The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Foden na grealish inabidi tuanze kuwachapa viboko Sasa Kama watashindwa kudribble na kupiga cross kumtafuta haaland katikati...
 
Kama hii game ya leo tutashinda basi epl ya 4 mfululizo ipo njiani kuja Etihad hakuna wa kutuzuia. πŸ’ͺ🏽 Cityzens
 
Naona wanaojiita washindani wetu wanavotufatilia kwa ukaribu hapa, wakiomba miujiza itokee[emoji23]
 
Game ni ya Moto kweli kweli ,full kuviziana ...

Hawa Newcastle wanafanya marking man to man ....
 
Halaand akiendelea kukosa huduma ya Kdb ni bora akae nje tu, tim icheze mfumo mpya
Saiv kuna uwezekano mkubwa sana pep akimuamin Alvarez mara kwa mara akamOut score Haaland au kua naye karb sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…