Majeruhi babaHii Ni maajabu stone anacheza kama DM Lakin anastruggle .....
Tunashambuliwa Sana na hatuwezi kushambulia Kwa sababu Hakuna creative midifilder wala DM mzuri WA kuweza kutawala Kati ....
Stone na Lewis Hawa n defender by nature pep analazimisha wawe midifilder mbaya ziaid washambulie kitu ambacho sio rahisi Kwao ....
Tunacheza na defender wengi kuliko washambuliaji ..
Walker ,stone ,akanji ,Dias ,Lewis ,gvadiol .....wote Hawa defender ....bernado Silva haonekan...
Kaka ngoma bado, acha kulia Lia😂🤣Mafanikio tuliyopata EPL yanatosha wakuu ....tumemaliza msimu mapema this season ...
Tupiganie UEFA au fa nako ,EPL tuachie Arsenal na Liverpool...
Kama Arsenal asiponyanyua ndoo msimu Huu basi Tena ....Kaka ngoma bado, acha kulia Lia[emoji23][emoji1787]
Watoto waliwakomalia kisawasawa
League bado sanaKwa tulichomfanya Arsenal last season nataman achukue EPL ,ila sasa Liverpool Wanapumzi ya moto hatari ....Arteta Kazi anayo ...
Kaka point 6, na hata nusu round haija Isha.Kama Arsenal asiponyanyua ndoo msimu Huu basi Tena ....
Sisi tushamaliza mwendo ,Hatuna magician Tena kina gundo ,mahrez ,...