The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Naamini hakuna anayetaka kukutana na Liverpool UEFA, maana Pep kawaombea ushindi Bayern imeshindikana.

Usiyempenda kaja.

sidhani kama uyasemayo yatoka katika kichwa chako.Pengine nikukumbushe miaka iliyopita 5-0
lakini mwaka huu haziwezi kuwa 5 lazma ziongezwe
 
Naamini hakuna anayetaka kukutana na Liverpool UEFA, maana Pep kawaombea ushindi Bayern imeshindikana.

Usiyempenda kaja.
Tukiweka pembeni ushabiki na mapenzi hii kauli yako inaukweli ndani yake, Liver kwenye UEFA wana vibe la hatari mimi mwenyewe sitamani kukutananao
 
Tukiweka pembeni ushabiki na mapenzi hii kauli yako inaukweli ndani yake, Liver kwenye UEFA wana vibe la hatari mimi mwenyewe sitamani kukutananao

Game ya jana second half ilinishangaza sana, mpaka nikapata confidence ya kwamba tunaweza kupambana na timu yoyote kama tukiwa na same vibe.

Ingawa kwa ubora wa vikosi Man City na Barca sitaki kukutana nao mapema, bora iwe final ambapo ni one game and the winner takes it all.
 
Liver waliingia kwa kuwaheshimu sana Bayern kama uliona walianza kwa kujilinda zaidi ila kadiri muda ulizidi kwenda wakawa wanawazoea na kuwaona wakawaida na wao kuanza kuucheza sasa.....

Toka game ya kwanza pale Anfield Bayern sikuelewa wanacheza nini na nini malengo yao maana walikua wakipiga pass tu kwenye zone yao bila kufanya mashambuliza ya maana na game ya jana wakafanya vile vile...
 

Game plan ya Anfield walikuwa wanatafuta 0 - 0, maana walikuwa wanachelewesha sana kama vile wameshafunga.

Jana wameianza mechi kwa kutafuta magoli, bahati mbaya Liver akatangulia, zile dakika baada ya kufungwa walikimbiza sana.

Thanks kwamba kipindi cha pili tuliwazidia.
 
Wacha wakomae na domestic cups sisi tunasubiri nani akutane na nani
 
unacho maanisha ni kwamba Liverpool wakiwa UEFA wanacheza 22 ama?

Usijali, kama unataka statistics za mwaka jana nitakupa;-

EPL: Man City 5 - Liverpool 0 (Etihad)
EPL: Man City 3 - Liverpool 4 (Anfield)
CL: Man City 0 - Liverpool 3 (Anfield)
CL: Man City 1 - Liverpool 2 (Etihad)

Summary: Man City win 1, Liverpool win 3, no draw.

What does that tell you?
 
Weuwe hebu waache Man u na CR7[emoji2][emoji2]
Utaona watakavyo pukutika kama kuku wa Mdondo hatua inayofata, watabaki wanaostahili tu wale wazamiaji nadhani unawajua 😀..

ASANTE
 
Hivi ni kwanini watu mmefurahi timu za EPL kufuzu hatua ya robo badala ya kufurahi timu unayoishabikia peke yake kufuzu?

Mimi upande wangu ni kwa sababu ni ligi ambayo nimeiangalia muda mrefu, kwa hiyo najikuta nina mapenzi na EPL automatic. Nadhani pia kwa sababu wanaifanyia promo sana.

So timu zikionesha ushindani katika floor za UEFA nakuwa nafurahi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…