Haha. Mnataka kuinunua Barcelona au Madrid? Sh.tty team
Ili uchukue kikombe cha ligi kuu (EPL) ni lazima wavchezaji wawe na pumzi za kutosha. City walianza na wakaendelea vizuri sana ila pumzi zimewaishia sasa.
Kunauwezekano mkubwa Man U kutangaza ubingwa katika mechi 2 zijazo endapo City watafungwa na West Brom na Norwich.
Naipenda Man kwa pumzi na umakini.
Ili uchukue kikombe cha ligi kuu (EPL) ni lazima wavchezaji wawe na pumzi za kutosha. City walianza na wakaendelea vizuri sana ila pumzi zimewaishia sasa.
Kunauwezekano mkubwa Man U kutangaza ubingwa katika mechi 2 zijazo endapo City watafungwa na West Brom na Norwich.
Naipenda Man kwa pumzi na umakini.
city till end of the season najua season ijayo kombe letu..
Viva La City..
mwana ningekutwanga like,natumia simu tu.
Ili uchukue kikombe cha ligi kuu (EPL) ni lazima wavchezaji wawe na pumzi za kutosha. City walianza na wakaendelea vizuri sana ila pumzi zimewaishia sasa.
Kunauwezekano mkubwa Man U kutangaza ubingwa katika mechi 2 zijazo endapo City watafungwa na West Brom na Norwich.
Naipenda Man kwa pumzi na umakini.
tehe tehe tehe tehe eti nanyie mnatafuta kombe?????kawapeni chakula wale buibui kwenye makabati yenu ya kuhifadhia makombe.
Pole sana Mkuu Ndetichia..........dah
ndetichia!pole kaka!
What a mess?
Szczesny anawasanifu
khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee
acha tu mtoto umleavyo ndivyo akuavyo itabidi abaki city ili acheze kwenye carling ukimpeleka jangwani itabidi waanzishe timu ya bondia..
asante sana mkuu Ogah
... ... Now where for City? Under Sheikh Mansour £800million has been lavished on the club, £450m on players of which Mancini himself has spent £240m.
Last year, they announced a record loss of £197m.