The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Hili timu lenu siyo uefa materials. Uyu Pep ataondoka hapa city bila hili kombe..
Ninyi ni takataka haswa..
,#CFC[emoji170][emoji170][emoji170]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] si utulize kwani chini, wee umetolewa kaa pembeni lol.
 
Arsenal waache masiala kabisa ,yaani tuwauzie Jesus kwa £35million [emoji23][emoji23][emoji23] kwanza kabisa pep ahakikishe Jesus haondoki kabisa city ,!
 
Mwanaume unataman mkuyenge wa mwanaume mwenzako, acha umama.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna unateseka na KDB? Weka na wee nikusifie km unaona wivu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…