Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Hii ni kwa maneno bado vitendoHawa Newcastle tunawakanda kama tulivompoteza Madrid uefa ,....
Game ya pili tu mkuuKama hii game ya leo tutashinda basi epl ya 4 mfululizo ipo njiani kuja Etihad hakuna wa kutuzuia. [emoji1434] Cityzens
Kweli mpira umeanza kuangia nawKama hii game ya leo tutashinda basi epl ya 4 mfululizo ipo njiani kuja Etihad hakuna wa kutuzuia. [emoji1434] Cityzens
Naelewa πGame ya pili tu mkuu
ππππ Tutachukua EPL mpaka mnyookeKweli mpira umeanza kuangia naw
Saiv kuna uwezekano mkubwa sana pep akimuamin Alvarez mara kwa mara akamOut score Haaland au kua naye karb sana.Halaand akiendelea kukosa huduma ya Kdb ni bora akae nje tu, tim icheze mfumo mpya