The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Hayo mabomu yenu nani asiyo yajua? Eti alitaka kufugwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Pep aliamua kufungwa game hio ,ndio maana akaweka wababishaji kina sterling ..


Hio ni mind game ,kuwavimbisha nyie ili mtudharau ,huku tumeficha mabomu ya nyukria nyuma ,...


Mkija final mtakula kipigo cha mbwa koko nyie ....


Come on cityzen
 
Mwenzio anajaza pumba coment humu ndio lengo lake maana uzi umedoda huu....
 
Hayo mabomu yenu nani asiyo yajua? Eti alitaka kufugwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Chelsea timu ndogo sana ,inayocheza kwa morali .


Kuhusu ufundi ,ubunifu ,technique ,kuamua game hakuna wachezaji wazoefu ...

Mbaya zaidi wanategemea Werner ,mount,kuwapa EPL next season
 
Kujibizana na ww ni kupoteza mda
Chelsea timu ndogo sana ,inayocheza kwa morali .


Kuhusu ufundi ,ubunifu ,technique ,kuamua game hakuna wachezaji wazoefu ...

Mbaya zaidi wanategemea Werner ,mount,kuwapa EPL next season
 
Sitasahua tulivoanza league aisee ..

Tulitembezewa kichapo na lecister city goli 5 ,nikajua habari yetu imekwisha huku

Liverpool
Spurs
Everton
Chelsea wakiwa wanapewa nafasi kubwa ya kuchukua EPL ....


Binafsi RUBEN DIAS ndio katupa EPL ..

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…