Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Hii tuzo ni ya Messi wala haina ubish kbs.Basi Lewandoski angeshinda 2021.Yaani ukipambanishwa na Messi aliyeshinda kombe la dunia na kuwa mchezaji bora wa kombe la dunia,you are done.Lewandoski alishinda kama Haaland tu ,sema akapambanishwa na Messi aliyetoka kushinda Copa America .
Mashabiki wa City humu ebu nyoosheni vidole tuwaoneHiki kitimu kimeshinda Treble lakini kwenye uzi anachangia mtu mmoja. 😂😂😂
Hapo Lukaku alimlenga kwenye mguu, ulikuwa una stream nini?Ederson wanasema sio shots stopper ila Jana daaa , [emoji23] katuokoa imagine hapa [emoji23]View attachment 2653413
Ballon D'Or ni ya Real Madrid na BarcelonaMess na Ronaldo,benzema wameshatupisha Sasa , ballond'or zimebaki mikononi mwa vijana wetu ....
Haaland ,kdb , Alvarez,mbappe ,vinn .....
Hawa ndio wanaenda kutawala football ulaya ...
Naunga mkono hoja hasa Grealish Bora kidgo KDB na alivyotoka Haland akawa mzurulaji kabisa.Finali za UCL ni mechi tofauti, mbona Haaland hakufurukuta hata kidogo, kama sio uzembe wa Inter kumuachia gap Rodri hiyo mechi ilikuwa ni shughuli kubwa. hakuna wa kulaumiwa hapo. Lutaro bado ni foward mzuri, simply alibanwa. Pia tukumbuke presure za UCL ni kubwa, wachezaji kama akina Drogba tu ndio foward asiyechukuliwa na presure za mechi kubwa
Jana Inter walikuja na mkakati kabambe ambao ilikuwa kidogo tu ilete matunda
Wachezaji muhimu wote wa City kule mbele walipewa kibano kweli kweli
Hao wote jana walikutana na ukuta wa Berlin
- KDB
- Beernado Silva
- Grealish
- Gundogan
- Haaland
Wee jamaa upo serious kabisa? lewandowsky?Ballon D'Or ni ya Real Madrid na Barcelona
Nadhani baada ya Messi atafuata Lewandowsky au Vinicius Junior au Rodrygo
KDB achukue jamaniiiiiiii, ntafurahii mnoooBallond'or kati ya haaland, Alvarez na kdb Kuna mtu anachukua[emoji170][emoji170][emoji170]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Rodri hana Instagram account ,no Facebook account,no twitte .....
Kiufupi hayupo kwenye mitandaoni yeyote ya kijamii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji170]View attachment 2653407
Itakua lini hiyooooo??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Super cup
Sevilla Vs man city
Hawa sevilla walimnyoroshaaa united goli 3-0 kama wamesimama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuko nao Sasa ....
Na huo ukuta ukabomolewaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Finali za UCL ni mechi tofauti, mbona Haaland hakufurukuta hata kidogo, kama sio uzembe wa Inter kumuachia gap Rodri hiyo mechi ilikuwa ni shughuli kubwa. hakuna wa kulaumiwa hapo. Lutaro bado ni foward mzuri, simply alibanwa. Pia tukumbuke presure za UCL ni kubwa, wachezaji kama akina Drogba tu ndio foward asiyechukuliwa na presure za mechi kubwa
Jana Inter walikuja na mkakati kabambe ambao ilikuwa kidogo tu ilete matunda
Wachezaji muhimu wote wa City kule mbele walipewa kibano kweli kweli
Hao wote jana walikutana na ukuta wa Berlin
- KDB
- Beernado Silva
- Grealish
- Gundogan
- Haaland
Haaland kashamfunika messi mpaka hapo.Wanaangalia na personal accolades pia, sio makombe tu
Na ndio tumeanza rasmi, watapata tabu sana.Yan hapa niko napiga bia naona zinashuka sio ktt.
Aseee huu ubingwa umekua mzr sana kwa ajil tulikua na maadui weng sana kisa tu UCL
Jamaa kwenye celebrations ndio huwa kama kiongozi, huko dressing room ni fujo tupu, bia kama zote.Ila grealish ana vibe kwenye kushangilia bana, jamaa yuko passionate balaa.