The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

[emoji23][emoji23] hatareee xana mkuuu hapa npo kwenye maomb Chelsea ashinde
Hayo maombi uchwara uliyoyafanya hata MUNGU alikushangaa alikuona mwehu mechi ichezwe England wewe ufanye maombi Namtumbo kweli ni Akili hizi MUNGU aache kusikiliza maombi ya wagonjwa asikilize Upuuzi wako wewe.
 
Hayo maombi uchwara uliyoyafanya hata MUNGU alikushangaa alikuona mwehu mechi ichezwe England wewe ufanye maombi Namtumbo kweli ni Akili hizi MUNGU aache kusikiliza maombi ya wagonjwa asikilize Upuuzi wako wewe.
Ila amini ninayowaambia.
Nisema man city atafungwa na spur first leg 1-0. Second leg sina utabiri wa magoli ila City atashinda kwa agr.
Liverpool mechi yake ya mwisho Kwenye epl yupo na wolves. Utabiri wangu pamoja na kwamba liverpool atakuwa anapambana ili ashinde ila mechi itaisha droo.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] calvin ww huwa utabiri wako nauamini san kuliko wa dr. Licky

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu neymar hakuepo kikosini na cavan kaingia dakika 90+

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…