Hahahaha. Sawa mkuuTupo kwa mkopo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pamoja sanaHahahaha. Sawa mkuu
Hiyo mechi ni ngumu mkubwa, sijui nani anashinda au matokeo yanakuaje
Ila nikitumia common sense yangu Man Utd bado sana, Guardiola anashinda sababu timu hata ipaki bus no ngumu kumsumbua. Quality na form ipo kwa Man City, huku kwao Quality na form bado sana. Man city magoli yanafungwa kimpango na sio kubahatisha, watu kama Bernado, Aguero bado ni matumaini makubwa sana ya Guardiola na Man city, Sterling akitulia na kutumia nafasi vizuri ushindi upo
hahahahahahCity wana laana hawa jamaa
Uchambuzi ulikua mzuri Sana na ilikua Kama unatabiri kilichotokeaHiyo mechi ni ngumu mkubwa, sijui nani anashinda au matokeo yanakuaje
Ila nikitumia common sense yangu Man Utd bado sana, Guardiola anashinda sababu timu hata ipaki bus no ngumu kumsumbua. Quality na form ipo kwa Man City, huku kwao Quality na form bado sana. Man city magoli yanafungwa kimpango na sio kubahatisha, watu kama Bernado, Aguero bado ni matumaini makubwa sana ya Guardiola na Man city, Sterling akitulia na kutumia nafasi vizuri ushindi upo
[emoji16][emoji16] bro adi huku?hahahahahah
Imekuwaje sasa? Tatizo lenu mnaongea sana. Wasumbue sasa hao liverpool Arsenal na Chelsea. Sisi ni dawa ya midomoMnatuchokozaga wenyewe!
Utaona leo nusu saa kabla ya mchezo mtakavyojaa kwenye thread yetu kufanya fujo!
Halafu nyie washabiki wa Citizen mko wachache sana na wengi ni wale mliohama timu zenu za awali,kama sivyo basi ni wale mmeipenda kuanzia 2009-2010. Kwahiyo hata tukimchabanga Citizen wakuwasumbua ni Liverpool, Arsenal na Chelsea.
Nyie mmedroo sisi kichapo tu. Kama utakumbuka mechi ya liver waliponea chupuchupuKesho mpigwe au sare inatosha maana hakuna namna
Asante sana mkuu....Aisee hongereni kwa kuwapiga jirani zenu, ila punguzeni sifa, kwani 2-1 si ilikuwa inatosha?
Tunaomba siku mkikutana tena na Liverpool mwache tabia za kupaki bus.
Naona umerudia kipolo chako [emoji16]Imekuwaje sasa? Tatizo lenu mnaongea sana. Wasumbue sasa hao liverpool Arsenal na Chelsea. Sisi ni dawa ya midomo
Timu yangu hii, basi tuu mimi sio shabiki kindaki ndaki.[emoji16][emoji16] bro adi huku?
Walikua wanazima moto kwa jirani wakati kwao kunaungua. Droo wameipata wao sasa tumezidisha gape...Nyie mmedroo sisi kichapo tu. Kama utakumbuka mechi ya liver waliponea chupuchupu
Hongera bro upo mahala sahihi kabisa huku hakuna stress sanaTimu yangu hii, basi tuu mimi sio shabiki kindaki ndaki.
Kwahiyo wewe Kidungwa no utuiteKumbe hii timu nayo ina mashabiki, au ni wa mkopo?
Itakosaje mashabiki wakati inawafunga kila siku. Halafu yenyewe haifungwi.nitahama kwasababu timu hai00fungwi na itapoteza mashabikiKumbe hii timu nayo ina mashabiki, au ni wa mkopo?
Imekuwaje sasa? Tatizo lenu mnaongea sana. Wasumbue sasa hao liverpool Arsenal na Chelsea. Sisi ni dawa ya midomo
Nan anapaki basAisee hongereni kwa kuwapiga jirani zenu, ila punguzeni sifa, kwani 2-1 si ilikuwa inatosha?
Tunaomba siku mkikutana tena na Liverpool mwache tabia za kupaki bus.