The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23]

[emoji125][emoji125][emoji125]ngoja nijiondokee mie. Naona umemilik uzi
Table inamuonekano tofauti kabisa [emoji23][emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23]

[emoji125][emoji125][emoji125]ngoja nijiondokee mie. Naona umemilik uzi
[emoji23][emoji23][emoji23] mwenzangu yani acha tu huu uzi siku hizi naumiliki mimi tu....

Wenzangu naona walikua ni mamluki wamesharudi kwenye timu zao...
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] mbavu zangu weeee,watakua liver hao maana wanainyemelea ucl baasi wanaona kuna afuen saiv kwenye timu yao. Au arsenal baada ya wenga kuondoka
[emoji23][emoji23][emoji23] mwenzangu yani acha tu huu uzi siku hizi naumiliki mimi tu....

Wenzangu naona walikua ni mamluki wamesharudi kwenye timu zao...
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] mbavu zangu weeee,watakua liver hao maana wanainyemelea ucl baasi wanaona kuna afuen saiv kwenye timu yao. Au arsenal baada ya wenga kuondoka
Aisee itakua hivyo rafiki yangu kumbe nilizungukwa na wanafiki humu [emoji23]... sasa nitakua najipostisha mwenyewe humu labda na wewe ukiwa unanikumbuka na taarifa zako
 
Hahaha watakuja tu true fans. Mie tena situpagi uzi wowote ntapita tu
Aisee itakua hivyo rafiki yangu kumbe nilizungukwa na wanafiki humu [emoji23]... sasa nitakua najipostisha mwenyewe humu labda na wewe ukiwa unanikumbuka na taarifa zako
 
Aisee itakua hivyo rafiki yangu kumbe nilizungukwa na wanafiki humu [emoji23]... sasa nitakua najipostisha mwenyewe humu labda na wewe ukiwa unanikumbuka na taarifa zako
Mkuu samahani sana, sim yangu ina matatizo. Ndo maana hunioni kama zamani.
 
Mkuu samahani sana, sim yangu ina matatizo. Ndo maana hunioni kama zamani.
Kwema mkuu?....

Najua wewe shabiki damu wa City mkuu wala usijari tupo pamoja pia pole sana kwa matatizo ya simu uliyopata......
 
Kwema mkuu?....

Najua wewe shabiki damu wa City mkuu wala usijari tupo pamoja pia pole sana kwa matatizo ya simu uliyopata......
Asante mkuu!!! Ngoja tusubilie usajili, naona safu yetu ya ushambuliaji imeonekana kuchoka mwishoni.
 
Asante mkuu!!! Ngoja tusubilie usajili, naona safu yetu ya ushambuliaji imeonekana kuchoka mwishoni.
Nikweli yani wamekua tia maji tia maji sana ila kila mchezaji namuona ni nondo sijui labda uchovu tu...
 
Nikweli yani wamekua tia maji tia maji sana ila kila mchezaji namuona ni nondo sijui labda uchovu tu...
Hata mimi nashindwa kuelewa tatizo, kama ni uchovu, mbona ma timu mengine anafungaga? Kutakuw na tatizo sehemu.
 
Hata mimi nashindwa kuelewa tatizo, kama ni uchovu, mbona ma timu mengine anafungaga? Kutakuw na tatizo sehemu.
Inawezakana mkuu ila mimi kilio changu beki tu, unajua ule ukuta ni ghari sana lakini wanachofanya hakiendani kabisa na pesa zilizowekwa pale
 
Back
Top Bottom