The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Next game epl


Man city vs Newcastle

Liverpool Vs Spurs


Hii game ya Spurs na Newcastle ndio nilitegemea Liverpool atapoteza ,wacha tuone kwa Spurs ...

Hakuna namna [emoji28][emoji28][emoji28]


Tuachane na Zamani utasema Spurs ilikuwa Timu ndogo, lakini turudi kipindi cha Miaka 10 tu iliyopita ambapo Spurs ilishaingia kwenyewe Top 6 unaweza kusema imeshamfunga Liverpool mara ngapi na yeye kafungwa na Liverpool mara ngapi?

Kama hujui ni kwamba Spurs ndiyo kibonde wa Liverpool kwenye EPL.
 
Leo tunawakaribisha muje na Note Book kuchukua notes za namna Timu inavyocheza ugenini.
 
Hakuna tofauti sababu hakuna kitu kinachoitwa Away goal sikuizi
Acha ubishi hiyo sio Away goal ni Aggregate (GD) pana tofauti hapo.

4-3
2-0

Aggregate
Real 5 - 4 Man City

Hivyo Aggregate itakuwa
Real 1 - 0 Man City

Ambayo tunaita GD (Goal deference) ya 1
 
Tuachane na Zamani utasema Spurs ilikuwa Timu ndogo, lakini turudi kipindi cha Miaka 10 tu iliyopita ambapo Spurs ilishaingia kwenyewe Top 6 unaweza kusema imeshamfunga Liverpool mara ngapi na yeye kafungwa na Liverpool mara ngapi?

Kama hujui ni kwamba Spurs ndiyo kibonde wa Liverpool kwenye EPL.
Kane na son wanakuja kuwatoa makamasi nyie kuku [emoji28][emoji28]
 
Acha ubishi hiyo sio Away goal ni Aggregate (GD) pana tofauti hapo.

4-3
2-0

Aggregate
Real 5 - 4 Man City

Hivyo Aggregate itakuwa
Real 1 - 0 Man City

Ambayo tunaita GD (Goal deference) ya 1
Mahesabu ya Nini mzee hapa umeshindwa kusema ...

Madrid anatolewa uefa ,upo hapa unapiga hesabu za kimamuruki mbaya zaidi hesabu ulifeli [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Next game epl


Man city vs Newcastle

Liverpool Vs Spurs


Hii game ya Spurs na Newcastle ndio nilitegemea Liverpool atapoteza ,wacha tuone kwa Spurs ...

Hakuna namna [emoji28][emoji28][emoji28]
Kisa alikupiga ww? Kunasiku ulisema Arsenal atatupiga au sio ww? Saiv umehamia kwa Spurs haya.
 
Back
Top Bottom