachokonoa chap wanajaa, tuna master mchokonoaji pale KDB.
Come on city.
Hii kweli au 🙄Moto mkubwa umeibuka kule Instanbull na unaelekea kwenye stadium, uchawi huo
Hpn niko live sky hapa hakuna shida had ss Instabul.. Hao watakua mashabik wa man u na genge lao wanazusha tu.. Leo cha kuzuia city kubeba ndoo lbd dunian iishe saiv.Hii kweli au [emoji849]
Acha tuwavae.Yan leo wajichanganye tu final itakua ya ovyo maana watakula nyng na sisi hatuna huruma.
Bora maana nilitaka sema uchawi umeanza mapemaHpn niko live sky hapa hakuna shida had ss Instabul.. Hao watakua mashabik wa man u na genge lao wanazusha tu.. Leo cha kuzuia city kubeba ndoo lbd dunian iishe saiv.
Hapana mkuu mambo ni SafiBora maana nilitaka sema uchawi umeanza mapema
Huyu Ake yupo kwenye form nzuri kweliGrealish___Haaland___Bernado
Gundogan___Rodri____KDB
Ake___Dias___Stones___Akanji
______Ederson
Kwani knock out stage yote si tumetumia back 3 au we ulikua unaangalia man city ipi?Pep awe makin hii back 3 sio mchezo ....
Chelsea alitufunga final na back 3 ...
Tumepigwa nje ndani na Brentford na back 3 ,hii tactics kama pep hajaifanyia home work aisee ,abadili mbinu haraka Sana Kwa ground....
Naona intermillan wanakuja na back 3 ....
View attachment 2653074
Ngoja tumuone, hata mimi nina doubt.Huyu Ake yupo kwenye form nzuri kweli