Poriposha
JF-Expert Member
- Oct 23, 2011
- 303
- 68
Msiba umehamishwa toka TRIPOL to OLD TRAFORD
leo nina furaha mpaka sauti imekauka kwa kushangilia,kwanza chama Arsenal tumeshinda then yale maumiv ya 8-2 hatimaye leo yamenitoka, big up man city
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msiba umehamishwa toka TRIPOL to OLD TRAFORD
Du ushahamia man city, ww si ulikuwa Arsenane.Wamezoea kuwadhalilisha wenzao, Ufalme wao sasa kwisha. Man C hatushikiki sasa
bora sisi tulipigwa 8-2 tukiwa safarini.....wao thatha....leo nina furaha mpaka sauti imekauka kwa kushangilia,kwanza chama Arsenal tumeshinda then yale maumiv ya 8-2 hatimaye leo yamenitoka, big up man city
arsenal tutawachapa na nyie, nyie mnapigania nafasi ya 5Conguratulation Man City!! Ila mkae mkijua ubingwa hata Arsenal tunautaka now
arsenal tutawachapa na nyie, nyie mnapigania nafasi ya 5
bora sisi tulipigwa 8-2 tukiwa safarini.....wao thatha....
mbele ya wake zao, watoto zao... vimada zao.....
ila nimefurahi kuona kuwa rooney pamoja na
kuwa alikuwa bondia....sasa ni stricker....kumbe
pia ni beki wa kutegemewa....huenda akawa
oshea wao.....