Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Hata timu la kifala Nottingham forest ambalo mpaka Sasa halipo hata epl limeshachukua CL mara 2 ,harafu unasema CL ni kombe la kulilia ,acha ufala wewe [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mbuzi wewe... unataja vipabu vyenzako kwamba wanazo kadhaa mbona huna hata moja?
Mzee Hilo CL unalosema ni kombe la mbuzi ambalo Kuna timu kibao zimeshachukua ,Sasa unavokuja kulinganisha na hadhi ya timu Kama city unaonekana kilaza ,Nottingham forest kashachukua mara 2 hio CL ,unajua iko wapi hio timu ....!Mimi huwezi nitisha na CL hata kidogo ,...!Mbuzi wewe... unataja vipabu vyenzako kwamba wanazo kadhaa mbona huna hata moja?
Daaa begi smart kabisa ,hili lazima nitanunua soon
We shoga kweli.... huwezi kuelewa utamu wa UCLHata timu la kifala Nottingham forest ambalo mpaka Sasa halipo hata epl limeshachukua CL mara 2 ,harafu unasema CL ni kombe la kulilia ,acha ufala wewe [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mbona we hujachukua ikiwa ni la mbuzi... Acha kuexpose ung'ombe wakoMzee Hilo CL unalosema ni kombe la mbuzi ambalo Kuna timu kibao zimeshachukua ,Sasa unavokuja kulinganisha na hadhi ya timu Kama city unaonekana kilaza ,Nottingham forest kashachukua mara 2 hio CL ,unajua iko wapi hio timu ....!Mimi huwezi nitisha na CL hata kidogo ,...!
Wewe ndio fala tu ,unaamini mpira niMbona we hujachukua ikiwa ni la mbuzi... Acha kuexpose ung'ombe wako
Uliza mashabiki wenzako humu ndani kwanza.Wewe ndio fala tu ,unaamini mpira ni
mpaka uchukue CL ...!
Kama sio kilaza ni Nini
Kutokuwa na CL sio kigezo cha kutulinganisha na nyie takataka [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Uliza mashabiki wenzako humu ndani kwanza.
Unaongea utumbo tu.
Yes hauwezi kulingana na sisi kwa sababu hauna UCL.Kutokuwa na CL sio kigezo cha kutulinganisha na nyie takataka [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Wewe ni sawa na Nottingham forest et ,coz hata yeye ana CL 2 [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Yes hauwezi kulingana na sisi kwa sababu hauna UCL.
Hili nalo linahitaji akili za chuo kikuu?
Na wewe ni sawa na Norwich City coz hata yeye hana uefa.Wewe ni sawa na Nottingham forest et ,coz hata yeye ana CL 2 [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Yaaah kama kweli Mimi ni sawa na Norwich city it's okay na Niko league kuu ,wewe mbwa Nottingham forest haupo hata epl ,Sasa unafaida gan kwenye ulimwengu wa mpira ....Norwich city iko mbali sana ,huwezi linganisha na hio takataka Nottingham forest hata kama ina CL [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Na wewe ni sawa na Norwich City coz hata yeye hana uefa.
Yaani wewe Norwich Sunderland, Bolton Wandarers mko level ya peke yenyu.Yaaah kama kweli Mimi ni sawa na Norwich city it's okay na Niko league kuu ,wewe mbwa Nottingham forest haupo hata epl ,Sasa unafaida gan kwenye ulimwengu wa mpira ....Norwich city iko mbali sana ,huwezi linganisha na hio takataka Nottingham forest hata kama ina CL [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kasome ubao pale juu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kubishana na shabiki la Chelsea ni matumizi mabaya ya akili ...Yaani wewe Norwich Sunderland, Bolton Wandarers mko level ya peke yenyu.
Yaani pale epl Liver, man u, chelsea, na aston villa ndio tunaweza tukaa mezani tukapiga siyo hii takataka ya man city itaongea nini na haijui utamu wa uefa?
Kubishana na shabiki wa Man city ni sawa na kubishana na shabiki wa Sunderland.Kasome ubao pale juu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kubishana na shabiki la Chelsea ni matumizi mabaya ya akili ...
things are getting very tense on #FERRAN.... Naona pia bwana FAB. ROMANO KAPOST NAYEYE
Mzee hao watapigika vizuri tu...bayern historia haidanganyi anapataga shida kwa city ata akishinda hapati zile 5 kama kwa arsenal au 8 za barca na tulishawai kumpiga palepale kwake tukiwa na pellegrino.Kama tukiwafunga lisbon na buyern akamfunga sulzburg ......
Basi sis man city tunaenda kukutana na buyern Munich live bila kupepesa macho ...[emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170]
acha kubishama na vivulana vya darajani...wee mtu ana hizo UEFA 2 kama anazo 20 vile na pia yupo nyuma ya city kwa total trophies na hapo bado city haina UEFA, Kikubwa PEP AWE FOCUSED TU Time will tell achana nae huyo.Kasome ubao pale juu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kubishana na shabiki la Chelsea ni matumizi mabaya ya akili ...
You are youngMwaka 2011 nilikuwa form one ...kiufupi ndio nilikuwa na akili ya kuaanza kufuatilia mpira ,wakati Niko primary sikuwahi kufuatilia mpira zaidi ilikuwa movie tu ,tena za kihind ,enzi hizo koyla ,Krish ,Karan na arjun ,yaan ulikuwa huwezi nambia kitu cha burudani zaidi ya movie ........,Sasa baada ya kuaangalia hio game nilikuwa na mshikaji wangu anaitwa peter ,alikuwa anamkubali Sana ballotel kisa alikuwa mhuni na mkorofi kama yeye ,na alikuwa nigga kipindi hicho ,mpaka saizi peter anamalizia MD pale bugando na nishabikie wa city hatari kila siku status anatupia magoli ,highlight na habari zote za city ,na Mimi nilianza kumpenda ballotel ,teves ,aguero ,mpaka tukiwa tunacheza mpira form one ulikuwa huwezi nambia kitu kwa aguero .....!
Harafu kuna rafiki yangu alikuwa anawapenda psquare ,anadance kawa wao,alikuwa anajiita Scott ,aisee huyu ndio alinipa unyama zaidi kuhusu man city ,na alizidi kunifanya kuifuatilia city kuliko timu yeyote ,sijajua mpaka saizi Yuko wapi Scott [emoji28][emoji28][emoji28]...
Aisee Mimi nimeanza kushabikia mpira city ndio anadomanite league ,na nilizungukwa na jamaa zangu wanaoipenda city ,...Sasa ilikuwa ngumu Sana kuaanza kuipenda sijui united ,Liverpool sijui arsenal ....
Over
Young money cash money millionea billioneaYou are young