The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Mpaka hapa pep kashafeli ,uefa haiwezi kabisa

Sasa Kijana si utajifunza kuwa UCL ina wenyewe?
Sasa vile vijimaneno vyako sijui Pressing, sijui buildup na takataka nyengine ulidhani kweli vitakusaidia umtoe Madrid?
Unajua hata ile invincible ya Arsenal haikufurukuta UCL badala yake 2005 akabeba Liverpool ya kina Luis Garcia na Milan Baros? Unajua kwanini?
UCL ina wenyewe! Pep angekuwa yupo Liverpool nakuhakikishia muda huu angekuwa na UCL 4 kamili.
Lakini kwa Man City ataendelea kuwa underdog siku zote kwenye UCL.

Hope next season utajifunza kunyamaza.
 
Mashabiki kama Nyie Mimi nawaita vilaza tu ,pep akiwin game 12 mfululizo utasikia ooh pep ni genius ,bonge la kocha ,Jana tu kapoteza semi final Tena game ambayo alikuwa kashamaliza ni vile tu hatukuwa na bahati ,ila unakuta kilaza kama huyo huyo et pep kafeli ,sijui atupishe .,,mothef**CK ..!

Mimi sina cha kumalaumu pep ,kamtoa kDB kamuweka gundogun na game ikabadika tukascore ..!,,kamtoa Jesus ,Mahrez kumweka grealish na frenandihno kudefence na kushambulia ...Kuna mikimbio ya jack kidogo ascore ....!

Walker kaumia mapema na kaingia zincheko na kafanikiwa plan ,...kiufupi tulimzidi kila kitu last minute defender wetu kujisahau tu et jitu linakuja humu pep kafeli ,sijui [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....!

Hatuna sijui europian cup ,life goes on ,hatuna sijui uefa but we go ,this is over and we move on ...!

This is our city
Daaah! Sasahivi unatupa stori tofauti kabisa
 
Sasa Kijana si utajifunza kuwa UCL ina wenyewe?
Sasa vile vijimaneno vyako sijui Pressing, sijui buildup na takataka nyengine ulidhani kweli vitakusaidia umtoe Madrid?
Unajua hata ile invincible ya Arsenal haikufurukuta UCL badala yake 2005 akabeba Liverpool ya kina Luis Garcia na Milan Baros? Unajua kwanini?
UCL ina wenyewe! Pep angekuwa yupo Liverpool nakuhakikishia muda huu angekuwa na UCL 4 kamili.
Lakini kwa Man City ataendelea kuwa underdog siku zote kwenye UCL.

Hope next season utajifunza kunyamaza.
Mkuu nimepitia comment zako, huyu Pain killer ulimwambia kila kitu tangu mwanzo kwamba mtapigwa lakini hakusikia na ndio kimetokea.
 
Mashabiki kama Nyie Mimi nawaita vilaza tu ,pep akiwin game 12 mfululizo utasikia ooh pep ni genius ,bonge la kocha ,Jana tu kapoteza semi final Tena game ambayo alikuwa kashamaliza ni vile tu hatukuwa na bahati ,ila unakuta kilaza kama huyo huyo et pep kafeli ,sijui atupishe .,,mothef**CK ..!

Mimi sina cha kumalaumu pep ,kamtoa kDB kamuweka gundogun na game ikabadika tukascore ..!,,kamtoa Jesus ,Mahrez kumweka grealish na frenandihno kudefence na kushambulia ...Kuna mikimbio ya jack kidogo ascore ....!

Walker kaumia mapema na kaingia zincheko na kafanikiwa plan ,...kiufupi tulimzidi kila kitu last minute defender wetu kujisahau tu et jitu linakuja humu pep kafeli ,sijui [emoji23][emoji23]!

Hatuna sijui europian cup ,life goes on ,hatuna sijui uefa but we go ,this is over and we move on ...!

This is our city
Usitulutee mahubiri jambo la umuhimu ni kwamba jana mmegongwa 3 basi.
MADRID NDIO DAWA YA MAKABWILI KAMA WEWE.
 
Mashabiki kama Nyie Mimi nawaita vilaza tu ,pep akiwin game 12 mfululizo utasikia ooh pep ni genius ,bonge la kocha ,Jana tu kapoteza semi final Tena game ambayo alikuwa kashamaliza ni vile tu hatukuwa na bahati ,ila unakuta kilaza kama huyo huyo et pep kafeli ,sijui atupishe .,,mothef**CK ..!

Mimi sina cha kumalaumu pep ,kamtoa kDB kamuweka gundogun na game ikabadika tukascore ..!,,kamtoa Jesus ,Mahrez kumweka grealish na frenandihno kudefence na kushambulia ...Kuna mikimbio ya jack kidogo ascore ....!

Walker kaumia mapema na kaingia zincheko na kafanikiwa plan ,...kiufupi tulimzidi kila kitu last minute defender wetu kujisahau tu et jitu linakuja humu pep kafeli ,sijui [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....!

Hatuna sijui europian cup ,life goes on ,hatuna sijui uefa but we go ,this is over and we move on ...!

This is our city
3-1 alaf unajifariji ulimzidi kila kitu we jamaa unajielewa kweli , kule Etihadi na penyewe ilikuwa balaa tupu , vitoto vyenu vilichoka mbio ndefu haviwezi , .....
 
[emoji23]
IMG_20220505_074616.jpg
 
Mashabiki kama Nyie Mimi nawaita vilaza tu ,pep akiwin game 12 mfululizo utasikia ooh pep ni genius ,bonge la kocha ,Jana tu kapoteza semi final Tena game ambayo alikuwa kashamaliza ni vile tu hatukuwa na bahati ,ila unakuta kilaza kama huyo huyo et pep kafeli ,sijui atupishe .,,mothef**CK ..!

Mimi sina cha kumalaumu pep ,kamtoa kDB kamuweka gundogun na game ikabadika tukascore ..!,,kamtoa Jesus ,Mahrez kumweka grealish na frenandihno kudefence na kushambulia ...Kuna mikimbio ya jack kidogo ascore ....!

Walker kaumia mapema na kaingia zincheko na kafanikiwa plan ,...kiufupi tulimzidi kila kitu last minute defender wetu kujisahau tu et jitu linakuja humu pep kafeli ,sijui [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....!

Hatuna sijui europian cup ,life goes on ,hatuna sijui uefa but we go ,this is over and we move on ...!

This is our city
Maalim anakusalimia
JamiiForums-479660912.jpg
 
Kabisa mkuu uefa ina wenyewe kama kina Chelsea
Sasa Kijana si utajifunza kuwa UCL ina wenyewe?
Sasa vile vijimaneno vyako sijui Pressing, sijui buildup na takataka nyengine ulidhani kweli vitakusaidia umtoe Madrid?
Unajua hata ile invincible ya Arsenal haikufurukuta UCL badala yake 2005 akabeba Liverpool ya kina Luis Garcia na Milan Baros? Unajua kwanini?
UCL ina wenyewe! Pep angekuwa yupo Liverpool nakuhakikishia muda huu angekuwa na UCL 4 kamili.
Lakini kwa Man City ataendelea kuwa underdog siku zote kwenye UCL.

Hope next season utajifunza kunyamaza.
 
Back
Top Bottom