The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Heb mtaje mchezaji wakumuweka bench zaha utd kwa sasa
 
😂😂😂😂. Ndugu yangu kweli unaongea maneno kama haya? Apa akija ata shabiki wa man u kusoma atasema unawasanifu

Numbisa
Cole Williams
ningendako
 
Mkuu kwa kikosi cha United cha sasa Zaha hakosi namba ata huyo Lukaku unaemuongelea kwa sasa lazima umuongelee kwa performance yake ya zamani sio sasa....

United inahitaji sana huo usumbufu wa Zaha kwa sasa
 
Ndiyo, lazima ushangae

Manchester wana Forward yenye kipaji kuliko nyinyi+Chelsea+Arsenal+Tottenham

Hata Kane mwenyewe sio Classic 9
Kwa mtazamo huu inaonyesha huhitaji mabadiliko ya wachezaji utd sio
 
Pale waongezwe Winga wa kulia(Classic 7) viungo wawili au watatu na Beki za kutosha
Aya brother
Fanyeni usajili ligi iwe na changamoto kdg.
Maana liverpool wanajitetea walishindwa kutwa ubingwa wakat ule kwakuwa mlikuwa vzr.
Tena wanasemawakashindwa kwa sabab ya arsenal wakajakuwa vzr.
Na baadae wakasema chelsea walikuja kuwa vzr.
Na sasa wanasema city tupo vzr.
Nataka changamoto ya man u ikiwa vzr
 
Kushoto unapaona papo sawa kabisa?
Alaf mkuu nikumbushe lukaku anagoli ngap?


Kushoto yupo Martial

Lukaku alipokuwa Everton alikuwa hakosi goli chini ya 25 za ligi kila msimu

Kwa takwimu hizo anaeweza kumtoa Lukaku hapo kwenye timu yenu ni Aguero tu na hakuna mwingine
 
Kushoto yupo Martial

Lukaku alipokuwa Everton alikuwa hakosi goli chini ya 25 za ligi kila msimu

Kwa takwimu hizo anaeweza kumtoa Lukaku hapo kwenye timu yenu ni Aguero tu na hakuna mwingine
Naona dakika 20 zilizopita mmefungua mazungumzo na bayern kumtaka beki wao sule
 
Kushoto yupo Martial

Lukaku alipokuwa Everton alikuwa hakosi goli chini ya 25 za ligi kila msimu

Kwa takwimu hizo anaeweza kumtoa Lukaku hapo kwenye timu yenu ni Aguero tu na hakuna mwingine
Sure ila sio kwa sasa.
Ndomana nilisikia wakat fulan mnamtaka icard
 
Naona dakika 20 zilizopita mmefungua mazungumzo na bayern kumtaka beki wao sule


PAle Old Traford hamna kitu mkuu

Maana matajiri wenyewe wanachojali ni timu iingize faida basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…