The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
Hivi tatizo ni kocha au wachezaji?Timu imeshaoza to the point hata tukipoteza sio maajabu tena, it doesn't even hurt anymore.
Wacha dirisha lifunguliwe tulete sura mpya mbili tatu tuone panapo vuja.
Mwenzie NYUMBU leo Kala 3cleanπichi kikombe mlizani nyie ni wakipekee amuwezi share sio
Wanapigika kiulaini.Visima vya mafuta kuhonga marefa vimekauka uko uarabuni wajinga nyie
115 charges fc ubwa kabisa nyie ππππ
Tatizo sio kocha, ingekuwa hivyo makocha wangekuwa wanapata mafanikio timu moja tu.Hivi tatizo ni kocha au wachezaji?
Wametoka wangapi na wamekuja msimu huu wangapi chini ya kocha yuleyule.?
Ulikua ni muda tu
Mkuu unaibetia City hii?Sema wawekezaji tunateseka sana.
Huwa nawabetia magoal sio direct winMkuu unaibetia City hii?
Wewe vichapo unavitafuta mwenyewe π
Mpe Everton goli moja, weka ela ya mshahara
πππ Ila watuSheikh: Mbona sielewi we ni Pep au Pepsi ?
View attachment 3181867
πππ Ila watu
Evatoni hana wafungaji ila kwa kuzuiaMpe Everton goli moja, weka ela ya mshahara