MwafrikaHalisi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,741
- 511
Poleni wanajamvi. Najaribu kutafakari kwa manufaa ya Asenali. Itakuaje pale timu mbili za juu zikapoteza michezo mi4 kati ya iliyobaki na kudroo mmoja na asenali wakashinda yote? Unajua nani atakua bingwa? Haha. Mungu saidia.