Kwani game ta madrid alitumia mfumo gani?Pep awe makin hii back 3 sio mchezo ....
Chelsea alitufunga final na back 3 ...
Tumepigwa nje ndani na Brentford na back 3 ,hii tactics kama pep hajaifanyia home work aisee ,abadili mbinu haraka Sana Kwa ground....
Naona intermillan wanakuja na back 3 ....
View attachment 2653074
Kdb unlucky with UCL finals,
Kdb out, foden inKPepakisea sana